Mapya ya ‘awamu ya sita’!

Mapya ya ‘awamu ya sita’!

Nadhani hii serikali inayojiita ya awamu ya sita ina mambo yake ya kipekee sana!

Kwangu, hii serikali, ndo serikali pekee ninayoweza kusema inaongozwa kwa kutumia akili ndogo sana.

Kuanzia juu, katikati, mpaka chini, viwango vya akili vya watendaji wake ni vya chini mno.

Na mifano yake ni mingi sana.

Mtu unaweza kuonyesha mfano wa yule msemaji wa jeshi aliyedai kuwa jeshi la Tanzania ni jeshi la sita kwa ubora duniani, madai ambayo kichekesho.

Mwingine anaweza kuonyesha kauli ya Rais aliposema kuwa Tanzania kiuchumi inafanya vizuri kuliko Marekani. Hii ni zaidi ya kichekesho. Ni kituko cha mwaka.

Tuje kwenye siku ya jana ambapo Rais alipotengua uteuzi wa balozi ambaye alishaacha kazi 🤣.

Labda ni mimi tu ndo ambaye sielewi. Labda ni ukilaza wangu tu.

Hivi inawezekanaje kumfukuza mtu kazi ambayo alishaiacha kitambo? Ni mtindo wa wapi huu?

Ni wapi hapa duaniani ambapo serikali hufukuza watu kazi ambao walishaacha kufanya kazi kwa hiari yao wenyewe?

Sijui nyie wenzangu mnaionaje hii serikali, lakini kwangu mimi naiona ni serikali iliyofilisika kabisa kiakili na kimaarifa.

Tukio la jana la Rais kutengua uteuzi wa Humphrey Polepole, lawezekana likawa ni tukio la kihistoria duniani kote.

Hata Idi Amin sidhani kama aliwahi kufanya hivyo 🤣.
Nenda kaharishe hayo mavi tumboni.
 
Nadhani hii serikali inayojiita ya awamu ya sita ina mambo yake ya kipekee sana!

Kwangu, hii serikali, ndo serikali pekee ninayoweza kusema inaongozwa kwa kutumia akili ndogo sana.

Kuanzia juu, katikati, mpaka chini, viwango vya akili vya watendaji wake ni vya chini mno.

Na mifano yake ni mingi sana.

Mtu unaweza kuonyesha mfano wa yule msemaji wa jeshi aliyedai kuwa jeshi la Tanzania ni jeshi la sita kwa ubora duniani, madai ambayo kichekesho.

Mwingine anaweza kuonyesha kauli ya Rais aliposema kuwa Tanzania kiuchumi inafanya vizuri kuliko Marekani. Hii ni zaidi ya kichekesho. Ni kituko cha mwaka.

Tuje kwenye siku ya jana ambapo Rais alipotengua uteuzi wa balozi ambaye alishaacha kazi 🤣.

Labda ni mimi tu ndo ambaye sielewi. Labda ni ukilaza wangu tu.

Hivi inawezekanaje kumfukuza mtu kazi ambayo alishaiacha kitambo? Ni mtindo wa wapi huu?

Ni wapi hapa duaniani ambapo serikali hufukuza watu kazi ambao walishaacha kufanya kazi kwa hiari yao wenyewe?

Sijui nyie wenzangu mnaionaje hii serikali, lakini kwangu mimi naiona ni serikali iliyofilisika kabisa kiakili na kimaarifa.

Tukio la jana la Rais kutengua uteuzi wa Humphrey Polepole, lawezekana likawa ni tukio la kihistoria duniani kote.

Hata Idi Amin sidhani kama aliwahi kufanya hivyo 🤣.
Ni serikari isiyoongozwa na viongozi, bali wahuni, opportunists, hawana lengo la kuongoza bali kujineemesha tu
 
Mi huwa naishia kucheka tu ninapoona michadema inahangaika namna hii. Anachofurahisha huyu mama ni kwamba huwa hatumii nguvu nyiiingi kujibishana........anajipigia kwenye mshono, anatulia. Minyumbu tangu jana viti havikaliki. Hivi, kwa akili zenu, mnafikiri hajui anachokifanya?!!!!!!!! Kwamba nyie nyumbu ndo wajuaji yaani, au sio?!!😃😃😃
 
Mi huwa naishia kucheka tu ninapoona michadema inahangaika namna hii. Anachofurahisha huyu mama ni kwamba huwa hatumii nguvu nyiiingi kujibishana........anajipigia kwenye mshono, anatulia. Minyumbu tangu jana viti havikaliki. Hivi, kwa akili zenu, mnafikiri hajui anachokifanya?!!!!!!!! Kwamba nyie nyumbu ndo wajuaji yaani, au sio?!!😃😃😃
Alichokifanya kwenye kutengua uteuzi wa mtu aliyekwishaacha kazi ni nini?
 
