figganigga
Platinum Member
- Oct 17, 2010
- 27,631
- 62,487
MAREKANI: Askofu Josephat Gwajima amepewa tuzo ya Mtu Mashuhuri Duniani na jiji la Birmingham lililopo huko katika Jimbo la Alabama.
Mtu maarufu DUNIANI?Marekani: Askofu Josephat Gwajima atunukiwa tuzo ya mtu mashuhuri duniani huko katika jiji la Birmingham jimbo la Alabama USA![]()
![]()
![]()
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna cha mabepari hapo, mwenzako kalipia kama alivyonunua PhD UCHWARA afrika kusini ili awe anawadanganya waumini wake huwa anaenda Korea kufanya Lecture
Sasa nikipambana na hali yangu yeye atapata wapi sadaka za kufanyia matanuziPambana na hali yako tu
askufu...afu mbona haina jina la mhusika au na yeye kafoji cheti kama yule mgoni wake DAB
Jina Lipo Hapo Walipobold Kuna Bishop Josephat Gwajimaaskufu...afu mbona haina jina la mhusika au na yeye kafoji cheti kama yule mgoni wake DAB
Amefanya jambo gani kuivuruga nchi yetu?mabepari wanamtumia kuvuruga nchi yetu!
akirudi lazima apimwe mkojo............
Hii inadhihirisha watanzania mlivyo wazembe wa kusoma. Ndio maana hata Mikataba tuna saini tu hovyo. Hujasoma mpaka mwisho halafu unasema Jina halipo.
Yaani kuweka picha ya Ngwajima juu ndo inathibitisha kuwa gold ya hapo chini kapewa mwenye picha juu?
Tuzo zote huwa zinaandikwa majina ya wanaokuwa awarded ila hii ni ya kubumba
''Aut Vincere Aut Mori''