Marekani hakuna Rais daktari, CPT, Engineer wala Advocate? Kwanini hawapendi kusoma?

Marekani wanaamini cheo Cha fani kinatakiwa kutumika ukiwa kwenye fani husika tu sio kwenye eneo lisilo la fani Yako mfano wewe uko bungeni na Ni Engineer pale huwezi itwa Engineer Fulani sio sehemu ya Engineering pale au wewe Daktari wa binadamu huwezi itwa Dr Fulani pale utaitwa Kwa jina lako tu hayo ya kuitwa Dr yanabakia Kwa Daktari aliyeko eneo husika

Hivyo hata uwe Professor kama Obama ukiwa kwenye siasa jina la Professor linaondoka Sababu huko chuoni Tena uko Raisi ambacho sio kitivo Cha chuo kikuu

Sisi majina ya Dk ,Engineer etc mtu anabeba Hadi misibani ,ngomani, kitchen party nk
Mtu mbunge unakuta Yuko bungeni anaitwa mheshimiwa mbunge Askofu Gwajima.Uaskofu bungeni . Wamarekani cheo huhusika pale kilipo active kwenye fani husika tu nje hakuna unatajwa Kwa jina lako tu kama Askofu huko kanisani kwako sio nje bungeni huko
Hii imekaa vizuri. Siyo huku kwetu mpaka Msukuma na mwenzake Babu Tale eti nao wanajiita Dokta Msukuma! Dokta Babu Tale!! Halafu elimu yenyewe unakuta darasa la 7 au form four failure!!
 
Huku kwetu kila kiongozi anaona ni ufahari kuitwa Dr. Hata kama kichwani ni empty head. Badala ya kuumiza vichwa kuzifanyia nchi zao mambo makubwa; wao wako busy kupeana, na hata kununua kabisa vyuoni hayo majina ya Udokta!!
Tunapenda title. Mtu anajiita wakili msomi na uwakili wake ni wa cheti tu hautatui matatizo ya jamii kesi za serikali tunashindwa huko nje.
 
Sijawahi kujua kumbe paroko wetu ni Dr. Jamaa yangu ndio alikuja kuniambia Kuwa alisoma na paroko ni Phd holder.
Baadhi ya Watawa, Mapadre na Maaskofu wa Katoliki wana sifa ya kuitwa Madokta na pia Maprofesa! Ila huwezi kuwakuta wanajikweza kiasi hicho.

Maana wanatambua fika vyeo vyao vya Kanisa ni Utawa/Upadre/Uaskofu! Ila wangekuwa ndiyo hawa ndugu zangu; pangechimbika.
 
Baadhi ya Watawa, Mapadre na Maaskofu wa Katoliki wana sifa ya kuitwa Madokta na pia Maprofesa! Ila huwezi kuwakuta wanajikweza kiasi hicho.

Maana wanatambua fika vyeo vyao vya Kanisa ni Utawa/Upadre/Uaskofu! Ila wangekuwa ndiyo hawa ndugu zangu; pangechimbika.
Hakika!
 
Acha direct translation from English to Kiswahili.
He was admitted to law bar (alilazwa kwenye baa ya sheria)
 
Waafrika hawana Akili. Sasa inabidi wajaribu kuaminisha watu wanazo. Ndo maana wanahangaika kama hakusomea anatafuta ya heshima. Ukimpata mwenye akili anakataa. Kama Nyerere hakuwahi kutaka aitwe Dr. J. K. Nyerere. Sasa wasio na akili akiwa madarakani anaona kama anabagazwa anatafuta ya heshima ili aitwe Dr. Kiazi Kitamu n.k
Sisi tunae Dr. SSH. Hutaki acha.
 
Marekani ambayo kabla kupata uhuru mwaka 1776 , ilitawaliwana Uingereza na wakapata Rais wa kwanza George Washington.
Tangu wapate uhuru, haijawahi kutokea Rais yeyote , awe msomi wa chuo, daktari wa hospitali[MD] au wa falsafa phD,au mjuzi wa hesabu [CPA] ambaye amewahi kujinasibu na prefix ya cheo chake.

