Si mpoki huyu au? Vp kaweka pozi kama anautapiamlo? Hihihhhhiiii.
Huyo ni Kapten Komba (MB)
wewe ndio kizazi kipya cha JF chenye upeo mdogo....acheni wivu banaaaaaaaaaaaaa
HUjaelewa tu? shughulisha akili kidogo basi mkuu.....maradhi ya kujitakiia ambayo yanaambatana na mabadiliko ya kimaisha ya watu tabaka la kati....kula vibaya,kutokufanya mazoezi,kufanya kazi sana etc....yanapelekea ongezeko la mwili unene.....Ufafanuzi ndugu mleta thread unamsema nani hapo kwenye picha?