Peril22
JF-Expert Member
- Apr 15, 2020
- 1,422
- 2,313
Daah, hatari mkuu.Dah! kama mama ataiona hii comment basi itabidi akufikirie kwenye uteuzi yaani wewe ni mwanasiasa by natural.
Daah, hatari mkuu.Dah! kama mama ataiona hii comment basi itabidi akufikirie kwenye uteuzi yaani wewe ni mwanasiasa by natural.
Ha ha haa ulipewa kichapo kikaliMTU wa kwanza kuanza kumtongoza alikuwa mume wa MTU,nilitafuta namba ya simu kwa watu wake wa karibu...nikaanza chat nae alivyonitambua akajisogeza zaidi...haikuwa shida sana I just confessed to him.Yaan ilikuwa kama alikuwa anasubiri nitamke sikuzote...nakumbuka alinijibu tu haraka tuonane....aisee mbona baadae nikajikanda na maji ya moto yenye chumvi.Sikumtafuta tena,ila nilimpenda kiukweli uchu wake ulimponza
Daah umenikimbusha mbali sana, nikiwa darasa la tano nilimwandikia barua mtu ninaekaa nae dawati moja kumtongoza na nikamuahidi akikubali namuhamisha shule na kumpeleka english medium. Yule fala huwa ananicheka mpaka leo.
ilikuwajeeeDah siku ya kwanza kupigwa sound aisee acha niishie hapa....😀
😂😂😂We bwege kweli!! Dah...
Nilitongozwa kwa barua nikiwa kidato Cha tatu...
Na mwanadada mmoja hivi Mwenye jina la Jimbo moja huko USA maarufu kwa fukwe zake matata na mengine mengi...
Wiki nzima nilikuwa naitizama naisoma ile barua .. na ilinichukua wiki kuijibu..
Alikuwa Ni mwanamke wangu wa kwanza kumkiss aseh aseh aseh 😂
First love huwa Ni nyokoooo
daaaah ila zamaniNiliandikiwa barua ya mapenzi na wasichana 2 (barua 1) wakati niko darasa la 2. Sikuijibu. Aliyeileta akaja tena kuniuliza. Nikakataa. Nilikuwa mdogo sana kujiingiza kwenye mapenzi wakati huo. Wale wasichana sijui walifikiria nini tu! Nao walikuwa walikuwa wadogo sana.
Kuna siku walimu walipekuwa mifuko ya madaftari shuleni, wakalikamata barua za mepenzi lukuki. Na adhabu kwa waliopatikana nazo zilitembea sana. Kumbuka wakati huo kulikuwa hakuna simu.
Kwa upande wangu macho huwa yanamaliza kila kitu sina haja ya kuongea
Nikikuangalia zaidi ya mara tano au sita umeisha Narudia tena hiyo kazi inakuwa imesha
Form 2,,una miaka 20??,,,,umetupiga bati mzee,,,,Sikuwahi kujua kama najua kutongoza hadi pale nilipikula tunda kwa mara ya kwanza.
Ilikuwa siku moja nipo form 2 nimeenda Jioni shuleni kucheck mazoezi ya mpira nikiwa na baiskel yangu ya gear nimevaa sweta pullover na nikiwa na walkman mfukoni earphones sikio moja
nikawa naimeenda bomba la shule kuosha bike yangu, nikakuta walimu wanafanya maandalizi ya mtihani wa 4m4
Mwalimu mmoja Pisi kali ajira mpya akaniambia usioshe hapo wenzio wanakunywa hayo maji huku akisogelea bombani.
akaukuza hiyo mfukoni ni simu au nini, nikamwambia hapana ni radio. nikaitoa akaionaakauliza unasikiliza nini? nikamwambia nyimbo. akachukua akaweka masikioni.
kile kidude kilikuwa kinadunda mziki balaaa. wajuzi wa sony walkman nadhani wanajua mbilinge lake.
Akasema niazime, basi nikampa. akatumia weeee, hadi kikaisha chaji asijue atanipataje
Kama siku mbili hivi akawa busy na mitihani, nilivyoenda kuchukua, akasema sikumpa chaji ajasikiliza vizuri. nikamwambia ngoja nikuchajie ntakuletea baadae.