Je, ni ulimbukeni kutumia phD, CPA, Advocate kwenye majina ya marais? Je, haya majina wanayojipa kwenye vyeo vyao yana-reflect maendeleo kwenye nchi zao?

OBAMA [Profesa wa Sheria]

LIST YA MARAIS WOTE WA MAREKANI.

  1. George Washington (1789-1797)
  2. John Adams (1797-1801)
  3. Thomas Jefferson (1801-1809)
  4. James Madison (1809-1817)
  5. James Monroe (1817-1825)
  6. John Quincy Adams (1825-1829)
  7. Andrew Jackson (1829-1837)
  8. Martin Van Buren (1837-1841)
  9. William Henry Harrison (1841)
  10. John Tyler (1841-1845)
  11. James K. Polk (1845-1849)
  12. Zachary Taylor (1849-1850)
  13. Millard Fillmore (1850-1853)
  14. Franklin Pierce (1853-1857)
  15. James Buchanan (1857-1861)
  16. Abraham Lincoln (1861-1865)
  17. Andrew Johnson (1865-1869)
  18. Ulysses S. Grant (1869-1877)
  19. Rutherford B. Hayes (1877-1881)
  20. James A. Garfield (1881)
  21. Chester A. Arthur (1881-1885)
  22. Grover Cleveland (1885-1889)
  23. Benjamin Harrison (1889-1893)
  24. Grover Cleveland (1893-1897)
  25. William McKinley (1897-1901)
  26. Theodore Roosevelt (1901-1909)
  27. William Howard Taft (1909-1913)
  28. Woodrow Wilson (1913-1921)
  29. Warren G. Harding (1921-1923)
  30. Calvin Coolidge (1923-1929)
  31. Herbert Hoover (1929-1933)
  32. Franklin D. Roosevelt (1933-1945)
  33. Harry S. Truman (1945-1953)
  34. Dwight D. Eisenhower (1953-1961)
  35. John F. Kennedy (1961-1963)
  36. Lyndon B. Johnson (1963-1969)
  37. Richard Nixon (1969-1974)
  38. Gerald Ford (1974-1977)
  39. Jimmy Carter (1977-1981)
  40. Ronald Reagan (1981-1989)
  41. George H. W. Bush (1989-1993)
  42. Bill Clinton (1993-2001)
  43. George W. Bush (2001-2009)
  44. Barack Obama (2009-2017)
  45. Donald Trump (2017-2021)
  46. Joe Biden (2021-present)
MADAKTARI WALIKUWA HAWA.
1. James Madison
2. William Henry Harrison
3. Andrew Johnson:

MAWAKILI/WANASHERIA

1. Barack Obama: Obama alipata digrii yake ya sheria kutoka Shule ya Sheria ya Harvard na alifanya mazoezi ya sheria huko Illinois kabla ya kuingia katika siasa. Aliwahi kuwa Rais wa 44 wa Merika kutoka 2009 hadi 2017.

2.Bill Clinton: Clinton alipata digrii yake ya sheria kutoka Shule ya Sheria ya Yale na alifanya mazoezi ya sheria huko Arkansas kabla ya kuingia katika siasa. Aliwahi kuwa Rais wa 42 wa Merika kutoka 1993 hadi 2001.

3.
Gerald Ford: alipata digrii yake ya sheria Yale Law School and practiced law in Michigan kabla ya kuingia kwenye siasa . Alikuwa raisi wa 38 US tangu 1974 to 1977.

4. Richard Nixon: alipata digrii yake ya sheria Duke University Law School and practiced law in California kabla ya kuingia kwenye siasa. He served as the 37th President of the United States from 1969 to 1974.

5. Franklin D. Roosevelt: Roosevelt alihudhuria Shule ya Sheria ya Columbia lakini hakumaliza shahada yake ya sheria. Alifanya sheria kwa muda mfupi kabla ya kuingia kwenye siasa. Aliwahi kuwa Rais wa 32 wa Merika kutoka 1933 hadi 1945.

