Je, ni kweli uislamu unakua sana Ulaya na Marekani?

hamis77

JF-Expert Member
Aug 20, 2013
13,673
21,069
Hamna ukweli wowote kwamba Uingereza mnamo 2050 itakuwa nchi ya kislamu

Hakuna ukweli wowote kwamba Ulaya na Marekani wanaugeukia Uislamu kwa wingi

Wakristo wana hofu wakisikia hivyo

Waislam wana kitengo cha propoganda cha kueneza dini yao. Katika Uislam kuna kitu kinaitwa Taqiya, yaani kuutumia uongo kwa maslahi ya dini au kunusuru jambo. Wapo tayari kuhonga hata waandishi wa habari kueneza propoganda zao, hata kweye kombe la dunia la Qatar walijipanga kueneza propoganda ya kuonesha ubora wa Uislam na kusilimisha watu public na kurusha kwenye media kwamba Uislam ni dini ya haki na amani na kwamba watu wanauingia kwa wingi. Target yao kubwa ni wazungu, wanafikiri wazungu wakiwa Waislam basi uislam utatukuka. Na ndio maana mzungu akisilimu wanafurahi sana na kurusha hizo habari kwenye media. Na kweli wamewapata baadhi ya wazungu wajinga na kuwasilimisha hasa kwa ndoa.

Sikia sasa uongo wao

Bilashaka ulishawahi sikia kwenye vyombo vya habari kwamba Uislam utatawala ulaya ifikapo 2050, eti kwamba kila siku wazungu wanaugeikia Uislamu na kufanya idadi kubwa ya Waislam Ulaya na Marekani. Huu ni Uzushi Mtakatifu.

Waislam wengi kwa upande wa Ulaya na Marekani ni wahamiaji na vizalia. Wanaosilimu ni idadi ndogo tu. Moja ya program yao ni kuoa wazungu ili wapate uzao wa kislamu, kwa njia hii wamefanikiwa kuliko ya kusilimisha.

Idadi ya Waislam katika Uingereza na Marekani

Uingereza

Kwa mujibu wa sensa ya 2021 ambayo idadi yake ya watu ni milioni 67.5, Waislam ni milioni 3.6 na hapo umejumlisha hadi nchi ya Wales. Hivyo Waislam wanaunda jumla ya 6.4% katika idadi hiyo ya Waingereza na Wales. Hii ni kwa mujibu wa gazeti la The Guardian hapo chini.


Marekani

Marekani ina Waislam milioni 3.45 kati ya Wamarekani milioni 331. Hivyo Waislam wanaunda 1.1% ya idadi ya Wamarekani wote. Na idadi hii ya Waislamu wengi ni ya wahamiaji [migrants]. Angalia ushahidi chini


Sasa huo ukuaji wa Waislamu ndani ya Marekani na Ulaya ndio uje ubadilishe nchi hizo kwa miaka 25 ijayo yaani 2050?

Hivyo dini ya kislamu imejaa propoganda, na tambua propoganda ni mbinu ya kijasusi ya kumfanya adui yako akuogope au akuhofie. Hivyo kwa njia ya propoganda hii wengi wameogopa.

Hivyo hata idadi kubwa ya Waislam ina hesabiwa hadi watoto wadogo wanaozaliwa kwahiyo wanaonekana kama ni wengi. Wakristo kuondoa Waroma na waprotestant wachache hawahesabu watoto kwenye idadi ya Wakristo bali waliobatizwa tu. Sahivi wakristo ni zaidi ya bilioni 2, je wakihesabu watoto itakuaje?

Itoshe tu kusema Uislam ni dini ya Taqiya na hauwezi simama bila propoganda na nguvu. Siku wakiachia uhuru wa dini katika nchi zao, wategemee idadi kubwa kubatizwa na kuacha Uislam. Na hilo hawataki. Hivyo sharti uhuru wa dini uminywe. Na Agizo la mtume wao ni hili,

Mwenye kubadili dini yake ya kiislamu, MUUENI". Angalia - (A) Bhukari 6922, Abu Dawuwd 4329, At - Tirmidhiy 1483
 
Sasa andiko lako mbona halioneshi huo ukuaji wa uislam.
Umeandika tu kwa mujibu wa sensa ya 2021 uingereza ni milioni 3.6 katika watu milioni 67,
sasa ungesema labda sasa hivi ni milioni 4, ama idadi fulani nasi tuone ukuaji wake huu kwa hii miaka mi4 unaendana na hayo madai yao ama lah.
 
