Mkuu, yaani sa100 ukimcheki tu hv kwa macho unaona taswira ya mtu mwenye upeo mdogo!Mi huwa naishia kucheka tu ninapoona michadema inahangaika namna hii. Anachofurahisha huyu mama ni kwamba huwa hatumii nguvu nyiiingi kujibishana........anajipigia kwenye mshono, anatulia. Minyumbu tangu jana viti havikaliki. Hivi, kwa akili zenu, mnafikiri hajui anachokifanya?!!!!!!!! Kwamba nyie nyumbu ndo wajuaji yaani, au sio?!!😃😃😃
Akizungumza nje ya alichoandikiwa ndio kabisaaa unaona kiazi hiki!.