6 Thomas Jefferson: Jefferson pia alikuwa mwanasheria kitaaluma. Alilazwa katika baa ya Virginia mnamo 1767 na akafanya sheria kwa miaka kadhaa kabla ya kuingia kwenye siasa. Jefferson aliwahi kuwa Rais wa tatu wa Merika kutoka 1801 hadi 1809.

7. James Madison: Madison alipata elimu yake ya kisheria kutoka Chuo cha William na Mary na alifanya sheria huko Virginia. Alikuwa mmoja wa waandishi wa msingi wa Katiba ya Merika na aliwahi kuwa Rais wa nne wa Amerika kutoka 1809 hadi 1817.

8. James Monroe: Monroe alisoma sheria chini ya Thomas Jefferson na kufanya sheria huko Virginia. Aliwahi kuwa Rais wa tano wa Merika kutoka 1817 hadi 1825.

9. John Quincy Adams: Adams alikuwa mwanasheria aliyeelimishwa na Harvard ambaye alitekeleza sheria kabla ya kuingia kwenye siasa. Aliwahi kuwa Rais wa sita wa Merika kutoka 1825 hadi 1829.

10. Andrew Jackson: Jackson alianza kusomea sheria katika ujana wake na alilazwa katika baa ya North Carolina mwaka wa 1787. Alifanya mazoezi ya sheria huko Tennessee na aliwahi kuwa Rais wa saba wa Marekani kuanzia 1829 hadi 1837.

11. Abraham Lincoln: Lincoln ni mmoja wa wakili-marais maarufu katika historia ya U.S. Alifanya mazoezi ya sheria huko Illinois na aliwahi kuwa Rais wa 16 wa Merika kutoka 1861 hadi 1865.

12. Franklin Pierce: Pierce alihudhuria shule ya sheria katika Chuo cha Bowdoin na alifanya mazoezi ya sheria huko New Hampshire. Aliwahi kuwa Rais wa 14 wa Merika kutoka 1853 hadi 1857.

13. Benjamin Harrison: Harrison alisomea sheria katika Chuo Kikuu cha Miami na kufanya mazoezi ya sheria huko Indiana. Aliwahi kuwa Rais wa 23 wa Merika kutoka 1889 hadi 1893.

14.Rutherford B. Hayes: Alisoma Harvard Law School na kufanya kazi Ohio. Alikuwa raisi wa 19 wa Marekani toka 1877 mpaka 1881.

15. William Howard Taft: Alisoma chuo cha Yale akifanya kazi huko Ohio. Alikuwa raisi wa 27 tangu 1909 to 1913 na baadae akawa jaji mkuu wa Marekani .

16. Calvin Coolidge: Alisoma Law na kuwa wakili huko Massachusetts. Alifanya kazi za uwakili kabla ya kuingia kwenye siasa na kuwa raisi wa 30 tangu 1923 to 1929.

17. Woodrow Wilson: Wilson alisoma shule ya sheria kwa vitendo Chuo kikuu Virginia na kufanya kazi ya uwakili,alikuwa raisi wa 28 wa marekani toka 1913 mpaka 1921.

18. Chester A. Arthur: Arthur practiced law in New York City before entering politics. He served as the 21st President of the United States from 1881 to 1885.

19.Grover Cleveland: Cleveland studied law and was admitted to the bar in 1859. He practiced law in New York and served as the 22nd and 24th President of the United States from 1885 to 1889 and again from 1893 to 1897.

20. Chester A. Arthur: Alikuwa wakili New York City kabla hajaingia siasani. Akawa raisi wa 21wa Marekani toka 1881 mpaka 1885.

Hao wote, madaktari, CPA, MAprofessor na Mawakili hawatumii tittle zao, kwanini Afrika ?

Kwanini Maraisi wa kisasa , hasa Afrika wanapenda recognition ya udaktari ?
Sijasoma hadi mwisho
Nimekisoma kichwa cha habari tu na kugundua kina kasoro au kimeandikwa ili kuvutia wasomaji.

Si kweli kwamba Marekani haijawahi kuwa na Rais msomi.
Wapo. Wapo hadi level ya Professor.
Nchi yao hairuhusu kutumia utambuzi wa taaluma yao. Ni marufuku kabisa.
 
Viongozi wenyewe tulio nao ndio hawa ambao anasimama hadharani na kusema kama sio Samia mzazi wake angekufa kabla ya siku
 
Obama na hata Biden ni PhD holders, Bill Clinton ni Professor........sema kwa wazungu hata wenye title hizo za elimu wanaitwa tu kwa majina yao ya awali bila kuzitaja, hawana mambo ya kujikweza au kujenga matabaka......

Utashangaa hakuna mtu anahangaika kumwita rais au waziri mkuu wa nchi kama Marekani na Uingereza mheshimiwa kama ilivyo hapa bongolala.

Nafikri wana discourage kujenga matabaka ndani ya jamii ndo maana inakuwa rahisi hata kuwawajibisha viongozi wanaokiuka sheria na miongozo waliyojiwekea maana hawachukuliwi kama watu special au miungu watu.​
Hapana. Obama, Clinton, na Biden hawana PhD.

Wana JD, ambayo ni Juris Doctor.

Juris Doctor si sawa na PhD.

Juris Doctor ni shahada ya sheria Marekani. Kila mwanafunzi anayehitimu shule ya sheria Marekani hutunukiwa JD.

PhD ni research doctorate.

Nadhani kinachowafanya mdhani kuwa Obama ana PhD ya sheria ni hilo jina la Juris Doctor.

Kwa taarifa yako, kila wakili Marekani ana JD. Hata wale DUI lawyers nao wana JDs. Divorce lawyers nao wana JD.

JD si sawa na PhD.
 
Marekani wanaamini cheo Cha fani kinatakiwa kutumika ukiwa kwenye fani husika tu sio kwenye eneo lisilo la fani Yako mfano wewe uko bungeni na Ni Engineer pale huwezi itwa Engineer Fulani sio sehemu ya Engineering pale au wewe Daktari wa binadamu huwezi itwa Dr Fulani pale utaitwa Kwa jina lako tu hayo ya kuitwa Dr yanabakia Kwa Daktari aliyeko eneo husika

Hivyo hata uwe Professor kama Obama ukiwa kwenye siasa jina la Professor linaondoka Sababu huko chuoni Tena uko Raisi ambacho sio kitivo Cha chuo kikuu

Sisi majina ya Dk ,Engineer etc mtu anabeba Hadi misibani ,ngomani, kitchen party nk
Mtu mbunge unakuta Yuko bungeni anaitwa mheshimiwa mbunge Askofu Gwajima.Uaskofu bungeni . Wamarekani cheo huhusika pale kilipo active kwenye fani husika tu nje hakuna unatajwa Kwa jina lako tu kama Askofu huko kanisani kwako sio nje bungeni huko
Je mkuu wa mkoa kujiita CPA makala Je hii 👆 ni sawa
 
Marekani ambayo kabla kupata uhuru mwaka 1776 , ilitawaliwana Uingereza na wakapata Rais wa kwanza George Washington.
Tangu wapate uhuru, haijawahi kutokea Rais yeyote , awe msomi wa chuo, daktari wa hospitali[MD] au wa falsafa phD,au mjuzi wa hesabu [CPA] ambaye amewahi kujinasibu na prefix ya cheo chake.

Je, ni ulimbukeni kutumia phD, CPA, Advocate kwenye majina ya marais? Je, haya majina wanayojipa kwenye vyeo vyao yana-reflect maendeleo kwenye nchi zao?

OBAMA [Profesa wa Sheria]

LIST YA MARAIS WOTE WA MAREKANI.