Hamna ukweli wowote kwamba Uingereza mnamo 2050 itakuwa nchi ya kislamu

Hakuna ukweli wowote kwamba Ulaya na Marekani wanaugeukia Uislamu kwa wingi

Wakristo wana hofu wakisikia hivyo

Waislam wana kitengo cha propoganda cha kueneza dini yao. Katika Uislam kuna kitu kinaitwa Taqiya, yaani kuutumia uongo kwa maslahi ya dini au kunusuru jambo. Wapo tayari kuhonga hata waandishi wa habari kueneza propoganda zao, hata kweye kombe la dunia la Qatar walijipanga kueneza propoganda ya kuonesha ubora wa Uislam na kusilimisha watu public na kurusha kwenye media kwamba Uislam ni dini ya haki na amani na kwamba watu wanauingia kwa wingi. Target yao kubwa ni wazungu, wanafikiri wazungu wakiwa Waislam basi uislam utatukuka. Na ndio maana mzungu akisilimu wanafurahi sana na kurusha hizo habari kwenye media. Na kweli wamewapata baadhi ya wazungu wajinga na kuwasilimisha hasa kwa ndoa.

Sikia sasa uongo wao

Bilashaka ulishawahi sikia kwenye vyombo vya habari kwamba Uislam utatawala ulaya ifikapo 2050, eti kwamba kila siku wazungu wanaugeikia Uislamu na kufanya idadi kubwa ya Waislam Ulaya na Marekani. Huu ni Uzushi Mtakatifu.

Waislam wengi kwa upande wa Ulaya na Marekani ni wahamiaji na vizalia. Wanaosilimu ni idadi ndogo tu. Moja ya program yao ni kuoa wazungu ili wapate uzao wa kislamu, kwa njia hii wamefanikiwa kuliko ya kusilimisha.

Idadi ya Waislam katika Uingereza na Marekani

Uingereza

Kwa mujibu wa sensa ya 2021 ambayo idadi yake ya watu ni milioni 67.5, Waislam ni milioni 3.6 na hapo umejumlisha hadi nchi ya Wales. Hivyo Waislam wanaunda jumla ya 6.4% katika idadi hiyo ya Waingereza na Wales. Hii ni kwa mujibu wa gazeti la The Guardian hapo chini.


Marekani

Marekani ina Waislam milioni 3.45 kati ya Wamarekani milioni 331. Hivyo Waislam wanaunda 1.1% ya idadi ya Wamarekani wote. Na idadi hii ya Waislamu wengi ni ya wahamiaji [migrants]. Angalia ushahidi chini


Sasa huo ukuaji wa Waislamu ndani ya Marekani na Ulaya ndio uje ubadilishe nchi hizo kwa miaka 25 ijayo yaani 2050?

Hivyo dini ya kislamu imejaa propoganda, na tambua propoganda ni mbinu ya kijasusi ya kumfanya adui yako akuogope au akuhofie. Hivyo kwa njia ya propoganda hii wengi wameogopa.

Hivyo hata idadi kubwa ya Waislam ina hesabiwa hadi watoto wadogo wanaozaliwa kwahiyo wanaonekana kama ni wengi. Wakristo kuondoa Waroma na waprotestant wachache hawahesabu watoto kwenye idadi ya Wakristo bali waliobatizwa tu. Sahivi wakristo ni zaidi ya bilioni 2, je wakihesabu watoto itakuaje?

Itoshe tu kusema Uislam ni dini ya Taqiya na hauwezi simama bila propoganda na nguvu. Siku wakiachia uhuru wa dini katika nchi zao, wategemee idadi kubwa kubatizwa na kuacha Uislam. Na hilo hawataki. Hivyo sharti uhuru wa dini uminywe. Na Agizo la mtume wao ni hili,

Mwenye kubadili dini yake ya kiislamu, MUUENI". Angalia - (A) Bhukari 6922, Abu Dawuwd 4329, At - Tirmidhiy 1483
Kweli wewe ni semi illiterate fellow with hatred of Islam unapinga hoja bila kuleta ushahidi wa kupinga hiyo mada zaidi ya kuandika hisia zako tu, chuki zako dhidi ya Uislamu huwezi kuzuia uenezi wa uislamu katika ulimwengu wote achana na Ulaya hata China Korea Japan nk.
 
