Marafiki wa kweli ni wa utotoni

Marafiki wa kweli ni wa utotoni

f4b90a52-cd21-45df-9479-9285f97bf446.jpeg
 
Ulikuwa urafiki wa kweli wakati wa utoto, Kwa Sasa haina guarantee, coz people changes.
 
Laiti wakati ungekuwa na rivasi... Muda ungerufunulia mengi tuliyopitia yakatujengea bond isiyokatika.. If i could turn back the time!
Nimekuja kugundua haya mambo ya kusoma na ajira yanatuondolea furaha maara unajikuta unaajiriwa sehemu ambayo ni mbali na nyumbani.

So unajikuta uko mbali na ndugu na marafiki uliotengeneza nao bond kwa miaka mingi,kule unakoenda kusoma ama kufanya kazi unakuta watu walishate
Ngeneza bond zao so wewe unakuwa kama unajiibaiba tu kuwa rafiki.

Hii kaka jnaizungumziaje?

Kama mimi niko mbali na nyumbani yapata zaidi ya miaka 10,marafiki wa utotoni na shuleni nimeshakata nao mawasiliano, hatuna interest tena ya kuzungumza kama zamani, inaweza pita miezi hata miwili.

Hii sukuhu yake ikoje na unaizungumziaje mkuu +
 
Haya mambo yapo.. Mpaka nikafikia kuandika kulikuwa na sabubu very genuine
Mkuu huu uzi ni wa dhahabu sana.
Hiyo changamoto ya urafiki naipitia mimi kwa sasa najiona kama siko connected na watu.

Natamani kuishi maisha ya zamani ya utotoni, ila nimegundua hata utotoni sikuwa na marafiki wa dhati ambao nilikuwa naweza kujiachia kwao kufunguka lolote.

So nadhani hali hiyo innitafuna hadi leo
 
Best!simply Best!!the best till today he was the best I say!!

Hadi leo still the best japo hatufanyi kazi sehem Moja but he's the best!!

Simple he's the best!!

Hats nilipoenda kibara kule chitengule when phoned I was there because he's the Best!!
 
Best!simply Best!!the best till today he was the best I say!!

Hadi leo still the best japo hatufanyi kazi sehem Moja but he's the best!!

Simple he's the best!!

Hats nilipoenda kibara kule chitengule when phoned I was there because he's the Best!!
Hadi leo still the best japo hatufanyi kazi sehem Moja but he's the best!!

Simple he's the best!!🔥🔥🔥🔥💗💗💗💪🏿
 
Duuuh mimi nilipokulia hamna aseee ni mtoto pekee kwenye familia mkuuu sina rafiki yeyote wa utotoni sijui kucheza michexo ya kombolela sijui makaraa hiyo naisikiaga tu kwa watu mm ni midoli na magari ya kitoto tu ndo ninayoijua nina rafiki 1 tu wa kweli nimesoma nae from form 1 to form 6 basi combi sawa kila kitu sawa chuo tu ndo tumepotezana yupo mbeya mi nipo dar yeye pekee ndio ninaeweza kumchuja hapa tumetoka mbali sana kwenye maisha ya shule mawasiliano hayakauki
Ndio mshapotezana sasa ndio kitu kilekile alichokisema mkuu Mshana.
Ila ingekuwa nyumbani kwenu ni majirani lazima angekuwa anarudi kuja kusalimia kisha mnaonana
 
There’s no greater blessing than still having your school friends in your life. Those bonds are rare and truly priceless. 💖
 
Ambae hajawahi kuchezea mvua daaah utoto kazi kweli kweli

Nakumbuka pale Mkapa Export kabla hapajawekwa ukuta kulikua na minara ya mawasiliano sasa ukipita km unaenda Mabibo hostel kulikua na vichaka kulikua na matunda poli fulani hivi enzi hizo tupo watoto watoto tulikua tunayafuata matamu kishenzi daah sasa hivi hakuna poli pale 😂
😃 Sio mvua tu, hata kuchezea udongo, kucheza mpira kule uwanja wa Sahara kila mara shule zikifungwa tulikuwa tunakuwaga na mechi kali. Timu za watoto-vijana kutokea sehem kubwa ya mabibo(external hadi wa kutokea mabibo jeshini) na kuwa kama mchuano mkali.
 
Back
Top Bottom