  1. George Washington (1789-1797)
  2. John Adams (1797-1801)
  3. Thomas Jefferson (1801-1809)
  4. James Madison (1809-1817)
  5. James Monroe (1817-1825)
  6. John Quincy Adams (1825-1829)
  7. Andrew Jackson (1829-1837)
  8. Martin Van Buren (1837-1841)
  9. William Henry Harrison (1841)
  10. John Tyler (1841-1845)
  11. James K. Polk (1845-1849)
  12. Zachary Taylor (1849-1850)
  13. Millard Fillmore (1850-1853)
  14. Franklin Pierce (1853-1857)
  15. James Buchanan (1857-1861)
  16. Abraham Lincoln (1861-1865)
  17. Andrew Johnson (1865-1869)
  18. Ulysses S. Grant (1869-1877)
  19. Rutherford B. Hayes (1877-1881)
  20. James A. Garfield (1881)
  21. Chester A. Arthur (1881-1885)
  22. Grover Cleveland (1885-1889)
  23. Benjamin Harrison (1889-1893)
  24. Grover Cleveland (1893-1897)
  25. William McKinley (1897-1901)
  26. Theodore Roosevelt (1901-1909)
  27. William Howard Taft (1909-1913)
  28. Woodrow Wilson (1913-1921)
  29. Warren G. Harding (1921-1923)
  30. Calvin Coolidge (1923-1929)
  31. Herbert Hoover (1929-1933)
  32. Franklin D. Roosevelt (1933-1945)
  33. Harry S. Truman (1945-1953)
  34. Dwight D. Eisenhower (1953-1961)
  35. John F. Kennedy (1961-1963)
  36. Lyndon B. Johnson (1963-1969)
  37. Richard Nixon (1969-1974)
  38. Gerald Ford (1974-1977)
  39. Jimmy Carter (1977-1981)
  40. Ronald Reagan (1981-1989)
  41. George H. W. Bush (1989-1993)
  42. Bill Clinton (1993-2001)
  43. George W. Bush (2001-2009)
  44. Barack Obama (2009-2017)
  45. Donald Trump (2017-2021)
  46. Joe Biden (2021-present)
MADAKTARI WALIKUWA HAWA.
1. James Madison
2. William Henry Harrison
3. Andrew Johnson:

MAWAKILI/WANASHERIA

1. Barack Obama: Obama alipata digrii yake ya sheria kutoka Shule ya Sheria ya Harvard na alifanya mazoezi ya sheria huko Illinois kabla ya kuingia katika siasa. Aliwahi kuwa Rais wa 44 wa Merika kutoka 2009 hadi 2017.

2.Bill Clinton: Clinton alipata digrii yake ya sheria kutoka Shule ya Sheria ya Yale na alifanya mazoezi ya sheria huko Arkansas kabla ya kuingia katika siasa. Aliwahi kuwa Rais wa 42 wa Merika kutoka 1993 hadi 2001.

3.
Gerald Ford: alipata digrii yake ya sheria Yale Law School and practiced law in Michigan kabla ya kuingia kwenye siasa . Alikuwa raisi wa 38 US tangu 1974 to 1977.

4. Richard Nixon: alipata digrii yake ya sheria Duke University Law School and practiced law in California kabla ya kuingia kwenye siasa. He served as the 37th President of the United States from 1969 to 1974.

5. Franklin D. Roosevelt: Roosevelt alihudhuria Shule ya Sheria ya Columbia lakini hakumaliza shahada yake ya sheria. Alifanya sheria kwa muda mfupi kabla ya kuingia kwenye siasa. Aliwahi kuwa Rais wa 32 wa Merika kutoka 1933 hadi 1945.

6 Thomas Jefferson: Jefferson pia alikuwa mwanasheria kitaaluma. Alilazwa katika baa ya Virginia mnamo 1767 na akafanya sheria kwa miaka kadhaa kabla ya kuingia kwenye siasa. Jefferson aliwahi kuwa Rais wa tatu wa Merika kutoka 1801 hadi 1809.

7. James Madison: Madison alipata elimu yake ya kisheria kutoka Chuo cha William na Mary na alifanya sheria huko Virginia. Alikuwa mmoja wa waandishi wa msingi wa Katiba ya Merika na aliwahi kuwa Rais wa nne wa Amerika kutoka 1809 hadi 1817.

8. James Monroe: Monroe alisoma sheria chini ya Thomas Jefferson na kufanya sheria huko Virginia. Aliwahi kuwa Rais wa tano wa Merika kutoka 1817 hadi 1825.