Hamna ukweli wowote kwamba Uingereza mnamo 2050 itakuwa nchi ya kislamu

Hakuna ukweli wowote kwamba Ulaya na Marekani wanaugeukia Uislamu kwa wingi

Wakristo wana hofu wakisikia hivyo

Waislam wana kitengo cha propoganda cha kueneza dini yao. Katika Uislam kuna kitu kinaitwa Taqiya, yaani kuutumia uongo kwa maslahi ya dini au kunusuru jambo. Wapo tayari kuhonga hata waandishi wa habari kueneza propoganda zao, hata kweye kombe la dunia la Qatar walijipanga kueneza propoganda ya kuonesha ubora wa Uislam na kusilimisha watu public na kurusha kwenye media kwamba Uislam ni dini ya haki na amani na kwamba watu wanauingia kwa wingi. Target yao kubwa ni wazungu, wanafikiri wazungu wakiwa Waislam basi uislam utatukuka. Na ndio maana mzungu akisilimu wanafurahi sana na kurusha hizo habari kwenye media. Na kweli wamewapata baadhi ya wazungu wajinga na kuwasilimisha hasa kwa ndoa.

Sikia sasa uongo wao

Bilashaka ulishawahi sikia kwenye vyombo vya habari kwamba Uislam utatawala ulaya ifikapo 2050, eti kwamba kila siku wazungu wanaugeikia Uislamu na kufanya idadi kubwa ya Waislam Ulaya na Marekani. Huu ni Uzushi Mtakatifu.

Waislam wengi kwa upande wa Ulaya na Marekani ni wahamiaji na vizalia. Wanaosilimu ni idadi ndogo tu. Moja ya program yao ni kuoa wazungu ili wapate uzao wa kislamu, kwa njia hii wamefanikiwa kuliko ya kusilimisha.

Idadi ya Waislam katika Uingereza na Marekani

Uingereza

Kwa mujibu wa sensa ya 2021 ambayo idadi yake ya watu ni milioni 67.5, Waislam ni milioni 3.6 na hapo umejumlisha hadi nchi ya Wales. Hivyo Waislam wanaunda jumla ya 6.4% katika idadi hiyo ya Waingereza na Wales. Hii ni kwa mujibu wa gazeti la The Guardian hapo chini.


Marekani

Marekani ina Waislam milioni 3.45 kati ya Wamarekani milioni 331. Hivyo Waislam wanaunda 1.1% ya idadi ya Wamarekani wote. Na idadi hii ya Waislamu wengi ni ya wahamiaji [migrants]. Angalia ushahidi chini


Sasa huo ukuaji wa Waislamu ndani ya Marekani na Ulaya ndio uje ubadilishe nchi hizo kwa miaka 25 ijayo yaani 2050?

Hivyo dini ya kislamu imejaa propoganda, na tambua propoganda ni mbinu ya kijasusi ya kumfanya adui yako akuogope au akuhofie. Hivyo kwa njia ya propoganda hii wengi wameogopa.

Hivyo hata idadi kubwa ya Waislam ina hesabiwa hadi watoto wadogo wanaozaliwa kwahiyo wanaonekana kama ni wengi. Wakristo kuondoa Waroma na waprotestant wachache hawahesabu watoto kwenye idadi ya Wakristo bali waliobatizwa tu. Sahivi wakristo ni zaidi ya bilioni 2, je wakihesabu watoto itakuaje?

Itoshe tu kusema Uislam ni dini ya Taqiya na hauwezi simama bila propoganda na nguvu. Siku wakiachia uhuru wa dini katika nchi zao, wategemee idadi kubwa kubatizwa na kuacha Uislam. Na hilo hawataki. Hivyo sharti uhuru wa dini uminywe. Na Agizo la mtume wao ni hili,

Mwenye kubadili dini yake ya kiislamu, MUUENI". Angalia - (A) Bhukari 6922, Abu Dawuwd 4329, At - Tirmidhiy 1483
Hili dini la kishetani litakua ile miaka saba ya lile shoga la kiislam litakalokuwa likitawala dunia
Ila kwa sasa wasahau maana kanisa la kristo lipo
 
