kurlzawa
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 16,703
- 20,606
Mgombea wa CCM leo yupo wapi?Achana na genge hili la wahuni. Si unaona walivyoparaganyika? Hata M/kiti sasa hivi haonekani?
Mwenye mapungufu hata akiamua kujinyoga, huchagua tawi la hovyoo!!
Mgombea wa CCM leo yupo wapi?Achana na genge hili la wahuni. Si unaona walivyoparaganyika? Hata M/kiti sasa hivi haonekani?
Mwenye mapungufu hata akiamua kujinyoga, huchagua tawi la hovyoo!!
Lakini leo mshenga GWAJIMA na EL wapo wapi?Baregu na Safari hawawezi kuambatana na wahuni!
Kama unakumbuka Baregu alianza kujitenga na chadema baada ya ule uhuni wa kina Gwajima kuwa washenga wa kumleta EL, na wenye akili kina Slaa kukataa kula matapishi yao.
Wasomi wa CCM sasa aibu tupuChadema hakuna msomi aweza waunga mkono wasomi waliiunga mkono enzi wapo akina Dr Slaa ,Profesa Baregu na Professor Safari tu
Hivi huyo jiwe lenu lilidefend Thesis yake ya Phd kwa lugha gani? huwa naogopa anavyokimbia midahalo ya kimataifa halafu unakumbuka mzee museven alivyomsaidia kipindi kile na waandishi wa habari?Chadema hakuna msomi aweza waunga mkono wasomi waliiunga mkono enzi wapo akina Dr Slaa ,Profesa Baregu na Professor Safari tu
Wapo nyumbani kwao!Lakini leo mshenga GWAJIMA na EL wapo wapi?
'TUNATEKEREZAAAAAAAAAAAAAAAA'.Kwa sasa wana Dr Feza Lwaitama ndo mentor huko.
Aiseee,si mchezo.Hivi huyo jiwe lenu lilidefend Thesis yake ya Phd kwa lugha gani? huwa naogopa anavyokimbia midahalo ya kimataifa halafu unakumbuka mzee museven alivyomsaidia kipindi kile na waandishi wa habari?
Leo choo kimeletwa Sebuleni na wanakifurahia bila shida.Lakini leo mshenga GWAJIMA na EL wapo wapi?
Unafahamu sayansi ya kupaa kwenda anga za mbali?Baregu na Safari mlikuwa maprofesa wawili muliojiweka wazi kuisaidia CHADEMA. Ni muda sasa siwasikii kabisa! CHADEMA iliwakataa au mliishindwa wenyewe? Nawatafuta kwa sababu njema maana ninaposikia na niliposoma ilani ya chama hiki, inasikitisha. Ni ilani isiyo na mikakati lakini inataja matumaini tu! Mko wapi ndugu zangu?
Kwenu CHADEMA, kama hata hawa mliwapoteza, basi kaeni tayari kupotea gizani. Hawa walikuwa taa yenu kisiasa. Siasa za ubunifu wa mitaani hamtafika kokote. Siasa ni sayansi na tayari mlikuwa naye profesa Baregu, mwalimu wa sayansi ya siasa nchini. Hizo sera za kurekebisha sheria kila siku majukwaani, angeachiwa profesa Safari awasaidie.
Profesa Makamba junior na Profesor Bao la mkono wapo wapi nao hawasikiki?Baregu na Safari mlikuwa maprofesa wawili muliojiweka wazi kuisaidia CHADEMA. Ni muda sasa siwasikii kabisa! CHADEMA iliwakataa au mliishindwa wenyewe? Nawatafuta kwa sababu njema maana ninaposikia na niliposoma ilani ya chama hiki, inasikitisha. Ni ilani isiyo na mikakati lakini inataja matumaini tu! Mko wapi ndugu zangu?
Kwenu CHADEMA, kama hata hawa mliwapoteza, basi kaeni tayari kupotea gizani. Hawa walikuwa taa yenu kisiasa. Siasa za ubunifu wa mitaani hamtafika kokote. Siasa ni sayansi na tayari mlikuwa naye profesa Baregu, mwalimu wa sayansi ya siasa nchini. Hizo sera za kurekebisha sheria kila siku majukwaani, angeachiwa profesa Safari awasaidie.
Mwaka huu utaona rangi zoteWatu wote wenye akili timamu walishajiondoa Chadema.
Wapo nyumbani kwao!Lakini leo mshenga GWAJIMA na EL wapo wapi?
Kwa mtindo huu, naogopa hata kumuomba Mungu awasaidie kushinda, maana itakuwa taabu sana! Rais Lissu, Makamu Mwalimu. Waiziri mkuu Mbowe, Spika ni Msigwa, Mambo ya ndani Lema, WIzara ya fedha Sugu,.... Jamani! Hiyo ni serikali ya dunia ipi?Wapo nyumbani kwao!
Ndio maana huwa tunasema chadema hawajahi kuwa serious
Wamestaafu siasa.Sasa wewe! Badala ya kusema wako wapi wewe unahesabu walioko CCM. Wewe sema wako wapi? Au umekumbushwa machungu?
Ninyi wenye mpro. Kibao mmefanya Nini kwenye wizi wa vitambuoisho vya wamachingaBaregu na Safari mlikuwa maprofesa wawili muliojiweka wazi kuisaidia CHADEMA. Ni muda sasa siwasikii kabisa! CHADEMA iliwakataa au mliishindwa wenyewe? Nawatafuta kwa sababu njema maana ninaposikia na niliposoma ilani ya chama hiki, inasikitisha. Ni ilani isiyo na mikakati lakini inataja matumaini tu! Mko wapi ndugu zangu?
Kwenu CHADEMA, kama hata hawa mliwapoteza, basi kaeni tayari kupotea gizani. Hawa walikuwa taa yenu kisiasa. Siasa za ubunifu wa mitaani hamtafika kokote. Siasa ni sayansi na tayari mlikuwa naye profesa Baregu, mwalimu wa sayansi ya siasa nchini. Hizo sera za kurekebisha sheria kila siku majukwaani, angeachiwa profesa Safari awasaidie.