Huwa tunawaita wazee wa ubwabwa...akili zao zinarubunika kwa ubwabwa tu..!Mkuu Mariah,
sio kwamba Omr haelewi, anaujua ukweli tatizo wanatimiza kazi waliyotumwa na serikali ya magamba, jioni wapate mshiko. jamaa wa aina ya Omr wapo wengi humu, Nape amewasambaza kweli
atapokelewa na madereva wa daladala, kichekesho
sasa si jamaa yako ameona ni sifa kubwa Lema kupokelewa na madereva wa daladala.
Kwani kazi anayoifanya ni ndogo afterall si lazima akuridhishe wewe.Nakushauri Lema uchape kazi miaka mitano siyo mingi kama unavyofikiri. Siku ya mwisho tuta ku judge kwa maendeleo uliyo influence Arusha na siyo migomo, maandamano, kelele and other cheap stuff.
Kwa wafuasi wa Lema, kama mnataka kumsaidia siyo mnashabikia vitu vidogo vidogo mara sijui kupokewa na madereva wa vifodi etc.
NE
Kwani kazi anayoifanya ni ndogo afterall si lazima akuridhishe wewe.
Nakushauri Lema uchape kazi miaka mitano siyo mingi kama unavyofikiri. Siku ya mwisho tuta ku judge kwa maendeleo uliyo influence Arusha na siyo migomo, maandamano, kelele and other cheap stuff.
Kwa wafuasi wa Lema, kama mnataka kumsaidia siyo mnashabikia vitu vidogo vidogo mara sijui kupokewa na madereva wa vifodi etc.
NE
madereva wa wa daladala hawakuwahi kumpokea JK popote nchini? Hawakuwahi kupiga kura? Hawaichagui ccm? Hawana maana kwako?<b>atapokelewa na madereva wa daladala,kichekesho
2. atapokelewa na madereva wa daladala, kichekeshoHii sherehe nao itakuwa kubwa sana arusha, basi bangi itakua tabu kupata wiki nzima
ndio! kwani hawa sio watu? acheni madharau nyie magambaatapokelewa na madereva wa daladala, kichekesho
Sasa wewe unafikiri wana Arusha wote wana akili kama zako, kama unajifanya huoni Lema anachokifanya sina msaada zaidi maana hata Lukuvi alijifanya hazimo kama wewe lakini jana mwenzake Werema kakiri aliyosema Lema na kaahidi kuyafanyia kazi unataka Lema afanye nini zaidi.Unajua usifikiri watu wote wa Arusha wana akili kama zako kwamba watakuwa impressed na mambo ambayo hayana tija, Kuna platforms watu huwa wanakaa na ku discuss issues and not events. Uwe unatembea sehemu tofauti na ujaribu ku collect comment za watu
<br />Hii sherehe nao itakuwa kubwa sana arusha, basi bangi itakua tabu kupata wiki nzima.
Kura yako ni moja tu halafu lazima uwe mwana Arusha ili uweze kumpigia kura mengine ni dau la kuku.Lema will be first termer MP. Hawezi kurudi bunge next election. Ni bahati mbaya kwa wana Arusha...any way wana-appolo wanampelekea mkuu wao msuba.....Dodoma alikaa siku nyingi...........ile kitu ikamuishia!