Mjubwa nimetinga kwa ticha saa 4 usiku, nikagonga mlango akafungua nikaingia.
tupo ndani nikamwambia leo nimekuja kwako, huwa nafurahi sana kukuona. you real beautful.
by then nilikuwa na miaka 20yeye alikuwa na 28.
akasema acha utan. haya basi nione, nikawa namwangalia. akaingia chumbani akarudi na knguo kingine eeeeh kifupi hiviiii mapaja chuchu nzuriiii
daaaah nikadinda mzee, si akaniona akaanza kunicheka
Na mimi nikaanza kuweka pozi, aya nione mara nikae hivi mara vile akawa anacheka, akaingia chumbani akasema subiri.
akatoka na bikini na kisidilia juu, Aaaaaaaah Kmmmmmmk nikasema leoooo nimepatikana,
nikavua suruali na Tshit na sweta nikabaki na Boxer na Vest nikawa naweka pozi anione
mara tukakumbatiana mara tukaburuzana chumbani kuanza kupigana miti.
Sikuwa na uvumilivu mzee ile nimezamisha Wazungu hao, nikapiga ile mashine kama baada ya Dkk 30 mii hoi.
tukalala hadi asubuhi.
kulivyokucha nikashindwa kutoka kutokana na mazingira, akenda shuleni. mida ya saa 3 akaniletea vitafunwa na mchana chakula tukakubaliana ntaondoka jioni watu wakipungua
basi ndio yakawa maisha yetu. hadi nikazaa mtoto wa kiume na yule ticha
Hadi leo hii mtoto ana miaka 18 yule ticha hajawahi kuolewa wala kuzaa. Mke wangu hajui kama nina mtoto na hata wazazi wala ndugu zangu hawajui.
zaidi namsomesha mtoto, amemaliza form 4 amepata Div. 1.
Sasa huyo ticha ananisumbua Tuzae tena angalau apate mtoto mwingine
ana mwili mzuri huwezi jua kama ni mmama.
UlIpelekewa moto hatariMTU wa kwanza kuanza kumtongoza alikuwa mume wa MTU,nilitafuta namba ya simu kwa watu wake wa karibu...nikaanza chat nae alivyonitambua akajisogeza zaidi...haikuwa shida sana I just confessed to him.Yaan ilikuwa kama alikuwa anasubiri nitamke sikuzote...nakumbuka alinijibu tu haraka tuonane....aisee mbona baadae nikajikanda na maji ya moto yenye chumvi.Sikumtafuta tena,ila nilimpenda kiukweli uchu wake ulimponza
Mkuu na mm ndo naifikiria hii elimu namna ganiForm 2,,una miaka 20??,,,,umetupiga bati mzee,,,,
Wakati nipo form4 teacher wetu wa chemistry alikua mrembo kwelikweli, darasani ilikua kila macho yetu yakigongana ananionyesha tabasamu lile la aibu aibu ya kike, basi tabasamu lake ndio lilikua linanimaliza kabisa.Kwa upande wangu macho huwa yanamaliza kila kitu sina haja ya kuongea
Nikikuangalia zaidi ya mara tano au sita umeisha Narudia tena hiyo kazi inakuwa imesha
Nini kiliendelea?Wakati nipo form4 teacher wetu wa chemistry alikua mrembo kwelikweli, darasani ilikua kila macho yetu yakigongana ananionyesha tabasamu lile la aibu aibu ya kike, basi tabasamu lake ndio lilikua linanimaliza kabisa.
Nilitokea kumpenda sana madam mpaka muda mwingine nashindwa kuzuia hisia zangu.
Siku moja tuko darasani kama kawaida baada ya macho yetu kugongana na kutabasamu bana nikamkonyeza akawa anachekacheka, baada ya kumaliza kipindi akaniambia anikute ofisini.
Me kutongoza sio fani yangu maranyingi napendwa nasubiri mpaka aseme yeye na asiposema basi ukimya mpaka mileleMara ya kwanza kabsa kisichana kilinitongozaga.. wenye visura vya mama mnatuchukuliaje nyie wadada