Mapya ya ‘awamu ya sita’!

Mapya ya ‘awamu ya sita’!

Hizo itifaki zimeandikwa wapi?
Ni mambo ya shule hayo brother diplomasia naona mmekutana mnakubaliana vitu msivyovijua sipo upande wa Mama ila mnashangaza eti Balozi akiandika barua ya kuacha kazi basi ndio imetoka hiyo yaani wateuzi wake hawatakiwi kufanya kitu aisee na wewe ni msomi kabisaa unaandika hivyo sasa ndugu zetu tuliowaacha Namtumbo huko itakuaje?
 
Daaah mm pia nilishangaa mno kumfuta kazi mtu alie acha kazi. Hii ndio tanganyika ya chura a.k.a Dalali.
Kazi ni kipimo cha utu
 
Nadhani hii serikali inayojiita ya awamu ya sita ina mambo yake ya kipekee sana!

Kwangu, hii serikali, ndo serikali pekee ninayoweza kusema inaongozwa kwa kutumia akili ndogo sana.

Kuanzia juu, katikati, mpaka chini, viwango vya akili vya watendaji wake ni vya chini mno.

Na mifano yake ni mingi sana.

Mtu unaweza kuonyesha mfano wa yule msemaji wa jeshi aliyedai kuwa jeshi la Tanzania ni jeshi la sita kwa ubora duniani, madai ambayo kichekesho.

Mwingine anaweza kuonyesha kauli ya Rais aliposema kuwa Tanzania kiuchumi inafanya vizuri kuliko Marekani. Hii ni zaidi ya kichekesho. Ni kituko cha mwaka.

Tuje kwenye siku ya jana ambapo Rais alipotengua uteuzi wa balozi ambaye alishaacha kazi 🤣.

Labda ni mimi tu ndo ambaye sielewi. Labda ni ukilaza wangu tu.

Hivi inawezekanaje kumfukuza mtu kazi ambayo alishaiacha kitambo? Ni mtindo wa wapi huu?

Ni wapi hapa duaniani ambapo serikali hufukuza watu kazi ambao walishaacha kufanya kazi kwa hiari yao wenyewe?

Sijui nyie wenzangu mnaionaje hii serikali, lakini kwangu mimi naiona ni serikali iliyofilisika kabisa kiakili na kimaarifa.

Tukio la jana la Rais kutengua uteuzi wa Humphrey Polepole, lawezekana likawa ni tukio la kihistoria duniani kote.

Hata Idi Amin sidhani kama aliwahi kufanya hivyo 🤣.
Mkuu, maamuzi na maono ya Mfalme Mangungo ndiyo alama kubwa na ya kipekee ya utawala huu wa kidwanzi wa CCM.
 
Ni mambo ya shule hayo brother diplomasia naona mmekutana mnakubaliana vitu msivyovijua sipo upande wa Mama ila mnashangaza eti Balozi akiandika barua ya kuacha kazi basi ndio imetoka hiyo yaani wateuzi wake hawatakiwi kufanya kitu aisee na wewe ni msomi kabisaa unaandika hivyo sasa ndugu zetu tuliowaacha Namtumbo huko itakuaje?
Mambo ya shule gani hayo? Iko wapi hiyo shule? Inaitwaje? Taasisi ya Kujazana na Kuendeleza Ujinga?

Mtu aliyekwishaacha kazi uteuzi wake hautenguliwi.
 
Mambo ya shule gani hayo? Iko wapi hiyo shule? Inaitwaje? Taasisi ya Kujazana na Kuendeleza Ujinga?

Mtu aliyekwishaacha kazi uteuzi wake hautenguliwi.
Mnachojua kuhusu ubalozi ni kwenda kuomba visa tu balozi zipo wazi nenda kaulize utapewa majibu nenda Ubalozi wowote hapa mmejazana wajinga watupu hakuna kitu mnajua kuhusu hilo ukipata jibu njoo hapa sio unajifanya unajua wakati hakuna kitu unajua vitu vidogo tu hivyo na mnaenda chaka...
 
Nadhani hii serikali inayojiita ya awamu ya sita ina mambo yake ya kipekee sana!

Kwangu, hii serikali, ndo serikali pekee ninayoweza kusema inaongozwa kwa kutumia akili ndogo sana.

Kuanzia juu, katikati, mpaka chini, viwango vya akili vya watendaji wake ni vya chini mno.

Na mifano yake ni mingi sana.

Mtu unaweza kuonyesha mfano wa yule msemaji wa jeshi aliyedai kuwa jeshi la Tanzania ni jeshi la sita kwa ubora duniani, madai ambayo kichekesho.

Mwingine anaweza kuonyesha kauli ya Rais aliposema kuwa Tanzania kiuchumi inafanya vizuri kuliko Marekani. Hii ni zaidi ya kichekesho. Ni kituko cha mwaka.