9. John Quincy Adams: Adams alikuwa mwanasheria aliyeelimishwa na Harvard ambaye alitekeleza sheria kabla ya kuingia kwenye siasa. Aliwahi kuwa Rais wa sita wa Merika kutoka 1825 hadi 1829.

10. Andrew Jackson: Jackson alianza kusomea sheria katika ujana wake na alilazwa katika baa ya North Carolina mwaka wa 1787. Alifanya mazoezi ya sheria huko Tennessee na aliwahi kuwa Rais wa saba wa Marekani kuanzia 1829 hadi 1837.

11. Abraham Lincoln: Lincoln ni mmoja wa wakili-marais maarufu katika historia ya U.S. Alifanya mazoezi ya sheria huko Illinois na aliwahi kuwa Rais wa 16 wa Merika kutoka 1861 hadi 1865.

12. Franklin Pierce: Pierce alihudhuria shule ya sheria katika Chuo cha Bowdoin na alifanya mazoezi ya sheria huko New Hampshire. Aliwahi kuwa Rais wa 14 wa Merika kutoka 1853 hadi 1857.

13. Benjamin Harrison: Harrison alisomea sheria katika Chuo Kikuu cha Miami na kufanya mazoezi ya sheria huko Indiana. Aliwahi kuwa Rais wa 23 wa Merika kutoka 1889 hadi 1893.

14.Rutherford B. Hayes: Alisoma Harvard Law School na kufanya kazi Ohio. Alikuwa raisi wa 19 wa Marekani toka 1877 mpaka 1881.

15. William Howard Taft: Alisoma chuo cha Yale akifanya kazi huko Ohio. Alikuwa raisi wa 27 tangu 1909 to 1913 na baadae akawa jaji mkuu wa Marekani .

16. Calvin Coolidge: Alisoma Law na kuwa wakili huko Massachusetts. Alifanya kazi za uwakili kabla ya kuingia kwenye siasa na kuwa raisi wa 30 tangu 1923 to 1929.

17. Woodrow Wilson: Wilson alisoma shule ya sheria kwa vitendo Chuo kikuu Virginia na kufanya kazi ya uwakili,alikuwa raisi wa 28 wa marekani toka 1913 mpaka 1921.

18. Chester A. Arthur: Arthur practiced law in New York City before entering politics. He served as the 21st President of the United States from 1881 to 1885.

19.Grover Cleveland: Cleveland studied law and was admitted to the bar in 1859. He practiced law in New York and served as the 22nd and 24th President of the United States from 1885 to 1889 and again from 1893 to 1897.

20. Chester A. Arthur: Alikuwa wakili New York City kabla hajaingia siasani. Akawa raisi wa 21wa Marekani toka 1881 mpaka 1885.

Hao wote, madaktari, CPA, MAprofessor na Mawakili hawatumii tittle zao, kwanini Afrika ?

Kwanini Maraisi wa kisasa , hasa Afrika wanapenda recognition ya udaktari ?
Naona maneno yanawachanganya.

Kwanza kabisa, Marekani mwalimu wa chuo huitwa profesa.

Pili, Obama ana shahada ya sheria. Shahada ya sheria Marekani huitwa JD au Juris Doctor.

Kila mwanafunzi anayehitimu shule ya sheria huko Marekani, hutunukiwa JD.

Kwa msingi huo, kila wakili Marekani aliyesoma na kuhitimu kwenye chuo kilichopo nchini humo, hutunukiwa Juris Doctor degree.

Juris Doctor degree si sawa na PhD na ndo maana watu walio na shahada za sheria Marekani huwa hawatumii huo utambulisho wa Doctor.

Marekani hata cheti cha sekondari huitwa diploma. Lakini huwezi kulinganisha high school diploma ya North Forsyth High school na Diploma itolewayo Mzumbe.

Maneno na matumizi yake naona yanawachanganya.
 
Marekani ambayo kabla kupata uhuru mwaka 1776 , ilitawaliwana Uingereza na wakapata Rais wa kwanza George Washington.
Tangu wapate uhuru, haijawahi kutokea Rais yeyote , awe msomi wa chuo, daktari wa hospitali[MD] au wa falsafa phD,au mjuzi wa hesabu [CPA] ambaye amewahi kujinasibu na prefix ya cheo chake.

