Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 28,918
- 83,749
Hii imekaa vizuri. Siyo huku kwetu mpaka Msukuma na mwenzake Babu Tale eti nao wanajiita Dokta Msukuma! Dokta Babu Tale!! Halafu elimu yenyewe unakuta darasa la 7 au form four failure!!Marekani wanaamini cheo Cha fani kinatakiwa kutumika ukiwa kwenye fani husika tu sio kwenye eneo lisilo la fani Yako mfano wewe uko bungeni na Ni Engineer pale huwezi itwa Engineer Fulani sio sehemu ya Engineering pale au wewe Daktari wa binadamu huwezi itwa Dr Fulani pale utaitwa Kwa jina lako tu hayo ya kuitwa Dr yanabakia Kwa Daktari aliyeko eneo husika
Hivyo hata uwe Professor kama Obama ukiwa kwenye siasa jina la Professor linaondoka Sababu huko chuoni Tena uko Raisi ambacho sio kitivo Cha chuo kikuu
Sisi majina ya Dk ,Engineer etc mtu anabeba Hadi misibani ,ngomani, kitchen party nk
Mtu mbunge unakuta Yuko bungeni anaitwa mheshimiwa mbunge Askofu Gwajima.Uaskofu bungeni . Wamarekani cheo huhusika pale kilipo active kwenye fani husika tu nje hakuna unatajwa Kwa jina lako tu kama Askofu huko kanisani kwako sio nje bungeni huko