Kwakweli ni msiba mzito kwanini watu wema hawakai lakini ??
Ziwafikie makamanda? Alikuwa nani huko CDM!Grace mbowe dada wa mwenyekiti wetu wa taifa chadema (kub) kuzikwa kesho nyumbani kwao machame.habari ziwafikie makamanda wote wa chadema popote mlipo,tulimpenda sana lkn mungu zaidi.
Akili za UVCCM au vijana wa yebo yebo.Mwili wa marehemu dada yake freman mbowe unaagwa muda huu ndani ya kanisa la kkkt wazo hili ila mpaka sasa mbowe hayupo kanisani
R.i.p Gresi mwana ccm
Mwili wa marehemu dada yake freman mbowe unaagwa muda huu ndani ya kanisa la kkkt wazo hili ila mpaka sasa mbowe hayupo kanisani
R.i.p Gresi mwana ccm
Kwakweli ni msiba mzito kwanini watu wema hawakai lakini ??
Na kwa UBABE wenu nina uhakika mtamzika Mwanachama huyo wa CCM kiCHADEMA au mumnyime matakwa yake kabisa ya kuwa MKEREKETWA wa CCM ili azikwe atakavyo,Grace mbowe dada wa mwenyekiti wetu wa taifa chadema (kub) kuzikwa kesho nyumbani kwao machame.habari ziwafikie makamanda wote wa chadema popote mlipo,tulimpenda sana lkn mungu zaidi.
Mambo mengine bhana. Kwa hiyo mbowe akiwepo dada yake atafufuka?
Au unataka kuwasilisha kitu gani unaposema mpaka sasa Mbowe hayupo kanisani?
Inawezekana hajaenda kanisani kwa kuwa anashughulika na masuala mengine ya msiba. Na inawezekana pia kifo cha dada yake hakina uzito mkubwa kama unavyotaka kutuaminisha hapa kuwa ni lazima mbowe awepo kanisani.
Hili suala ni la kifamilia zaidi, kwenye familia ya mzee mbowe, na nadhani huyu dada (Marehemu Grace) amepata coverage kubwa sana kwenye media kwa kuwa tu ni dada yake na F.A Mbowe. Vinginevyo hata wewe usingetuletea huu uzi wako hapo.
CCM acheni siasa za kuviziana vichakani kama watoto wadogo wanaochezea "REDE"
kWA HIYO KAMA MBOWE HAYUKO KANISANI SISI TUFANYAJE!!!!!!!!!!
HIKO NDO KILICHOKUPELEKA MSIBANI