Marehemu Grace Mbowe anaagwa muda huu

Marehemu Grace Mbowe anaagwa muda huu

aminangalo

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2013
Posts
974
Reaction score
190
Mwili wa marehemu dada yake freman mbowe unaagwa muda huu ndani ya kanisa la kkkt wazo hili ila mpaka sasa mbowe hayupo kanisani

R.i.p Gresi mwana ccm
 
Kamanda Mbowe yuko jimboni Hai,kwa kuanda mazishi marehemu anazikwa machame na hivyo mbowe hawezi kuwepo dar,na wakati marehemu ataletwa Hai Kilimanjaro,kwa ajili ya maziko; sasa hizo akili zenu fupi acheni Mbowe anaratibu maziko Machame na sisi tuko machame;'';''
 
Mwili wa marehemu dada yake freman mbowe unaagwa muda huu ndani ya kanisa la kkkt wazo hili ila mpaka sasa mbowe hayupo kanisani

R.i.p Gresi mwana ccm

Mambo mengine bhana. Kwa hiyo mbowe akiwepo dada yake atafufuka?

Au unataka kuwasilisha kitu gani unaposema mpaka sasa Mbowe hayupo kanisani?

Inawezekana hajaenda kanisani kwa kuwa anashughulika na masuala mengine ya msiba. Na inawezekana pia kifo cha dada yake hakina uzito mkubwa kama unavyotaka kutuaminisha hapa kuwa ni lazima mbowe awepo kanisani.

Hili suala ni la kifamilia zaidi, kwenye familia ya mzee mbowe, na nadhani huyu dada (Marehemu Grace) amepata coverage kubwa sana kwenye media kwa kuwa tu ni dada yake na F.A Mbowe. Vinginevyo hata wewe usingetuletea huu uzi wako hapo.

CCM acheni siasa za kuviziana vichakani kama watoto wadogo wanaochezea "REDE"
 
aminangalo, wewe utakuwa ni mwanamke mbea sana. Do not capitalize on one's death! Ni upuuzi kuleta siasa kwenye kifo cha mtu. Na ulaaniwe kwa kutokuwa muungwana. Mtu katoka Denmark mpaka Tanzania then unaleta taarab zako? Mme wako kalamba garasa. Shame on you and your family that raised you!
 
Last edited by a moderator:
aminangalo, wewe utakuwa ni mwanamke mbea sana. Do not capitalize on one's death! Ni upuuzi kuleta siasa kwenye kifo cha mtu. Na ulaaniwe kwa kutokuwa muungwana. Mtu katoka Denmark mpaka Tanzania then unaleta taarab zako? Mme wako kalamba garasa. Shame on you and your family that raised you!

Huyu aminangalo ni miongoni mwa watu wanaokula rambirambi ndio maana unaona bila mshipa wa aibu anajaribu kutafuta pride katika msiba usiomhusu.

Familia ya akina Mbowe ni kubwa na mipangilio yote ya mazishi na ibada za kumuaga wanazijua familia wenyewe. Sasa buku saba fc wasivyokuwa na hata chembe ya aibu wanataka ku capitalize kwenye msiba huu.
 
Last edited by a moderator:
mleta thread amekuja kipuuz puuzi.
 
Mnyika john anatoa salam kwa niaba ya slaa ktb mkuu

Mnyika slaa ameniachia mm ofisi yupo marekani

Nilimfahamu sana dada Gresi tangu zamani
 
Siku hizi ukipost kitu bila kuitaja CHADEMA au jina la kiongozi yoyote wa CHADEMA basi hupati Coverage yoyote.
Kwa mfano huyu aliyeleta hii topic.
 
Landa hajui Mbowe kashaoa siku nyingi...hujui siku hizi watu wanaenda msibani kutafuta wanaume.

Amuache miaka mia......target yake leo imegonga mwamba!!!Sio kila kichaka ushushe mzigo wako,vingine vina miba.
 
Mwili wa marehemu dada yake freman mbowe unaagwa muda huu ndani ya kanisa la kkkt wazo hili ila mpaka sasa mbowe hayupo kanisani

R.i.p Gresi mwana ccm

Una akili finyu kaa makalio ya bata
 
kWA HIYO KAMA MBOWE HAYUKO KANISANI SISI TUFANYAJE!!!!!!!!!!

HIKO NDO KILICHOKUPELEKA MSIBANI
 
Akili za maiti izi kwa iyo umemuaga bwana ako unaenda msibani kutazama Mbowe
 
Qui qui qui ..!hahahaaaaa...!

Teh teh teh watu wengine bwana......hiv anayajua majukumu ya msiba huyu???Hivi msiba umekupata halafu wewe labda ndo mkubwa unafikir utakaa sehemu moja?Ningemshaur akajipumzikie tu nyumban kwao,mission yake imegonga mwamba huyo aliyetaka kumuona hayupo leo.
 
Back
Top Bottom