Martin George
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 1,695
- 1,470
Hawa ni pamoja na rais wa Yanga ndugu Manji, rais wa Simba Aveva, rais wa TFF Malinzi na yule rais wa TLS aitwaye Lisu lakini huyu hausishwi na ufisadi bali uchunguzi ukikamilika tutajulishwa kosa lake!