Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 15,921
- 14,821
"Hakuna watu wanafiki huku Duniani kama Marafiki WA mpenzi wangu (mashemeji WA KIUME)
Wanajua ubaya, siri, dhambi nyingi anazofanya mpenzi wangu lakini watakunafiki mwanzo mwisho😱
Wakikuona Tu wanakusalimia, shemeeejiiii, au shemeji wewe
Woi 🚶🚶🚶🚶🚶🚶
Mashemeji popote mlipo Mungu atawachoma na gesi" ... Alisema shosti Angu hapa grocery akiwa amevurugwa anashushia na castle lite
Wanajua ubaya, siri, dhambi nyingi anazofanya mpenzi wangu lakini watakunafiki mwanzo mwisho😱
Wakikuona Tu wanakusalimia, shemeeejiiii, au shemeji wewe
Woi 🚶🚶🚶🚶🚶🚶
Mashemeji popote mlipo Mungu atawachoma na gesi" ... Alisema shosti Angu hapa grocery akiwa amevurugwa anashushia na castle lite