1)-roya hana panga kwa sasa!....
2)-sisi hapa bondeni hotel tumepumzika tu!kuna nyororo kubwa sana hapa morogoro rodi....!tumelala tu mkuu,tupo the uppermost floor.namuona fidel anapita na tukutuku mapipa hapa!tumelala tu mkuu NOTHING PERSONAL
:rip:-roya
usiwaze sana mpwa!.....
inaonekana ni wewe tu sijawahi kukwambia kuwa roya ni ''joka-la-maonyesho''...
ana kisukari!
Unajua hata dogo wangu wa mwisho huwa akiona nanyoa ndevu basi na yeye anang'ang'ania anyoe na zake....basi nampitishia mashine kidevuni kwake na anatoka mbio kwa furaha kwamba amenyoa ndevu....
Thats Baba Gift....dogo tu!
mimi ni DOGO sawa!....Unajua hata dogo wangu wa mwisho huwa akiona nanyoa ndevu basi na yeye anang'ang'ania anyoe na zake....basi nampitishia mashine kidevuni kwake na anatoka mbio kwa furaha kwamba amenyoa ndevu....
Thats Baba Gift....dogo tu!
Nimekusoma, kimwili zaidi.....kiroho waachie makasisi na watakatifu......need i say more?1)-roya hana panga kwa sasa!....
2)-sisi hapa bondeni hotel tumepumzika tu!kuna nyororo kubwa sana hapa morogoro rodi....!tumelala tu mkuu,tupo the uppermost floor.namuona fidel anapita na tukutuku mapipa hapa!tumelala tu mkuu NOTHING PERSONAL
:rip:-roya
mimi ni DOGO sawa!....
lakini muulize R akupe ripot
naona baba g anaelekea kwenye kuwa :llama::llama:......Dawa yao hawa ni kuwa:deadhorse: then hii :mod: ikija, tunalane: haooooo Dom na anonymous na mama kubwa. wao wanapelekwa MOI.Unajua hata dogo wangu wa mwisho huwa akiona nanyoa ndevu basi na yeye anang'ang'ania anyoe na zake....basi nampitishia mashine kidevuni kwake na anatoka mbio kwa furaha kwamba amenyoa ndevu....
Thats Baba Gift....dogo tu!
Utaelewaje stori za wakubwa?ha ha ha!
mkuu i wish ningeelewa ulichoandika
wakubwa tupo hotel mida hii....!
we mkubwa?
okei okei.....ingawa kuna watu wanatembea na RB wakiusikia tu unapigwa mahali wanakubeba but we will do the nidful....vp wewe ulisema utapanda pawa tila au ndo unakuja na bajaji ya Baba G?.....Nature is now taking its course
Don't count your chickens before they're hatched.
.....hivi chickens hatch chickens au eggs hatch chicks?
Isengwile Lily!
Binamu tutaweka the lowest voice
BTW mie nakuja na meli ya Kaizer:bowl::bowl::bowl: