unajua bwashee,
raha ya zero pub ni mkienda ma-HE tu!yu noo woraa aai miini
Nyani wakihangaika kuwaibia vitu vyenu, wale jamaa walishanifanyia mbaya manyara acha tu, camera ilienda.Pia wasaaa wa kuonaq simba wakimegana, they are very romantic if u know what I MEAN..
twiga wakitembea kwa madaha
tembo wakiranda randa huku na huko..
viboko wakiwa kwen maji lakini ngoja watroke usiku! we!
ndege wakiimba nyimbo nzuri
swala aina kwa aina wakitembea huku wakifurahia maisha..
so many more!
hehehe!you are almost dhea!unaweza muomba fl1 akusindikize toilets za HE..(kama ilivyo desturi ya zero-pub) AKASHINDWA KUELEWA!kwangu mimi itakuwa embarrassment kubwa sana!hehehehehe!pale zero tunasindikizwa toilet na tunaweza kaa huko hata 40minsYeah! I knoo woraya saying. Si unajua tena unaweza kuteleza toilet sasa ma-she wakiwepo utakuwa msala. Hahahaha!
senks tayari mkulu,totoz zilizokuwa single zitakuwepo? sina mana mbaya lakini kwani huwezi jua wapi waweza pata mke bora,ha ahahaa
hehehe!you are almost dhea!unaweza muomba fl1 akusindikize toilets za HE..(kama ilivyo desturi ya zero-pub) AKASHINDWA KUELEWA!kwangu mimi itakuwa embarrassment kubwa sana!hehehehehe!pale zero tunasindikizwa toilet na tunaweza kaa huko hata 40mins
kama utakuja kwa ajili ya hilo tu,tutakulazimisha ujifungie hotelininapata picha mambo yatakavyokuwa barabara kabisa ..mie nitakuwa pembeni nachukua matukio adimu sihitaji shughuli nyingine
napata picha mambo yatakavyokuwa barabara kabisa ..mie nitakuwa pembeni nachukua matukio adimu sihitaji shughuli nyingine
hehehe!mpwa hii ni sredi kabbisa,to be diskasid keshohahaha! au yale majimama yalivyosokomezeana mavidole machoni kwa sababu ya kosa la mpwa fidel kuchukua kontakts kwa watu watatu at a go. Hahaha! kweli zero pub panafaa ma-He peke yetu.
ili mradi hautamsogelea ZD....... kazi kwako kama huna kabamia. Hahahaha!
kama utakuja kwa ajili ya hilo tu,tutakulazimisha ujifungie gesti
hahaha mie naaandaa maternity kwa staili hii habari itakuwa Zero distance all ze tym
hehehehehehe!hivi kule kuna gesti?!1!!!!!....A Point To Note!
hehehehehe!Hahahaha! You Can Say It Again. Kabinti ka pili lazima tukatengenezee pembeni mwa Twiga.
heheheee ,Kunambi wewe unadhani ni mume bora? Mke mwema anatoka kwa Bwana.senks tayari mkulu,totoz zilizokuwa single zitakuwepo? sina mana mbaya lakini kwani huwezi jua wapi waweza pata mke bora,ha ahahaa
ili mradi hautamsogelea ZD....... kazi kwako kama huna kabamia. Hahahaha!
sisi huku mbona kulikucha masaa saba yamepita?naona kumekucha.......
ni kweli!juzi tulikuwa na shemeji kwenye duka la silaha pale kariakoo kwa ajili ya swala lako la kukulinda!hili ondoa shaka!tumeshateki keaYou promised kuwa utanilinda milele.Teh teh