nyie ndio mtampa kichaa kabisa, hizi sifa zenu ndio zitampasua kichwa.Watakaoenda sio madereva na makonda wa daladala tu, Itakua ni nyomi ya kuanzia watu wa maofisini mpaka watu wa street. Support aliyonayo Lemma RChuga bado ccm hawataki kuiamini.
<br />Watakaoenda sio madereva na makonda wa daladala tu, Itakua ni nyomi ya kuanzia watu wa maofisini mpaka watu wa street. Support aliyonayo Lemma RChuga bado ccm hawataki kuiamini.
nyie ndio mtampa kichaa kabisa, hizi sifa zenu ndio zitampasua kichwa.
CCM wameshaamini kuwa arusha hakuna watu tena. Ni hasara kubwa kwa watu wa arusha, mji wao ulikuwa na heshima zote lakini sasa umegeuzwa kijiwe cha wavuta bangi.
<br /><br /><br />
<br /><br />
Jamani somenipost yangu hapo juu kamanda kasema watu wajiandae kwakaui ya waziri mkuu ndiyo watafanya maandamano na mapokezi yake akitokea bungeni kama waziri mkuu atakuja na hoja zake legelege juu ya umeme. Leo ataingia arusha kimya kimya ameomba samahani sana kwa usumbuvu uliyojitokeza
<br /><br /><br />
<br /><br />
Mkuu acha kupotosha watu.
Yeye ndiyo alie watuliza akawaambia wafanye kazi yeye angekuja Alhamisi kuongea nao pamoja na wananchi kuona hivyo serikali ikakupali matakwa ya madereva sikuhizi ni rukusa kuchukua abiria hata katikati ya barabara mpaka hapo watakapo onyeshwa vituo vya kubakilia na kushushia abiriaHiv katika ule mgomo wa vifodi,alienda kuwapa msaada?
unamaana hii Vasco Da Gama = Ki-kweteKwaliompigia Kura ni Matajiri? siamepigiwa kura na hoa hao Madereva wa daldala na Walalahoi wamefurahishwa na utendaji wake wakazi wa waliomuajiri ndio wanaenda kumpa pongezi kwa kusema ambavyo wanavyotaka hao waliomuajiri au wapiga kura wake, wewe ndio kichekesho na kilaza kama Vasco Da Gama
Mbunge wa CCM amekaa jimboni kwa miaka nane niambie kafanya nini cha maana au katoa mchango gani bungeni wa manufaa kwa taifa...nyie ndio mtampa kichaa kabisa, hizi sifa zenu ndio zitampasua kichwa.
CCM wameshaamini kuwa arusha hakuna watu tena. Ni hasara kubwa kwa watu wa arusha, mji wao ulikuwa na heshima zote lakini sasa umegeuzwa kijiwe cha wavuta bangi.
ndiyo wapiga kura wake wewe mwehu nn?? wacha kudharau kazi za watu kenge wewe...............sasa si jamaa yako ameona ni sifa kubwa Lema kupokelewa na madereva wa daladala.
sema washabiki wake anaowahonga bangi, hata vituo vya kupigia kura hawavijui. Halafu msitake kuwafanya kwamba ni watu wenye maana, ni wahuni tu, wangekua ni watu wa maana wasinge nyanyasa watoto wa shule.ndiyo wapiga kura wake wewe mwehu nn?? wacha kudharau kazi za watu kenge wewe...............
<br />ndiyo wapiga kura wake wewe mwehu nn?? wacha kudharau kazi za watu kenge wewe...............
Unazidi kujishushia heshima kwa kupotosha wana JF.Na lema amerudi jimboni kwaajili ya kero za madereva daladala kubambikiwa kesi za uongo na kutozwa faini ya sh laki 5 iliwasihukumiwe hilo ndilo swala la msingi kwasasa. Ila j3 kutakuwa na mkutano wa hadhara kwa wakazi wote waarusha mnakaribishwa
<br />Unazidi kujishushia heshima kwa kupotosha wana JF.
Thread inasema nini na wewe unasema nini.<br />
<br />
Fine tusubiri tuone nani mwongo maana wobongo kila kitu mnaona niuongo, jamani hatuji kufanya maandamano huwo ndiyo ukweli.. Kama nimapokezi sawa ila si maandamano.
<br />Thread inasema nini na wewe unasema nini.