nzalendo
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 10,687
- 9,867
Mimi nilikuwa na kilo 56, ni kama wiki tatu zimepita sasa. Wewe je ulikuwa na ngapi?View attachment 2944524112 kg
Mimi nilikuwa na kilo 56, ni kama wiki tatu zimepita sasa. Wewe je ulikuwa na ngapi?View attachment 2944524112 kg
Niambie nipunguze menu, gym sifanyi hata kwa mtutu.Sitishi hata kidogo😅😅
Twende gym bana acha kujifariji
Pa kushika papo, ke akiwa na 70-75 anakuwa na stake nzuri⛷️⛷️⛷️Itakuwa kwenye 72
Ww ni mimi kabisa.54 kg. Ft 5.2. imagine mwonekano wangu
Kikubwa Cha kuzingatia Ni body mass index (BMI)Hivi Mwanamke kiafya anatakiwa kuwa na Kilo ngapi mkuu maana ninapo elekea kama tembo.
Sawa ntafanya hivoHapo sawa.....
Mazoezi kidogo tu zitakaa sawa.
79 KGMimi nilikuwa na kilo 56, ni kama wiki tatu zimepita sasa. Wewe je ulikuwa na ngapi?View attachment 2944524
Kagojwa haka hakaAccording to your uzito..
Tutahitaji na umri wako ili tujue una matatizo gani wewe..
😂😂😂😂😂
Kilo za wenzetu hizo ujue
Kibonge
Kwa iyo height ni normal kama ulisha zaaa73kgs urefu cm 178, je ni sawa ama nipunguze kidogo?, nilikuaga na kgs64 chuo hadi namaliza, nilivyoingia mtaani ndiyo mabadiliko🙄
Uwakika 😂😂😂😂😂Kagojwa haka haka
Kabisa hujaongopa 70-75 kwa ke mwenye urefu wa wastani ni uzito mzuri sio bonge wala mwembamba kila nyama inatulia mahali pake, ikipungua 70 unachuchuka sana, ikizidi 75 unaanza kuonekana kibonge,, tuna kazi sana kumaintain miili hiiPa kushika papo, ke akiwa na 70-75 anakuwa na stake nzuri⛷️⛷️⛷️
Hapana bado sijajifungua hata mtoto mmoja mkuu, vipi hapo is it ok ?Kwa iyo height ni normal kama ulisha zaaa