alumn
JF-Expert Member
- Jul 15, 2018
- 2,366
- 3,109
Marafiki habari.
Nina mdogo wangu kapata chuo Uingereza na scholarship amepewa kama 40% hivyo tunatakiwa kuongezea kama 26million Tshs. Na bado gharama zingine ndogondogo akiwa kule ni juu yetu. Sasa wadau mdogo wangu anasema yeye anahitaji kwenda na anasema atafanya vibarua kule kufinance baadhi ya gharama akiwa kule. Naombeni kwa mliowahi kukutana na hali kama hii na mkaweza kwenda je mkifanikiwa kiasi gani kufanikisha malengo ya masomo. Msaada please....
Nina mdogo wangu kapata chuo Uingereza na scholarship amepewa kama 40% hivyo tunatakiwa kuongezea kama 26million Tshs. Na bado gharama zingine ndogondogo akiwa kule ni juu yetu. Sasa wadau mdogo wangu anasema yeye anahitaji kwenda na anasema atafanya vibarua kule kufinance baadhi ya gharama akiwa kule. Naombeni kwa mliowahi kukutana na hali kama hii na mkaweza kwenda je mkifanikiwa kiasi gani kufanikisha malengo ya masomo. Msaada please....