Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,273
- 6,637
Hili sio bunge bali ni rubber stamp ya mkuu wa nchi.
Kwani Ayubu Ndugai kama mkuu wa mhimili wa Bunge alifanya kosa gani kupinga mikopo ya hovyo iliyojaa ufisadi?
Tulitarajia bunge Makini liseme ukweli kuwa kukopa hovyo na huku serikali ikikusanya kodi na tozo kamdamizi lukuki ni upuuzi.
Tulitarajia Bunge kama msimamizi wa serikali limpinge rais.
Lakini hili sio bunge ni rubber stamp ya rais.
Leo wanaenda kupiga mhuri na kupitisha ufisadi uliowazi kabisa.
Kwani Ayubu Ndugai kama mkuu wa mhimili wa Bunge alifanya kosa gani kupinga mikopo ya hovyo iliyojaa ufisadi?
Tulitarajia bunge Makini liseme ukweli kuwa kukopa hovyo na huku serikali ikikusanya kodi na tozo kamdamizi lukuki ni upuuzi.
Tulitarajia Bunge kama msimamizi wa serikali limpinge rais.
Lakini hili sio bunge ni rubber stamp ya rais.
Leo wanaenda kupiga mhuri na kupitisha ufisadi uliowazi kabisa.