Tuje kwenye siku ya jana ambapo Rais alipotengua uteuzi wa balozi ambaye alishaacha kazi 🤣.

Labda ni mimi tu ndo ambaye sielewi. Labda ni ukilaza wangu tu.

Hivi inawezekanaje kumfukuza mtu kazi ambayo alishaiacha kitambo? Ni mtindo wa wapi huu?

Ni wapi hapa duaniani ambapo serikali hufukuza watu kazi ambao walishaacha kufanya kazi kwa hiari yao wenyewe?

Sijui nyie wenzangu mnaionaje hii serikali, lakini kwangu mimi naiona ni serikali iliyofilisika kabisa kiakili na kimaarifa.

Tukio la jana la Rais kutengua uteuzi wa Humphrey Polepole, lawezekana likawa ni tukio la kihistoria duniani kote.

Hata Idi Amin sidhani kama aliwahi kufanya hivyo 🤣. And he was the idiot of all idiots.
Huyu Robot la akina Kikwete na Rostam, hamnazo kabisa. Yeye anafikiri urais ni kuvaa ushungi, kupaka rangi midomo na kula kungu tu.
 
Mimi nikikaa na kufikiri huyu Rais akili kisosa huwa anakwenda kwenye Mikutano ya Kikanda na kukaa meza moja na miamba kama Kaguta, Kagame, Ruto, Hichelema na Ramaphosa naishiwa nguvu; nchi hii tumegeuka kuwa kituko hakika. Tunakubali vipi kuongozwa na hii 🚮🚮🚮🚮 ?
Hatutaruhusu tena ang'ang'anie madarakani, tutamng'oa kwa nguvu ya umma.
noReformsNoElection.PNG
 
Mnachojua kuhusu ubalozi ni kwenda kuomba visa tu balozi zipo wazi nenda kaulize utapewa majibu nenda Ubalozi wowote hapa mmejazana wajinga watupu hakuna kitu mnajua kuhusu hilo ukipata jibu njoo hapa sio unajifanya unajua wakati hakuna kitu unajua vitu vidogo tu hivyo na mnaenda chaka...
Nani mwingine amewahi kutenguliwa uteuzi wake wa nafasi ambayo alishaiacha?

Wapi kwingine duniani imewahi kutokea?

Na dhumuni la kutengua uteuzi wa mtu ambaye keshaacha kazi ni nini?

Mtu keshabwaga manyanga. Keshaondoka kwenye kituo cha kazi, unachokitengua ni kitu gani?

Uhayawani na umajinuni tu!
 
Hii serikali inayojiita ya awamu ya sita ina mambo yake ya kipekee sana!

Kwangu, hii serikali, ndo serikali pekee ninayoweza kusema inaongozwa kwa kutumia akili ndogo sana.

Kuanzia juu, katikati, mpaka chini, viwango vya akili vya watendaji wake ni vya chini mno.

Na mifano yake ni mingi sana.

Mtu unaweza kuonyesha mfano wa yule msemaji wa jeshi aliyedai kuwa jeshi la Tanzania ni jeshi la sita kwa ubora duniani, madai ambayo kichekesho.

Mwingine anaweza kuonyesha kauli ya Rais aliposema kuwa Tanzania kiuchumi inafanya vizuri kuliko Marekani. Hii ni zaidi ya kichekesho. Ni kituko cha mwaka.

Tuje kwenye siku ya jana ambapo Rais alipotengua uteuzi wa balozi ambaye alishaacha kazi 🤣.

Labda ni mimi tu ndo ambaye sielewi. Labda ni ukilaza wangu tu.

Hivi inawezekanaje kumfukuza mtu kazi ambayo alishaiacha kitambo? Ni mtindo wa wapi huu?

Ni wapi hapa duaniani ambapo serikali hufukuza watu kazi ambao walishaacha kufanya kazi kwa hiari yao wenyewe?

Sijui nyie wenzangu mnaionaje hii serikali, lakini kwangu mimi naiona ni serikali iliyofilisika kabisa kiakili na kimaarifa.

Tukio la jana la Rais kutengua uteuzi wa Humphrey Polepole, lawezekana likawa ni tukio la kihistoria duniani kote.

Hata Idi Amin sidhani kama aliwahi kufanya hivyo 🤣. And he was the idiot of all idiots.
Mama anakwambia deni kubwa sababu linatajwa kwa shillingi?!
 
Shida inaanzia pale wanapotaka kuwaaminisha wadanganyika na dunia kuwa wako vizuri ilhali wamechoka mno.hawataki kusikia ukweli,hawataki kubadirika.hatuwezi kusema chama cha CCM hakijafanya kitu lakini wanapaswa kuzingatia matakwa ya wananchi sio kila jambo kuleta siasa tu.
 
Back
Top Bottom