Marekani imeanza ku-test Mitambo

Marekani imeanza ku-test Mitambo

Echolima1

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2019
Posts
6,960
Reaction score
6,044
Marekani imeshaanza ku-test mitambo baada ya kuona Iran a nataka kuleta za kuleta.

Wakati mazungumzo yanayotarajiwa kuendelea huko Oman kati ya Marekani na Iran Marekani imetoa onyo la awali kuwa endapo mazungumzo hayo Iran itayavuruga basi itarajie nguvu za kijeshi zitatumika kuwanyoosha.

 
Waajemi sio wa mchezo mchezo. Wamepigana vita kabla Yesu hajazaliwa sembuse Marekani iliyogunduliwa juzi na akina Columbus!
Mitambo inayotestiwa waajemi waliposilimu ndio wahusika wakuu wa kuivumbua.
Wanasayansi kibao waliogundua madawa ya kutengenezea mabomu na kujishughulisha na mambo ya anga waliotokea maeneo ya Iran na jirani yake.
 
Mitambo inayotestiwa waajemi waliposilimu ndio wahusika wakuu wa kuivumbua.
Wanasayansi kibao waliogundua madawa ya kutengenezea mabomu na kujishughulisha na mambo ya anga waliotokea maeneo ya Iran na jirani yake.
Hivi TAQIYYAH kwenu ni lazima?
 
Mitambo inayotestiwa waajemi waliposilimu ndio wahusika wakuu wa kuivumbua.
Wanasayansi kibao waliogundua madawa ya kutengenezea mabomu na kujishughulisha na mambo ya anga waliotokea maeneo ya Iran na jirani yake.
Nini kimetokea wakaachwa na wazungu sasa. Maana mpaka walitawaliwa
 
Marekani imeshaanza ku-test mitambo baada ya kuona Iran a nataka kuleta za kuleta.

Wakati mazungumzo yanayotarajiwa kuendelea huko Oman kati ya Marekani na Iran Marekani imetoa onyo la awali kuwa endapo mazungumzo hayo Iran itayavuruga basi itarajie nguvu za kijeshi zitatumika kuwanyoosha.

Wewe unadhani resistance ya Iran dhidi ya uvamizi inaweza kuwa na athari gani kwenye eneo la mashariki ya kati? Iran ni taifa kubwa sana na lenye nguvu kuliko yote mashariki ya kati. Kuivamia kijeshi ni hasara kuliko faida hata kwa wavamizi wenyewe. Hiyo jamii sio ya waarabu. Kuivamia Iran ni kuliingiza eneo zima la mashariki ya kati kwenye vita ambavyo hawataweza kuvimaliza.
 
Hamjawahi kujiacha nyumba.Kila kitu mnaweza.
Sio kuweza tu lakini kila mmoja apate heshima yake.
Nataka ujue kuwa moja ya sababu Iran inaona ujinga kuambiwa ikatii kuwa isiwe na nyuklia ni hiyo.
Inajiuliza ikiwa ni ubaya na hatustahiki kuwa nazo mbona sisi ndio wa mwanzo kuanza michakato ya kikemikali kama hiyo.Kwanini tumuwachie mwengine atupande juu ya vicwa vyetu.
Muhimu tu wakubai kuvumilia kipigo kama walivyo Hamas na hatimae wataibuka washindi.
 
Waajemi sio wa mchezo mchezo. Wamepigana vita kabla Yesu hajazaliwa sembuse Marekani iliyogunduliwa juzi na akina Columbus!
Bahati mbaya wa mwisho ndio wa kwanza kwasasa
 
Back
Top Bottom