Hata Samia thamani yake itaongezeka akisha toka Ikulu naamini
Samia hana chochote anachojua. Anaamini sana kuambiwa.
Kwa kauli yake, mwenyewe alisema anataka kuunda serikali ya kitaasisi.
Maana yake wateule wake wote amewapa uhuru wa kufanya maamuzi, ili yeye asijiumize kichwa AISHI Kama MALIKIA.
Wateule wenyewe ni takataka kabisa kina Mwigulu Nchemba, January Makmba, Mchengerwa, Nape Nnauye.
Kwasasa kila mmoja anashindana KUIBA tu.
Genge lote la wizi la awamu ya Kikwete kina Karamagi, Abbas Mtemvu, limerudi kwa Kasi KUU.
Nchi hii Sasa hivi itabaki SKELETON tu.
Samia hana MAAMUZI kabisa, yupo yupo Bora kumekucha. Hana DIRA anaongoza Kama Kama vile ni RAIS wa MPITO tu.
Hata yeye anajua ameshapuyangq, ndio maana amaekuwa Muoga wa kutisha hata mikutano ya kisiasa anaogopa, anatembelea zuio la Magufuli.