Hamna ukweli wowote kwamba Uingereza mnamo 2050 itakuwa nchi ya kislamu

Hakuna ukweli wowote kwamba Ulaya na Marekani wanaugeukia Uislamu kwa wingi

Wakristo wana hofu wakisikia hivyo

Waislam wana kitengo cha propoganda cha kueneza dini yao. Katika Uislam kuna kitu kinaitwa Taqiya, yaani kuutumia uongo kwa maslahi ya dini au kunusuru jambo. Wapo tayari kuhonga hata waandishi wa habari kueneza propoganda zao, hata kweye kombe la dunia la Qatar walijipanga kueneza propoganda ya kuonesha ubora wa Uislam na kusilimisha watu public na kurusha kwenye media kwamba Uislam ni dini ya haki na amani na kwamba watu wanauingia kwa wingi. Target yao kubwa ni wazungu, wanafikiri wazungu wakiwa Waislam basi uislam utatukuka. Na ndio maana mzungu akisilimu wanafurahi sana na kurusha hizo habari kwenye media. Na kweli wamewapata baadhi ya wazungu wajinga na kuwasilimisha hasa kwa ndoa.

Sikia sasa uongo wao

Bilashaka ulishawahi sikia kwenye vyombo vya habari kwamba Uislam utatawala ulaya ifikapo 2050, eti kwamba kila siku wazungu wanaugeikia Uislamu na kufanya idadi kubwa ya Waislam Ulaya na Marekani. Huu ni Uzushi Mtakatifu.

Waislam wengi kwa upande wa Ulaya na Marekani ni wahamiaji na vizalia. Wanaosilimu ni idadi ndogo tu. Moja ya program yao ni kuoa wazungu ili wapate uzao wa kislamu, kwa njia hii wamefanikiwa kuliko ya kusilimisha.

Idadi ya Waislam katika Uingereza na Marekani

Uingereza

Kwa mujibu wa sensa ya 2021 ambayo idadi yake ya watu ni milioni 67.5, Waislam ni milioni 3.6 na hapo umejumlisha hadi nchi ya Wales. Hivyo Waislam wanaunda jumla ya 6.4% katika idadi hiyo ya Waingereza na Wales. Hii ni kwa mujibu wa gazeti la The Guardian hapo chini.


Marekani

Marekani ina Waislam milioni 3.45 kati ya Wamarekani milioni 331. Hivyo Waislam wanaunda 1.1% ya idadi ya Wamarekani wote. Na idadi hii ya Waislamu wengi ni ya wahamiaji [migrants]. Angalia ushahidi chini


Sasa huo ukuaji wa Waislamu ndani ya Marekani na Ulaya ndio uje ubadilishe nchi hizo kwa miaka 25 ijayo yaani 2050?

Hivyo dini ya kislamu imejaa propoganda, na tambua propoganda ni mbinu ya kijasusi ya kumfanya adui yako akuogope au akuhofie. Hivyo kwa njia ya propoganda hii wengi wameogopa.

Hivyo hata idadi kubwa ya Waislam ina hesabiwa hadi watoto wadogo wanaozaliwa kwahiyo wanaonekana kama ni wengi. Wakristo kuondoa Waroma na waprotestant wachache hawahesabu watoto kwenye idadi ya Wakristo bali waliobatizwa tu. Sahivi wakristo ni zaidi ya bilioni 2, je wakihesabu watoto itakuaje?

Itoshe tu kusema Uislam ni dini ya Taqiya na hauwezi simama bila propoganda na nguvu. Siku wakiachia uhuru wa dini katika nchi zao, wategemee idadi kubwa kubatizwa na kuacha Uislam. Na hilo hawataki. Hivyo sharti uhuru wa dini uminywe. Na Agizo la mtume wao ni hili,

Mwenye kubadili dini yake ya kiislamu, MUUENI". Angalia - (A) Bhukari 6922, Abu Dawuwd 4329, At - Tirmidhiy 1483
"Hakika dini hii (Uislamu) itafika kila sehemu inayofikiwa na usiku na mchana, na Allah hataacha nyumba yoyote ya matofali wala manyasi ila ataingiza dini hii humo, kwa utukufu wa aliyepewa heshima au kwa udhalili wa aliyeangamizwa. Utukufu ni kwa wale wanaoukubali Uislamu, na udhalili ni kwa wale wanaoukataa."
(Ahmad, Musnad 16957, na al-Tabarani, al-Mu’jam al-Kabir 13092, Sheikh al-Albani ameitaja kama sahihi.)
 
