goroko77
JF-Expert Member
- Jul 9, 2019
- 8,855
- 12,994
- Thread starter
- #101
Jidanganyeni tu sawa lkn Ni vzr kuwaza hvyo Ila siyo sawa kwa mzazi kutoka public nakuanza kusema huna pesa usije kwangu SAS mbna bint ake kazalia nyumbani ameshachukia tiketi ya usingle mazasio mbaya kwa yeye kusema hivo ..alitambua jinsi gani umasikini unavyodhalilisha na kushusha heshima ya mtu ..hata wanawake wanalijua hilo kuwa kuolewa na mtu masikini ni kama ajali..