Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 7,081
- 13,053
Kuna kaukweli ndani Yake.
Hahaha. Yaani hawa wanawake. Ni kuishi nao kwa akili.Halafu wadada wengine shemeji wanaiitia puani sheem, shemela huku wanarembua katika hilo tuko pamoja sitaki mazoea kabisa,
Ndio ukweli mchunguDuh! Aisee!
KwaniniMimi nikishaoa sitaki Mke wangu awe na rafiki yoyote yule... Full stop
Na ngoma je?Ukitaka kufa kwa presha ni kuanza kutaka kujua mambo ya mkeo au mumeo, yani kama analiwa naa hujawahi kujua usitake kujua
As long as unahudumiwa kwa nafasi yako bila shida usiatake kulazimisha kujua mko wangapi!!
Tuishi tu!
Halafu wadada wengine shemeji wanaiitia puani sheem, shemela huku wanarembua katika hilo tuko pamoja sitaki mazoea kabisa,[/QUOTEshemeji shemeji huku amebana pua]
Hapo wala sikulaumu sababu jamaa alihalalisha mwenyeweUko sahihi kabisa,japo mm nilishatubu ila hiyo kitu ilishawahi kunitokea,
Rafiki yangu alifanya kijisherehe kabla ya kusafiri kikazi na hivyo akaniomba niwe msimamizi wa mkewe kipindi akiwa safarini,
Baada ya kula na kushiba tukiwa nyumbani kwake na jioni hiyohiyo ndio alikuwa anaondoka !
Kifupi baada ya jamaa kuondoka shem akaanza vibweka kila nikiaga ananiambia subiri kidogo,gafla kumbe kaenda kuoga na alivyoingia ndani kabwaga kanga huko huku akipaka mafuta ikabidi nijifanye nimelewa na kujilaza kwenye kochi,
Wazo likaniijia niondoke ile nanyanyuka na kushika mlango nakuta mlango ameulock!!
Nikiwa nimesimama mlangoni nikiomba anifungulie kaja kwa nyuma na kunishika dhakali dah!!
Nilisikia sauti ya shetani ikisema mpelekee moto wewe nami pasipo kujitambua nikamtii shetani kwa muda huo,ikawa imeisha hiyo
HahahahaHalafu wadada wengine shemeji wanaiitia puani sheem, shemela huku wanarembua katika hilo tuko pamoja sitaki mazoea kabisa,
Ukiletewa we icheze tuNa ngoma je?
karudi kule kule uwongo?? ndo ni wiziTafsiri ya ulichoandika ni kataa ndoa
Duh huyo mwamba naye mvumilivuKuna mke wa rafiki yangu ananikubali sana mpaka naona aibu mimi. Imefika kipindi ananichangamkia sana tena hata mbele ya mume wake
Huwa nikimkata jicho la wizi mwanangu pembeni huwa naona jinsi anakuwa na wivu kiaina.
Sipendi hii hali na wala sio sifa najua udhaifu wa wanawake ipo siku nitamla kimasihara kitu ambacho naomba kisitokee
Juzi Jumapili nilivaa na kweli nilipendeza akaanza kumwambia mume wake mbele yangu awe anavaa kama mimi, nilijishtukia sana ikabidi nibadilishe mada kwenye mazungumzo yetu
Jamaa ni mwanangu sana tumeanza kufahamiana kabla hajaoa. Ila hii hali inaweza kuvunja urafiki wetu
Wanawake sijui wanataka nini!
Mwamba ni mtu mmoja mnyenyekevu sana na wala sio mwongeaji. Itabidi tu niwe nampotezea huyo shemeji yanguDuh huyo mwamba naye mvumilivu