Marejesho ndani Serena Dar..... Valentine Day....!!!!!!!


siku nyingine mrudi tena Kebb's tumewamiss
 
amu mamboo? AT anakusalimia
 
Last edited by a moderator:
Hii ni zaidi ya wiki nipo kitandani naumwa leo ndo nimepata nafuu kuingia humu hali yangu si nzuri hata kidogo
pole sana amu. Ningekuwa najua hlo nisingekulaumu my dear. Pole kwa kuumwa. Get well soon.
 
Last edited by a moderator:
Hii ni zaidi ya wiki nipo kitandani naumwa leo ndo nimepata nafuu kuingia humu hali yangu si nzuri hata kidogo

pole sana! Get well soon!
Jana nilikupigia simu hukupokea, labda ulikuwa na hali mbaya!
 
mwambie kwamba ulikua Arusha,na tukaenda ku-clubika club mpya moshonooooo,pia swr c unakumbuka tuliona mtu kafanana Filipo kavaa kanzu kule club,atakua yy yule!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…