Marangu: Mabweni ya Shule ya Sekondari wasichana Ashira yanayeketea kwa moto

Ile shule tuliijenga sisi watu wa marangu maana serikali ilikuja kuuchukua. Moshi shule tunajenga sisi serikali haitii mkono wake ila sasa shule ikishakamilika ndo serikali inakuja na kunyang'anya. Ni shule yangu ile na nilishaichangia

Ikinyang’anya wanasomesha Wamalawi?
 
Back
Top Bottom