Je, ni ulimbukeni kutumia phD, CPA, Advocate kwenye majina ya marais? Je, haya majina wanayojipa kwenye vyeo vyao yana-reflect maendeleo kwenye nchi zao?

OBAMA [Profesa wa Sheria]

LIST YA MARAIS WOTE WA MAREKANI.

  1. George Washington (1789-1797)
  2. John Adams (1797-1801)
  3. Thomas Jefferson (1801-1809)
  4. James Madison (1809-1817)
  5. James Monroe (1817-1825)
  6. John Quincy Adams (1825-1829)
  7. Andrew Jackson (1829-1837)
  8. Martin Van Buren (1837-1841)
  9. William Henry Harrison (1841)
  10. John Tyler (1841-1845)
  11. James K. Polk (1845-1849)
  12. Zachary Taylor (1849-1850)
  13. Millard Fillmore (1850-1853)
  14. Franklin Pierce (1853-1857)
  15. James Buchanan (1857-1861)
  16. Abraham Lincoln (1861-1865)
  17. Andrew Johnson (1865-1869)
  18. Ulysses S. Grant (1869-1877)
  19. Rutherford B. Hayes (1877-1881)
  20. James A. Garfield (1881)
  21. Chester A. Arthur (1881-1885)
  22. Grover Cleveland (1885-1889)
  23. Benjamin Harrison (1889-1893)
  24. Grover Cleveland (1893-1897)
  25. William McKinley (1897-1901)
  26. Theodore Roosevelt (1901-1909)
  27. William Howard Taft (1909-1913)
  28. Woodrow Wilson (1913-1921)
  29. Warren G. Harding (1921-1923)
  30. Calvin Coolidge (1923-1929)
  31. Herbert Hoover (1929-1933)
  32. Franklin D. Roosevelt (1933-1945)
  33. Harry S. Truman (1945-1953)
  34. Dwight D. Eisenhower (1953-1961)
  35. John F. Kennedy (1961-1963)
  36. Lyndon B. Johnson (1963-1969)
  37. Richard Nixon (1969-1974)
  38. Gerald Ford (1974-1977)
  39. Jimmy Carter (1977-1981)
  40. Ronald Reagan (1981-1989)
  41. George H. W. Bush (1989-1993)
  42. Bill Clinton (1993-2001)
  43. George W. Bush (2001-2009)
  44. Barack Obama (2009-2017)
  45. Donald Trump (2017-2021)
  46. Joe Biden (2021-present)
MADAKTARI WALIKUWA HAWA.
1. James Madison
2. William Henry Harrison
3. Andrew Johnson:

MAWAKILI/WANASHERIA

1. Barack Obama: Obama alipata digrii yake ya sheria kutoka Shule ya Sheria ya Harvard na alifanya mazoezi ya sheria huko Illinois kabla ya kuingia katika siasa. Aliwahi kuwa Rais wa 44 wa Merika kutoka 2009 hadi 2017.

2.Bill Clinton: Clinton alipata digrii yake ya sheria kutoka Shule ya Sheria ya Yale na alifanya mazoezi ya sheria huko Arkansas kabla ya kuingia katika siasa. Aliwahi kuwa Rais wa 42 wa Merika kutoka 1993 hadi 2001.

3.
Gerald Ford: alipata digrii yake ya sheria Yale Law School and practiced law in Michigan kabla ya kuingia kwenye siasa . Alikuwa raisi wa 38 US tangu 1974 to 1977.

4. Richard Nixon: alipata digrii yake ya sheria Duke University Law School and practiced law in California kabla ya kuingia kwenye siasa. He served as the 37th President of the United States from 1969 to 1974.

5. Franklin D. Roosevelt: Roosevelt alihudhuria Shule ya Sheria ya Columbia lakini hakumaliza shahada yake ya sheria. Alifanya sheria kwa muda mfupi kabla ya kuingia kwenye siasa. Aliwahi kuwa Rais wa 32 wa Merika kutoka 1933 hadi 1945.

6 Thomas Jefferson: Jefferson pia alikuwa mwanasheria kitaaluma. Alilazwa katika baa ya Virginia mnamo 1767 na akafanya sheria kwa miaka kadhaa kabla ya kuingia kwenye siasa. Jefferson aliwahi kuwa Rais wa tatu wa Merika kutoka 1801 hadi 1809.

7. James Madison: Madison alipata elimu yake ya kisheria kutoka Chuo cha William na Mary na alifanya sheria huko Virginia. Alikuwa mmoja wa waandishi wa msingi wa Katiba ya Merika na aliwahi kuwa Rais wa nne wa Amerika kutoka 1809 hadi 1817.

8. James Monroe: Monroe alisoma sheria chini ya Thomas Jefferson na kufanya sheria huko Virginia. Aliwahi kuwa Rais wa tano wa Merika kutoka 1817 hadi 1825.

9. John Quincy Adams: Adams alikuwa mwanasheria aliyeelimishwa na Harvard ambaye alitekeleza sheria kabla ya kuingia kwenye siasa. Aliwahi kuwa Rais wa sita wa Merika kutoka 1825 hadi 1829.

10. Andrew Jackson: Jackson alianza kusomea sheria katika ujana wake na alilazwa katika baa ya North Carolina mwaka wa 1787. Alifanya mazoezi ya sheria huko Tennessee na aliwahi kuwa Rais wa saba wa Marekani kuanzia 1829 hadi 1837.

11. Abraham Lincoln: Lincoln ni mmoja wa wakili-marais maarufu katika historia ya U.S. Alifanya mazoezi ya sheria huko Illinois na aliwahi kuwa Rais wa 16 wa Merika kutoka 1861 hadi 1865.

12. Franklin Pierce: Pierce alihudhuria shule ya sheria katika Chuo cha Bowdoin na alifanya mazoezi ya sheria huko New Hampshire. Aliwahi kuwa Rais wa 14 wa Merika kutoka 1853 hadi 1857.

13. Benjamin Harrison: Harrison alisomea sheria katika Chuo Kikuu cha Miami na kufanya mazoezi ya sheria huko Indiana. Aliwahi kuwa Rais wa 23 wa Merika kutoka 1889 hadi 1893.

14.Rutherford B. Hayes: Alisoma Harvard Law School na kufanya kazi Ohio. Alikuwa raisi wa 19 wa Marekani toka 1877 mpaka 1881.

15. William Howard Taft: Alisoma chuo cha Yale akifanya kazi huko Ohio. Alikuwa raisi wa 27 tangu 1909 to 1913 na baadae akawa jaji mkuu wa Marekani .

16. Calvin Coolidge: Alisoma Law na kuwa wakili huko Massachusetts. Alifanya kazi za uwakili kabla ya kuingia kwenye siasa na kuwa raisi wa 30 tangu 1923 to 1929.

17. Woodrow Wilson: Wilson alisoma shule ya sheria kwa vitendo Chuo kikuu Virginia na kufanya kazi ya uwakili,alikuwa raisi wa 28 wa marekani toka 1913 mpaka 1921.

18. Chester A. Arthur: Arthur practiced law in New York City before entering politics. He served as the 21st President of the United States from 1881 to 1885.

19.Grover Cleveland: Cleveland studied law and was admitted to the bar in 1859. He practiced law in New York and served as the 22nd and 24th President of the United States from 1885 to 1889 and again from 1893 to 1897.

20. Chester A. Arthur: Alikuwa wakili New York City kabla hajaingia siasani. Akawa raisi wa 21wa Marekani toka 1881 mpaka 1885.

Hao wote, madaktari, CPA, MAprofessor na Mawakili hawatumii tittle zao, kwanini Afrika ?

Kwanini Maraisi wa kisasa , hasa Afrika wanapenda recognition ya udaktari ?
Familia pekee mbili za Marekani zilizaowahi kushika Urais wa Marekani mara mbili

2. John Adams (1797-1801)
6. Andrew Jackson (1829-1837)

41. George H. W. Bush (1989-1993)
43. George W. Bush (2001-2009)
 
Back
Top Bottom