mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 80,799
- 105,950
Ile shule tuliijenga sisi watu wa marangu maana serikali ilikuja kuuchukua. Moshi shule tunajenga sisi serikali haitii mkono wake ila sasa shule ikishakamilika ndo serikali inakuja na kunyang'anya. Ni shule yangu ile na nilishaichangia
Mr Juma katoka?Video hiyo...View attachment 1105557
Ndio nani huyo?Mr juma sjui alitoka
Ova
Mr.Juma ndio nani?Mr Juma katoka?
Himo pale polisi zimamoto ipo kweli naonaga farasi wengi sana pale kituoni.vip jeshi la zimamoto lipo karibu? Au ndio mpaka litoke Himo
Zimamoto hadi MajengoHimo pale polisi zimamoto ipo kweli naonaga farasi wengi sana pale kituoni.
Kuna video inatembea, wanasema Mr Juma atoke jamani, natumaini kaingia kuokoaMr.Juma ndio nani?