YemweeeeeeeeeeMara paaap Dotto Magari ndiye Makamu wa Rais
Kumbe umeliona hiloTunaenda kupata makamu wa Rais wa kwanza Mwanamama.
Ndio yatakuwa maridhiano hayo.. ila hilo likitokea, TAL inabidi ajiunge na Mbogamboga
Mboya je?? Wasila kweli atawafaaKuna watu watatu amboa naona watafaa: ama mboye ama wassial au bashite
Hapa ndio unajiona umeandika mpaka mwisho, si ndio?Note my word, uo ndo utakuwa upya WA ccm na MABADILIKO makubwa yatatokea.
Utakuwa ndo mwanzo wa kifo wa CHAMA cha democracia na maendeleo CHADEMA maana kila jambo lao litafanyika.
Katiba mpya, Tume huru ya uchaguzi na mambo mengine mengiiiiiii.
Ameandika kitinda mimba mi nimefanya kupostKwa heshima yako mkuu hupaswi kuandika thread za aina hii.
Wakati mwengine maada kama hizi ziwekwe kwenye jukwaa la vichekeshoNote my word, uo ndo utakuwa upya WA ccm na MABADILIKO makubwa yatatokea.
Utakuwa ndo mwanzo wa kifo wa CHAMA cha democracia na maendeleo CHADEMA maana kila jambo lao litafanyika.
Katiba mpya, Tume huru ya uchaguzi na mambo mengine mengiiiiiii.
Hufi leo wala kesho.Note my word, uo ndo utakuwa upya WA ccm na MABADILIKO makubwa yatatokea.
Utakuwa ndo mwanzo wa kifo wa CHAMA cha democracia na maendeleo CHADEMA maana kila jambo lao litafanyika.
Katiba mpya, Tume huru ya uchaguzi na mambo mengine mengiiiiiii.
Mara paap Mwijaku na makebo yake Kawa vice president.Mara paaap Dotto Magari ndiye Makamu wa Rais