Wewe una mawili, Haujasoma kabisa (hata chekechea) au umesoma kwa kukariri. Jibu swali MARA YA MWISHO ULIONA UMATI GANI MKUBWA WA MWANASIASA WA HAPA TANZANIA, AMBAYE HAJAWAKODIA WANANCHI MAGARI YA MJI MZIMA KUWAPELEKA KWENYE MKUTANO, HAJAWAHONGA WANANCHI MA-TISHIRT, KANGA, VITAMBAA ILI WAHUDHURIE, bali wameenda wenyewe.
Watu wenye makosa ya kiutawala kama wewe na wifi yako kikwete siku zote tutawajua tu, kila kitu nyie mnajua kujihami tu bila kuangalia kilichosemwa.
Mkuu UTINGO, kiu'kweli, nimeshasahau hata ni lini mara ya mwisho kuona umati mkubwa namna hii wa watu, ambao hawajahongwa, hawajakodiwa mabasi kwenda kwenye mikutano, hawajapewa tshirt, kanga, vitambaa, kuhudhuria mkutano wa mwanasiasa yoyote tanzania, nimesahau kwakweli.