Habari za muda huu wana JF,asanteni kwa mawazo na ushauri wenu mlionipa.Jamaa alinicheck ingawa sijapata muda wa kuongea nae vizuri ila naamini mambo yataenda vizuri.Asanteni sana
Kwaiyo yameisha?
Ni baada ya yeye kusoma lile bandiko lako humu,
"Jamaa alinicheck ingawa sijapata muda wa kuongea nae vizuri ila naamini mambo yataenda vizuri" Unamaanisha nini?
Ameliwa
Asante
kabla ya yote umpe papuchi kwanza.yameisha,ila nkikutana nae ndio nitamuuleza vizuri ya moyoni
mmmh
hongera!!!
Upo jamani?nimekumiss balaaa
Woow !! yaani umepanda bei !! Sasa ataijuwa thamani yako... Hongera na Mubarikiwe.yameisha,ila nkikutana nae ndio nitamuuleza vizuri ya moyoni