Hujazungumzia swala la kuwa ww ni mdau wa elimu rahasha, afadhari ungesema watz tuwe wazarendo kwa hili, tushikamane kwa kuwachanga wa tz wenzetu, lkn ww unetembelea kauli ya unyumbani.. basi subiri wachaga wenzio walio na roho za kihoro mje mfanye harambee yenu.Jamani nilishiriki jamani kwenye harambee ya kuiboresha pale jamani alafu ni karibia na nyumbani kwetu
Mimi nimesema hivyo kwa sababu ni jadi yetu kuchangia mbona tunachangia kwa wengine kama kwa Tundu lissu, yule mtoto kule kwa page ya Mange, tumechangia kwenye tetemeko, lucky vicent ile ajali etc
Mimi ni mdau wa elimu sipendi watoto wetu wapate shida. Kuna sehemu moja nilipita walikuwa wanachangishana ujenzi wa bweni kule Ngudu nikashangaa sana watu walikuwa wanalalamika eti wanabebeshwa matofali na shule mpaka leo haijakamilika
Anyway nimepakumbuka nyumbani
Jamani nilishiriki jamani kwenye harambee ya kuiboresha pale jamani alafu ni karibia na nyumbani kwetu
Mimi nimesema hivyo kwa sababu ni jadi yetu kuchangia mbona tunachangia kwa wengine kama kwa Tundu lissu, yule mtoto kule kwa page ya Mange, tumechangia kwenye tetemeko, lucky vicent ile ajali etc
Mimi ni mdau wa elimu sipendi watoto wetu wapate shida. Kuna sehemu moja nilipita walikuwa wanachangishana ujenzi wa bweni kule Ngudu nikashangaa sana watu walikuwa wanalalamika eti wanabebeshwa matofali na shule mpaka leo haijakamilika
Anyway nimepakumbuka nyumbani
Wewe ulishachangia ata tofali au kurekebisha mtaro mtaani kwako. Ulishawahi kusikia moshi inakosa madawati na madarasa, vituo vya afya vikakosekana, ukishawahi kusikia mkoa huu ndo umekuwa wa mwisho.Hujazungumzia swala la kuwa ww ni mdau wa elimu rahasha, afadhari ungesema watz tuwe wazarendo kwa hili, tushikamane kwa kuwachanga wa tz wenzetu, lkn ww unetembelea kauli ya unyumbani.. basi subiri wachaga wenzio walio na roho za kihoro mje mfanye harambee yenu.
Wewe ni poyoyo kweli kweliWw ulichangia kwa interest zako. Unataka kuniambia hakuna shule za kata hapo kijijini kwa zinazohitaji kuchangiwa kuliko hiyo Ashira
hata ktk hili mfanye nyinyi kama nyinyi, usitushirikishe kenye collabo ya taarabu wakati siye tushazoe hip hop(kuishi kibishi).. Kuweni bahati njema.Wewe ulishachangia ata tofali au kurekebisha mtaro mtaani kwako. Ulishawahi kusikia moshi inakosa madawati na madarasa, vituo vya afya vikakosekana, ukishawahi kusikia mkoa huu ndo umekuwa wa mwisho.
Acha wivu ndugu sio ajabu uko kwenu watoto wanakaa chini na hakuna ata vyoo vya kujistiri, maji ya bomba hamna na bado unataka umaarufu hapa
Rudi kwenu anzisheni vikundi vya kujenga kwenu na misaragambo Kilimanjaro ilmeshawaacha zamani
Mkuu una maana gani?Hivi kiwanja kilichojengwa hiyo shule kilinunuliwa/chukuliwa kihalali kweli?
Wewe ni poyoyo kweli kweli
Kwa taarifa yako kata yangu ina shule tatu na kuna uwanja mmoja mtu alitoa ardhi yake na tushajenga shule ikifika siku ya graduation tunafanya harambee na kwa taarifa yako tuna shule ya kata ina mpaka maabara 2.
Karibu Moshi mjomba au mlete mwanao asome afaulu
Kwani hiyi shule wanasoma wachagga tuu au na watoto wa watanzania wengine mbona wewe u mbaguzi sana.hata ktk hili mfanye nyinyi kama nyinyi, usitushirikishe kenye collabo ya taarabu wakati siye tushazoe hip hop(kuishi kibishi).. Kuweni bahati njema.
Kwani Marangu ipo wapiWe kichaka kweli. Mara moshi mara marangu. Unaumwa Tezi sio bure
Hahahahahaha a Moshi hakunaga mimbaMoshi ardhi ni finyu ndo sababu ila twapenda shule karibu moshi na ikiwezekana mlete mwanao tutamlea vizuri huku hakunaga mimba
Kwani kule ni Geita au Mwanza au kule kwenye Teleza.Hahahahahaha a Moshi hakunaga mimba
Hivi ni watu huwa wanayachoma au ni nini? Inasikitisha
Nyie vyasaka mna inferiority complex, huo ubaguzi uko wapi? kusema tu ni nyumbani imekuwa kosa. Nanyie hamjazuiwa kujivunia nyumbani kwenu.Tushawahi sema humu, wachaga ni wabaguzi saaana,... Wakubali wakatae,... Itabaki kuwa ukweli...