mayowela
JF-Expert Member
- Nov 2, 2014
- 2,124
- 1,746
Wakati Bongo Fleva inakuwa, producers wengi walikuwa wakali na kila mmoja alikuwa na radha yake kwenye muziki, ukisikia ngoma mpya tu unajua huyu ni flani, kila mtu alikuwa na jina lake na hata wasanii wake, na kila mmoja alitengeneza msanii na kumfikisha kwenye peak.
Kwangu hwa ndio walikuwa wazalishaji bora wa muziki kwa kipindi hicho.
John Mahundi
Biz man
Roy-G2
P Funk Majani -Bongo Records
Producer Amba-AB Music room
Master Jay - MJ Record
John B - Grand Master
DX-Noizmekah
Daz Knawledge - Dab Muzik
Said Comorien
Steve White
Q the Don
Sam Timber - A2P Record
Kidbwoy - Tetemesha Record
Mika Mwamba
Hawa ndio walifanya mziki ukawa mziki mpaka sasa kuna watu wanatambulika, na producers wengine wametokea kwenye mikono ya hawa kama:
Nusder Pianist
Marco Chali
nk
Wewe ni producers gani wa zamani ulikuwa unamuaminia.
Kwangu hwa ndio walikuwa wazalishaji bora wa muziki kwa kipindi hicho.
John Mahundi
Biz man
Roy-G2
P Funk Majani -Bongo Records
Producer Amba-AB Music room
Master Jay - MJ Record
John B - Grand Master
DX-Noizmekah
Daz Knawledge - Dab Muzik
Said Comorien
Steve White
Q the Don
Sam Timber - A2P Record
Kidbwoy - Tetemesha Record
Mika Mwamba
Hawa ndio walifanya mziki ukawa mziki mpaka sasa kuna watu wanatambulika, na producers wengine wametokea kwenye mikono ya hawa kama:
Nusder Pianist
Marco Chali
nk
Wewe ni producers gani wa zamani ulikuwa unamuaminia.