Profesa
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 903
- 627
Pasco dah, umenigusa, ninauhakika anajuta kusikiliza uvumi badala ya kusubiri ishara ya ukweli wenyewe. Dah, na unajua principal ya uongozi kwa Tanzania mmoja wapo lazima awe vocal and hypactive ili kumatch mambo, kama Riasi ni mtu anaeendesha mambo kiupole, basi Waziri Mkuu anatakiwa awe hot and Vs Versa.
Unadhani kwanini Sumaye alisurvive, kwakuwa Mkapa is something hot, na sumaye hakuwa ki hivyo, na ilikuwa rahisi kuendesha mambo. Dah hili ni bonge la kosa. Nahisi akiulizwa kitu atakachokikumbuka, bila shaka atataja kosa hili. Ila anachopaswa kutambua ni kuiwa kwa hali ilivyo, wananchi wanamtaka Lowasa arudi, ila wale walioko Bungeni waliomdhalilisha wanaomba usiku kucha asirudi maana itakuwa balaa.
Unadhani kwanini Sumaye alisurvive, kwakuwa Mkapa is something hot, na sumaye hakuwa ki hivyo, na ilikuwa rahisi kuendesha mambo. Dah hili ni bonge la kosa. Nahisi akiulizwa kitu atakachokikumbuka, bila shaka atataja kosa hili. Ila anachopaswa kutambua ni kuiwa kwa hali ilivyo, wananchi wanamtaka Lowasa arudi, ila wale walioko Bungeni waliomdhalilisha wanaomba usiku kucha asirudi maana itakuwa balaa.
Last edited by a moderator: