screpa
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 10,792
- 15,693
Nafikiri hili ni kundi hatarishi zaidi kwa ndoa ama mahusiano, kwa mimi mwanaume katika vitu navyoviepuka sana ni kuruhusu ukaribu wa rafiki zangu ama hata kakayangu na mkewangu, yaani mkewangu hapaswi kuwa hata na namba ya rafiki yangu and vice-versa.
Kwa mtazamo wangu mwanamke ni rahisi sana kulika na hili kundi hasa akiona 'shemeji' kwa namna fulani yuko superior kulinganisha na mme/mpenzi. JADILI....
Kwa mtazamo wangu mwanamke ni rahisi sana kulika na hili kundi hasa akiona 'shemeji' kwa namna fulani yuko superior kulinganisha na mme/mpenzi. JADILI....