Gucci gang
JF-Expert Member
- Jan 7, 2018
- 2,448
- 4,475
Kanye hauzii watu kiatuNaona umekula Yeezy kiatu ya bei ghali sana mkuu😂
Hawataki kula wasije wakafa wakiwa wamevaa wakaua brand😂😂😂
Hii ni Ndeezy😂😂
Kanye hauzii watu kiatuNaona umekula Yeezy kiatu ya bei ghali sana mkuu😂
😁😁😁😁😁😁😁Kanye hauzii watu kiatu
Hawataki kula wasije wakafa wakiwa wamevaa wakaua brand😂😂😂
Hii ni Ndeezy😂😂
Nimecheka Sana.Hii jeans inahitaji mjadala wa kitaifa
Stake inaweza kua tumboni na kwenye kifua mkuuPa kushika papo, ke akiwa na 70-75 anakuwa na stake nzuri⛷️⛷️⛷️
Acha uongo.60 Yani natia aibu
Sio kwa lile guu, utakua kwenye 80-90Itakuwa kwenye 72
Hii inathibitisha kwamba pakushika papo...that's what I like🤣🤣Dah,Niko najuta hapa🙆🙆🙆
Kwanini mkuu, mimi ni mrefu ndiyo sababu,😂😂😂 umeyatimba
🤣🤣🤣🤣Dah,mie najijutia wewe nawe uko na mawazo yako ya kilegend,nchi ngumu sana hiiHii inathibitisha kwamba pakushika papo...that's what I like🤣🤣
Yeezy ya mchongoNaona umekula Yeezy kiatu ya bei ghali sana mkuu😂
Kitimoto sio?250kgs