"Hakika dini hii (Uislamu) itafika kila sehemu inayofikiwa na usiku na mchana, na Allah hataacha nyumba yoyote ya matofali wala manyasi ila ataingiza dini hii humo, kwa utukufu wa aliyepewa heshima au kwa udhalili wa aliyeangamizwa. Utukufu ni kwa wale wanaoukubali Uislamu, na udhalili ni kwa wale wanaoukataa."
(Ahmad, Musnad 16957, na al-Tabarani, al-Mu’jam al-Kabir 13092, Sheikh al-Albani ameitaja kama sahihi.)
Uzushi huu
 
Ila wewe mleta uzi utakuwa na ugonjwa wa akili nakushauri nenda hospitali mapema kabla hujaanza kuokota makopo.

Hiyo chuki yako dhidi ya uislamu haisaidii chochote uislamu ulikuwepo, na utaendelea kuwepo wewe utake usitake. Nakuona ulivyo na sura ngumu kama nguruwe pori
 
Ila wewe mleta uzi utakuwa na ugonjwa wa akili nakushauri nenda hospitali mapema kabla hujaanza kuokota makopo.

Hiyo chuki yako dhidi ya uislamu haisaidii chochote uislamu ulikuwepo, na utaendelea kuwepo wewe utake usitake. Nakuona ulivyo na sura ngumu kama nguruwe pori
Mjibu kwa hoja
 
Ongezeko la waislam Ulaya na Amerika linatokana na ongezeko la wahamiaji waarabu na wakimbizi kutoka nchi za kiarabu, na wala halitokani na wazungu au wakristo kusilimu.

Na kadiri siku zinavyoenda huenda idadi hiyo ya waislam ikapungua zaidi kwa sababu mataifa mengi ya Ulaya na America yameanza kuweka sheria kali za wahamiaji, hasa wale wa kutoka nchi za kiarabu kutokana na hofu ya kiusalama.
 
MTOA MADA ETI UISLAMU WANAFANYA PROPAGANDA !!!
SI KWELI KIJANA ACHA KUANGALIA PICHA ZA NGONO NA MAKALIO YA WANAWAKE.!

WAGALATIA NDIO NAMBA MOJA KWA PROPAGANDA DUNIANI ILI KUONYESHA DUNIA KWAMBA UISLAMU NI DINI YA HIVYO,mfano tu mdogo hapo kwenye comments utaona vijana waangalia picha za ngono wanavyonasibisha uislamu kuwa ni dini ya kichawi na majini ,utaona kila dharau mara wavaa kobazi, mara wazee wa ubwabwa ,hiyo yote sio kwa bahati mbaya .hizo ni propaganda wasije wakaujua uislamu ulivyo na wakaufata mana wachungaji wao watakosa sadaka kule Church.
 
Kweli wewe ni semi illiterate fellow with hatred of Islam unapinga hoja bila kuleta ushahidi wa kupinga hiyo mada zaidi ya kuandika hisia zako tu, chuki zako dhidi ya Uislamu huwezi kuzuia uenezi wa uislamu katika ulimwengu wote achana na Ulaya hata China Korea Japan nk.


Kwa nini mnauhusudu uwongo namna hii?

China ina waislam wachache sana. Tazama hapa Chini:

Are there more Christians or Muslims in China?

228 million Buddhists
(16 percent)

106 million Christians
(7.4 percent)

100 million atheists (7 percent)

23.7 million Muslims (1.7 percent).


Source: Wikipedia


Uislam, Japan ni kama haupo. Ni migrants wachache sana ambao hawafiki hata laki 5.

Islam is one of the smallest minority faiths in Japan, representing around 0.18% of the total population. Due to a small initial population base, immigration from Muslim majority countries has made Islam one of the fastest growing religions in the country in terms of percentage increase, with its followers growing by approximately 110%, from 110,000 in 2010 to 230,000 at the end of 2020. Hali ipo hivyo hivyo huko South Korea.
 
Back
Top Bottom