Mapungufu ya Kikwete: Constructive Criticisim!

Mapungufu ya Kikwete: Constructive Criticisim!

Pasco dah, umenigusa, ninauhakika anajuta kusikiliza uvumi badala ya kusubiri ishara ya ukweli wenyewe. Dah, na unajua principal ya uongozi kwa Tanzania mmoja wapo lazima awe vocal and hypactive ili kumatch mambo, kama Riasi ni mtu anaeendesha mambo kiupole, basi Waziri Mkuu anatakiwa awe hot and Vs Versa.

Unadhani kwanini Sumaye alisurvive, kwakuwa Mkapa is something hot, na sumaye hakuwa ki hivyo, na ilikuwa rahisi kuendesha mambo. Dah hili ni bonge la kosa. Nahisi akiulizwa kitu atakachokikumbuka, bila shaka atataja kosa hili. Ila anachopaswa kutambua ni kuiwa kwa hali ilivyo, wananchi wanamtaka Lowasa arudi, ila wale walioko Bungeni waliomdhalilisha wanaomba usiku kucha asirudi maana itakuwa balaa.
 
Last edited by a moderator:
Ila anachopaswa kutambua ni kuiwa kwa hali ilivyo, wananchi wanamtaka Lowasa arudi, ila wale walioko Bungeni waliomdhalilisha wanaomba usiku kucha asirudi maana itakuwa balaa.
Mkuu wananchi gani wanaomtaka Lowassa arudi? Lowassa alidhalilishwa au alijidhalilishwa mwenyewe?
 
Mkuu wananchi gani wanaomtaka Lowassa arudi? Lowassa alidhalilishwa au alijidhalilishwa mwenyewe?
Bongolander ukiwa mwanasiasa au kiongozi njia pekee ya kukuchafua ni kutumia chombo cha habari ambacho mimi na wewe wote tunatumia hivyo kama jicho la kuchungulia kinachoendelea ndani ya serikali na kwa wanasiasa. Vikikaa kimya hivyo kamwe hatutajua.

Nataka mtu aniorodheshee tuhuma (kwakuwa hakuhukumiwa ila aliwajibika mwenyewe baada ya kuchukua dhamana kama kingozi) maovu ya Lowasa, halafu mafanikio yake akiwa Waziri Mkuu: Halafu anilinganishie na Mawaziri wakuu wengine kashfa/tuhuma zao na mafanikio yao please. Then Mtaelewa namaanisha nini. Hata wewe ukiwa Kiongozi wa siasa leo, ukigusa maslahi ya watu wenye nguvu, inabidi uwe mzuri wa hoja kupona fitina na majungu na hila za kukuchafua kama kisasi. Lowasa anaweza kuwa alifanya mabaya, ila hayawezi kuzidi maovu ya wengine wote, kwakuwa tunajua mabilioni ya pesa yanayopotea au kukutwa mahali na watuhumiwa tunawajua na tuhuma zao ni zaidi ya moja.

Siupendi uovu, ila hali ilivyo kwa sasa ya kisiasa, nachelea kuamini kila kinachoonekana kwenye habari kama kina uhakika na ukweli asilimia mia moja.
 
Bongolander ukiwa mwanasiasa au kiongozi njia pekee ya kukuchafua ni kutumia chombo cha habari ambacho mimi na wewe wote tunatumia hivyo kama jicho la kuchungulia kinachoendelea ndani ya serikali na kwa wanasiasa. Vikikaa kimya hivyo kamwe hatutajua.

Nataka mtu aniorodheshee tuhuma (kwakuwa hakuhukumiwa ila aliwajibika mwenyewe baada ya kuchukua dhamana kama kingozi) maovu ya Lowasa, halafu mafanikio yake akiwa Waziri Mkuu: Halafu anilinganishie na Mawaziri wakuu wengine kashfa/tuhuma zao na mafanikio yao please. Then Mtaelewa namaanisha nini. Hata wewe ukiwa Kiongozi wa siasa leo, ukigusa maslahi ya watu wenye nguvu, inabidi uwe mzuri wa hoja kupona fitina na majungu na hila za kukuchafua kama kisasi. Lowasa anaweza kuwa alifanya mabaya, ila hayawezi kuzidi maovu ya wengine wote, kwakuwa tunajua mabilioni ya pesa yanayopotea au kukutwa mahali na watuhumiwa tunawajua na tuhuma zao ni zaidi ya moja.

Siupendi uovu, ila hali ilivyo kwa sasa ya kisiasa, nachelea kuamini kila kinachoonekana kwenye habari kama kina uhakika na ukweli asilimia mia moja.

