Marekani haipingani na uislamu bali maslahi yake

Marekani haipingani na uislamu bali maslahi yake

Molembe

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2012
Posts
9,932
Reaction score
11,863
Kuna watu humu aidha kwa kuwa uelewe mdogo wa mambo au kuamua kupotosha umma wanadai Marekani pamoja na nchi za ulaya zinapambana na uislamu jambo ambalo si kweli, Kwanza niseme kuwa viongozi wa kimarekani hakuna mwenye hofu ya Kimungu(maana wanamwaga damu sana) ila wao hupigana kutetea maslahi yao binafsi pamoja na watoto na vizazi vyao, hata kama wewe ni mkristo ukigusa maslahi ya wamarekani utapigwa tuu.

Mashariki ya kati ambapo uislamu umejikita na wana mali nyingine ikiwemo mafuta ndo maana wanapigika kama wazungu wangelikuwa wanapambana na uislamu wasingeruhusu ujenzi wa misikiti nchini mwao na wangeanza kuipi mecca na Medina ambazo ni chimbuko la uislamu.

BWT Dini tumeletewa na wazungu hivyo tuache kukashifiana sababu ya dini.
 
hizi mada leo..
ngoja nipite tu
 
Sera ya marekani ya kimataifa ni kwamba hana rafiki wala adui wa kudumu bali ana maslahi ya kudumu popote ulimwenguni
 
Kuna watu humu aidha kwa kuwa uelewe mdogo wa mambo au kuamua kupotosha umma wanadai Marekani pamoja na nchi za ulaya zinapambana na uislamu jambo ambalo si kweli, Kwanza niseme kuwa viongozi wa kimarekani hakuna mwenye hofu ya Kimungu(maana wanamwaga damu sana) ila wao hupigana kutetea maslahi yao binafsi pamoja na watoto na vizazi vyao, hata kama wewe ni mkristo ukigusa maslahi ya wamarekani utapigwa tuu.

Mashariki ya kati ambapo uislamu umejikita na wana mali nyingine ikiwemo mafuta ndo maana wanapigika kama wazungu wangelikuwa wanapambana na uislamu wasingeruhusu ujenzi wa misikiti nchini mwao na wangeanza kuipi mecca na Medina ambazo ni chimbuko la uislamu.

BWT Dini tumeletewa na wazungu hivyo tuache kukashifiana sababu ya dini.

'' We are not fighting against terrorism but we are fighting agaist ISLAM. Haya yalikuwa ni maneno ya mgombea Urais wa marekani mwaka 2008 ambaye alikuwa ni mpinzani wa Obama na aliyaongea hayo wakati akinadi sera zake mbele ya waamerika...ndugu yangu fuatilia mambo kwa kina uckurupuke. Ukitaka video ya huyo jamaa wakati anayaongea hayo ntafute.
 
'' We are not fighting against terrorism but we are fighting agaist ISLAM. Haya yalikuwa ni maneno ya mgombea Urais wa marekani mwaka 2008 ambaye alikuwa ni mpinzani wa Obama na aliyaongea hayo wakati akinadi sera zake mbele ya waamerika...ndugu yangu fuatilia mambo kwa kina uckurupuke. Ukitaka video ya huyo jamaa wakati anayaongea hayo ntafute.

Nikutafute wapi?
 
Marekani njoo haraka uchukue Kigamboni yako, uijenge kama Washington kisha wa Tz tuwe tunakuja kutalii na kurudi kwetu Tandale kwa Tumbo
 
Marekani njoo haraka uchukue Kigamboni yako, uijenge kama Washington kisha wa Tz tuwe tunakuja kutalii na kurudi kwetu Tandale kwa Tumbo

Natumia kisim cha tochi hapa,ila LIKE yangu unayo,nikiwasha kipc changu like yangu inakuhusu
 
Back
Top Bottom