Patriot
JF-Expert Member
- Feb 11, 2008
- 5,698
- 4,693
Maprofesa wawili mulioko ndani ya CHADEMA munafahamika vizuri sana kwa ubobezi wenu. Prof. Baregu ni mzuri sana katika sayansi ya siasa, umewafundisha wengi na wamefanikiwa. Prof. Safari yuko vizuri katika sheria. Ni kesi nyingi umeonesha umwamba wake. Wanasheria wengi ni matokeo ya juhudi zako na uwezo wako. Wote munastahili sifa.
Watu hawa wawili nimekuwa nikiwatumainia sana muisaidie CHADEMA. Sifahamu kwanini kipindi hiki mumekuwa kimya kiasi kwamba msaada wenu hauoneakani. Yawezekana msada wenu hauhitajiki. Muelekeo wa CHADEMA kwa sasa ni aibu kwenu ambao mulistahili kuonesha muelekeo unaofaa.
Binafsi nahisi labda mulifanya makosa kuona malengo ya CHADEMA yalikuwa ni yapi. CHADEMA hawako ktk siasa, wako ktk biashara na bahati mbayamaprofesa wawili, kwa pamoja. Biashara ya udanganyifu hamuiwezi.
Watu hawa wawili nimekuwa nikiwatumainia sana muisaidie CHADEMA. Sifahamu kwanini kipindi hiki mumekuwa kimya kiasi kwamba msaada wenu hauoneakani. Yawezekana msada wenu hauhitajiki. Muelekeo wa CHADEMA kwa sasa ni aibu kwenu ambao mulistahili kuonesha muelekeo unaofaa.
Binafsi nahisi labda mulifanya makosa kuona malengo ya CHADEMA yalikuwa ni yapi. CHADEMA hawako ktk siasa, wako ktk biashara na bahati mbayamaprofesa wawili, kwa pamoja. Biashara ya udanganyifu hamuiwezi.