Marafiki wanne wamekufa katika ajali ya gari...! Cheki hapa

Marafiki wanne wamekufa katika ajali ya gari...! Cheki hapa

Money Stunna

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2011
Posts
13,053
Reaction score
6,333

car+accident+ikotun+lagos.jpg


Gari hili limepata ajali huko nchini Nigeria, ndani yake wamekufa marafiki wanne ambao walikuwa wametoka night club nchini hum. Miili ya marehemu imepelekwa mochwari ya hospitali ya Igando. Gari la ajali hiyo pia limepelekwa kituo cha polisi cha Ikotuni. R.I.P marehemu wote.
 
da inauma xaidi.bat wapendwa watz wezangu napenda kuwatakia heri ya marryxmax na mwaka mpya kwa kuwaomba kuwamakini ktk msimu huu wa skuku kwani ajali nyingi duniani kote and l do no y zis?
 
da inauma xaidi.bat wapendwa watz wezangu napenda kuwatakia heri ya marryxmax na mwaka mpya kwa kuwaomba kuwamakini ktk msimu huu wa skuku kwani ajali nyingi duniani kote and l do no y zis?

Xaidi....heri ya marryxmax...skuku......umesoma mpk la ngapi.???
 
da inauma xaidi.bat wapendwa watz wezangu napenda kuwatakia heri ya marryxmax na mwaka mpya kwa kuwaomba kuwamakini ktk msimu huu wa skuku kwani ajali nyingi duniani kote and l do no y zis?

Ushazoea kuitwa xxxx ndo unaisi lugha sasa
 
Duh. Gari ilivyochakaa, isingekuwa rahisi kwa hao jamaa kupona
 
da inauma xaidi.bat wapendwa watz wezangu napenda kuwatakia heri ya marryxmax na mwaka mpya kwa kuwaomba kuwamakini ktk msimu huu wa skuku kwani ajali nyingi duniani kote and l do no y zis?

Ukitumia s badala ya x vidole vinakuwa vinawashwa kabang?
 
msiendeshe magari mkiwa mmelewa pombe au madawa ya kulevya
 
da inauma xaidi.bat wapendwa watz wezangu napenda kuwatakia heri ya marryxmax na mwaka mpya kwa kuwaomba kuwamakini ktk msimu huu wa skuku kwani ajali nyingi duniani kote and l do no y zis?

Hivi hauwezi kuandika neno zima? Acha kuharibu lugha bwana, it just take seconds kuandika comment.
 
da inauma xaidi.bat wapendwa watz wezangu napenda kuwatakia heri ya marryxmax na mwaka mpya kwa kuwaomba kuwamakini ktk msimu huu wa skuku kwani ajali nyingi duniani kote and l do no y zis?
Wa ajabu sana wewe!
xxxxx
 
da inauma xaidi.bat wapendwa watz wezangu napenda kuwatakia heri ya marryxmax na mwaka mpya kwa kuwaomba kuwamakini ktk msimu huu wa skuku kwani ajali nyingi duniani kote and l do no y zis?

heri ya marryexmax???
 
Back
Top Bottom