Marafiki wanaoishi DAR... Sio kabisa

Sisi tumefunzwa ukarimu, nakupa majina ya wafuatao ukifika dar uje tukupe raha za duniani, LAT, KakaKiiza, The Finest, Mwenzetu, Jrated, LD, Husninyo, Newmzalendo, Babalao, Manundu, Carmel etc.

Hao madenti wenzako ni masharobaro, wanahisi unanuka vumbi la mkoa si unajua tena! lol
Mbona kamati ya Mapokezi: ODM, Fidel80,GY ,Bigirita MTM na Teamo hujatuorodhesha kwenye hiyo list? Au kwa vile hatujajiunga na JE Saccos? Ngoja tujiunge, wageni watakoma!
 
Pole sana DATA, kuna kitu kimoja lazima ukijue hapa bongo, muda ni bidhaa ghali sana. mie mwenyewe nilipotua hapa bongo nilianza walaumu sana marafiki zangu kwa kutoonana nao ila muda ulivyoenda nikagundua hata mimi wanaokuja wananilaumu vile vile, ukweli uko hivi:

Watu walioajiriwa muda wao ni wa manati sana, wafanya biashara ndo hutowapata kirahisi kwani muda kwani ndo mtaji

Pole sana but keep chace them!!


Ukitaka

Wana JF ... hili limekaa vipi?.. Mie nimetoka Mkoani nimekuja Jijini(DAR).. kwa Mapumziko kidogo, kusalimia ndugu na marafiki zangu....
sasa jamani ugumu nimeukuta ktk ishu moja... Rafiki zangu wa Ukweli,,nimesoma nao kabisa,,,tumeishi pamoja chuoni... tumekula bata(kujirusha) pamoja wakati nipo nao chuo...!!! Maajabu nimewatafuta niwaone wamekua watu wa ma promise yasiyokua na fulfilment... Sasa mie nikajiuliza hawa vijana wanaoishi dar... wanatuchukulia vipi sie tunaotoka Mkoa... wanadhani ua tunakuja lia NJAA..kwao auuu??? Acheni ujinga bana, tunakuja na hela zetu za mavuuno ...!!!
 
Mhhh,Uzoefu wangu ni kwamba Dar ni dunia nyigine...Watu wanaishi kama wako kwenye machimbo ya mawe na huko kwenye mashimo Oxygen haitoshi....Ni jambo linalositikisha ila kama mtu ni mwelewa na mwepesi wa kusoma mazingira, unaweza kuwapotezea na kusubiri hadi waje mikoani..Kuna baadhi ya washikaji heshima imerudi mara tu baada ya kutemblea huku mikoani na kupigwa dinner na mazaga zaga mengine!

Binafsi nnapoenda dar kuna mtu mmoja tu huwa naenda kupeana nae updates za maisha ya mjini na huku mikoani wengine wote huwa nawapotezea. Huwa sitafuti mtu zaidi ya mara moja, akiniyeyusha nami huwa nampotezea jumla.
 
Wana JF ... hili limekaa vipi?.. Mie nimetoka Mkoani nimekuja Jijini(DAR).. kwa Mapumziko kidogo, kusalimia ndugu na marafiki zangu....
sasa jamani ugumu nimeukuta ktk ishu moja... Rafiki zangu wa Ukweli,,nimesoma nao kabisa,,,tumeishi pamoja chuoni... tumekula bata(kujirusha) pamoja wakati nipo nao chuo...!!! Maajabu nimewatafuta niwaone wamekua watu wa ma promise yasiyokua na fulfilment... Sasa mie nikajiuliza hawa vijana wanaoishi dar... wanatuchukulia vipi sie tunaotoka Mkoa... wanadhani ua tunakuja lia NJAA..kwao auuu??? Acheni ujinga bana, tunakuja na hela zetu za mavuuno ...!!!

It happens to me also,sio marafiki tu hata ndugu wa karibu kitu cha muhimu ni kuwapotezea na kufanya mambo yako.Ndugu jamaa na marafiki hukutanishwa pamoja na msiba,harusi au sherehe yoyote bila hivyo huoni mtu.
 
aafu ngoja nnikueleze kitu.. mtu wa ukimwambia .. yani ukimpa taarifa kwamba nataka kuja Dar... anakuagiza mambo ya kijingajinga meengiiiii.... mara Unga wa ugali, .... mafuta ya kupikiaa, .... etc... sasa mie ua najiuliza hawa viumbe vipiii!!!?? Ivi Dar hamna mafuta ya kupikia? hamna unga wa Ugali.. Waache Upuuzii.
u
Data inaonyesha wewe siyo mkarimu hata kidogo. Muoshawa huoshwa. Mikoani kuna mambo mengi ambayo dar hakuna au ni kwa nadra kuyaona. Kama unga wa muhogo, mafuta ya alizeti ni bei ghali etc.

Kama unamind mtu akikutuma unga wa muhogo unatakaje akupokee? Lol
 
Hee! yaani hutaki hata zawadi za nsansa,matobolwa,ntwili na mihogo..&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;
<br />
<br />
Moria hiyo ndo nini umeandika maana hivyo vitu sijui hata kimoja nifahamishe tafadhali kwa roho safi
 
Ndio cku nyingine uwe unatoa taarifa kabla haujaondoka huko CTIMBI.

daah! Pole sana japo tuna tofauti..
We unakuja kufanya mapumziko mjini?
Mapumziko ya wki tu,
wa2 mishemishe kibao mji huu, tunasaka mchone/goto..
Usije tena mjini...
Haaahaa natania..!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom