Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,323
- 18,793
We nae husahau mambo ya zamani namna ile wakati enzi hizo tukicheza dimbadimba na mdako?
Hivi watu wa enzi hizi wote wako hai kweli?....wengine usikute walishajeruhiwa na mabandidu aisee!
hili lithread ukilifuatilia utacheka sana........siku hizo kulikuwa burdaaaan tosha........