Nadhani hii serikali inayojiita ya awamu ya sita ina mambo yake ya kipekee sana!

Kwangu, hii serikali, ndo serikali pekee ninayoweza kusema inaongozwa kwa kutumia akili ndogo sana.

Kuanzia juu, katikati, mpaka chini, viwango vya akili vya watendaji wake ni vya chini mno.

Na mifano yake ni mingi sana.

Mtu unaweza kuonyesha mfano wa yule msemaji wa jeshi aliyedai kuwa jeshi la Tanzania ni jeshi la sita kwa ubora duniani, madai ambayo kichekesho.

Mwingine anaweza kuonyesha kauli ya Rais aliposema kuwa Tanzania kiuchumi inafanya vizuri kuliko Marekani. Hii ni zaidi ya kichekesho. Ni kituko cha mwaka.

Tuje kwenye siku ya jana ambapo Rais alipotengua uteuzi wa balozi ambaye alishaacha kazi 🤣.

Labda ni mimi tu ndo ambaye sielewi. Labda ni ukilaza wangu tu.

Hivi inawezekanaje kumfukuza mtu kazi ambayo alishaiacha kitambo? Ni mtindo wa wapi huu?

Ni wapi hapa duaniani ambapo serikali hufukuza watu kazi ambao walishaacha kufanya kazi kwa hiari yao wenyewe?

Sijui nyie wenzangu mnaionaje hii serikali, lakini kwangu mimi naiona ni serikali iliyofilisika kabisa kiakili na kimaarifa.

Tukio la jana la Rais kutengua uteuzi wa Humphrey Polepole, lawezekana likawa ni tukio la kihistoria duniani kote.

Hata Idi Amin sidhani kama aliwahi kufanya hivyo 🤣.
Akili ya kiuongozi ya Chura Kiziwi haitofautiani sana na ya Donald Trump. Wote wanathamini sana machawa!
 
Nadhani hii serikali inayojiita ya awamu ya sita ina mambo yake ya kipekee sana!

Kwangu, hii serikali, ndo serikali pekee ninayoweza kusema inaongozwa kwa kutumia akili ndogo sana.

Kuanzia juu, katikati, mpaka chini, viwango vya akili vya watendaji wake ni vya chini mno.

Na mifano yake ni mingi sana.

Mtu unaweza kuonyesha mfano wa yule msemaji wa jeshi aliyedai kuwa jeshi la Tanzania ni jeshi la sita kwa ubora duniani, madai ambayo kichekesho.

Mwingine anaweza kuonyesha kauli ya Rais aliposema kuwa Tanzania kiuchumi inafanya vizuri kuliko Marekani. Hii ni zaidi ya kichekesho. Ni kituko cha mwaka.

Tuje kwenye siku ya jana ambapo Rais alipotengua uteuzi wa balozi ambaye alishaacha kazi 🤣.

Labda ni mimi tu ndo ambaye sielewi. Labda ni ukilaza wangu tu.

Hivi inawezekanaje kumfukuza mtu kazi ambayo alishaiacha kitambo? Ni mtindo wa wapi huu?

Ni wapi hapa duaniani ambapo serikali hufukuza watu kazi ambao walishaacha kufanya kazi kwa hiari yao wenyewe?

Sijui nyie wenzangu mnaionaje hii serikali, lakini kwangu mimi naiona ni serikali iliyofilisika kabisa kiakili na kimaarifa.

Tukio la jana la Rais kutengua uteuzi wa Humphrey Polepole, lawezekana likawa ni tukio la kihistoria duniani kote.

Hata Idi Amin sidhani kama aliwahi kufanya hivyo 🤣.
Duniani huko wanavunjika sana mbavu
 
Alichokifanya kwenye kutengua uteuzi wa mtu aliyekwishaacha kazi ni nini?
Kwa itifaki za kibalozi unaweza kutangaza kuacha kazi kwa kujiuzuru kama alivyofanya Pole pole na aliekuteua pia anatengua uteuzi wako kwa barua kwa maana anaweza akawa anatamka maneno yake akiwa kwenye hadhi ya Ubalozi wakati kumbe sio ndio maana lazima Rais kufanya alichofanya ila ilitakiwa kutoa hadhi na si kutangaza kumfukuza kazi..
Note yule ni Balozi sio CEO wazee..
 
Kwa itifaki za kibalozi unaweza kutangaza kuacha kazi kwa kujiuzuru kama alivyofanya Pole pole na aliekuteua pia anatengua uteuzi wako kwa barua kwa maana anaweza akawa anatamka maneno yake akiwa kwenye hadhi ya Ubalozi wakati kumbe sio ndio maana lazima Rais kufanya alichofanya ila ilitakiwa kutoa hadhi na si kutangaza kumfukuza kazi..
Note yule ni Balozi sio CEO wazee..
Hizo itifaki zimeandikwa wapi?
 
Back
Top Bottom