Mkuu ukitaka kujua Lowassa ni nani, nenda ukafukue kesi za ardhi utaona jina lake linatokeza mara ngapi, angalia mali zake ujue amezipata vipi, ndio utaona ni kwanini watu waliona toka mwanzo kuwa hafai. Kiutendaji Lowassa ni very effective, ingawa ana udikteta, lakini kwa ufisadi pia ni namba 1, wanaosema kuwa yeye ni kiongozi aliyechafuliwa, hawajui alikuwa mchafu gani alivyoingia kuwa PM, Mawaziri wakuu waliopita ni Nyerere, Kawawa, Sokoine, Msuya, Malecela, Warioba, SUmaye....hao wote kwa ufisadi ni cha mtoto ukilinganishwa na Lowassa, kama ni hatua lowassa yuko mbele hatua 100 wengine wako hatua tatu.
 
Mkuu ukitaka kujua Lowassa ni nani, nenda ukafukue kesi za ardhi utaona jina lake linatokeza mara ngapi, angalia mali zake ujue amezipata vipi, ndio utaona ni kwanini watu waliona toka mwanzo kuwa hafai. Kiutendaji Lowassa ni very effective, ingawa ana udikteta, lakini kwa ufisadi pia ni namba 1, wanaosema kuwa yeye ni kiongozi aliyechafuliwa, hawajui alikuwa mchafu gani alivyoingia kuwa PM, Mawaziri wakuu waliopita ni Nyerere, Kawawa, Sokoine, Msuya, Malecela, Warioba, SUmaye....hao wote kwa ufisadi ni cha mtoto ukilinganishwa na Lowassa, kama ni hatua lowassa yuko mbele hatua 100 wengine wako hatua tatu.
OK nimekuelewa, una hoja, basi tuombe Mungu na tutumie kura zetu vema kupata kiongozi tunaekusudia. Ila natumaini Katiba itatupa uwezo wa kumbadilisha kiongozi pale tunapoona tulikosea, isitugharimu na isitupotezee muda na ukiritimba hasa hii tabia ya sasa viongozi kutokutaka kuwajibika.
 
Hivi kushindwa kuwawajibisha wasaidizi wake ni huruma na upendo??

Huruma na upendo kwa nani?
Kwa maslah ya nani?

Mimi naona kama kutojiamini katika maanuzi na kujaribu kuficha uozo wa uteuzi wake wa wasaidizi wake ambao wengi ni washkaji, wengine vilaza ili wasiweze kumchaleni sana.

Baadhi ya mabosi hasa kama hajiamini hata maofisi anayependa surbodinates waliosmart kuliko yeye.

:director:Ni vyema tukajitahidi kuelewa baadhi ya mambo kwa makini. Jambo hili la wizi wa EPA lilikuwa ni jambo kubwa sana na lilihusisha wakubwa wengi na hata namna ya kulishughulikiwa haikuwa rahisi kwa hiyo JK alifanya lile ambalo aliona linaweza kufanyika na nchi ikabakia salama. Hata hivyo wezi waliojitokeza baada ya pale wanaendelea kuumbuliwa siku hadi siku. Mimi binafsi napenda sana Rais wetu awe mkali kwa mafisadi, wagomaji na wahujumu wa aina yoyote ile. Ili maendeleo yapatikane na nidhamu iwepo KISASI kina umuhimu wake.
 
JKilaza ana damu chafu/dhaifu ambayo hata nguruwe hainywi.
 
Mbona mnatokwa mapovu mengi,hoja ni nini hasa hapo au mipasho?peleka jukwaa husika hyo mipasho..
 
Duh! Unaonekana una hasira weye! Sijui ukikutana nae ana kwa ana halafu wawili tu, sijui itakuwaje!
Utakuwa umekumbwa na jambia kama sio kwenye uwaziri/u dc au jamaa ya karibu wa hao.
 
Mkikosa hoja mnaanza viroja.
Na ikifika Jumamosi na Jumapili ndio vinazidi.
Kwi kwi kwi teh teh teh!
 
Nina Amani Rohoni kwangu kwani sijawahi kumpenda na kumpigia kura. Dhamira yangu nyeupe. Sorry Kikwete Sijawi kukupenda na sikupendi.
 
Ni expression ya kukataa tamaa. Tumekuwa tukisema wakati wote kuwa nchi imepoteza miaka kumi bila kufanya maendeleo hamkuamini.
 
Ni sawa lakini wnanchi ndo wanaongoza kwa unafiki wakifuatiwa na wanasiasa kisha wasomi
Kama si wote wanafiki leo hii tungekuwa mbali
Unayelalamika mwaka 2015 unaweza ukakuta wewe mwandishi unashabikia upande atakaokuwa Kikwete
Acha hasira waelimishe wananchi wajue haki zao na waache unafiki ndo wanasiasa nao wataacha unafiki wao
 
Point well taken. For a new Tanzania, we need rais kama Kagame. Hii nchi inabidi itawaliwe kimabavu na Kikwete si mtu anayefaa kuendesha nchi kama yetu maana hana mtazamo zaidi ya kuuza sura.
 
Nampenda JKilaza wangu, kwanza kwa kukiua CCM, pili kuipa cdm umaarufu, tatu kuhakikisha CCM inatoka 2015. Aaaaaah Mkwereeeeeeh!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom