Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,985
- 20,263
Ningependa Lisu,Msigwa,Wenje nao wapokelewe kwa shangwe na maandamano hivyohivyo!!
<br />Unajua usifikiri watu wote wa Arusha wana akili kama zako kwamba watakuwa impressed na mambo ambayo hayana tija, Kuna platforms watu huwa wanakaa na ku discuss issues and not events. Uwe unatembea sehemu tofauti na ujaribu ku collect comment za watu
<br /><font size="4"><font color="#000000">unamaana hii </font><font color="#ff0000"><b>Vasco Da Gama = Ki-kwete</b></font></font>
Nimekuwa interested na post yako kwa vile ni ya kwanza inaonekana umeguswa na kitu fulani maana kuna aina nyingi za utajiri,<br />
<br />
Acha utani hata sisi matajiri tulimpigia bana.
Hivi ulipigia kura jimbo gani, juzi ulimwabia Sugu hayo hayo kuwa nyie wa Mbeya leo umekuwa wa Arusha kesho Wenje akiandaa maandamano utasema wa Mwanza hatujamtuma hayo nina wasiwasi kama ulipiga kura.Wajinga ndio waliwao! Arusha tunataka Lema atimize ahadi zake sio mbwembwe anazo fanya! Mbona Mawaziri Kivuli wengi wa CDM wametoa hotuba au hazikua na Maana? Lema tunataka maendeleo
<br />Hivi ulipigia kura jimbo gani, juzi ulimwabia Sugu hayo hayo kuwa nyie wa Mbeya leo umekuwa wa Arusha kesho Wenje akiandaa maandamano utasema wa Mwanza hatujamtuma hayo nina wasiwasi kama ulipiga kura.
Ukiona hivyo juwa kisu cha hotuba kimewaingia kisawasawa hadi kwenye mifupa.Mbona Mawaziri Kivuli wengi wa CDM wametoa hotuba au hazikua na Maana? Lema tunataka maendeleo
atapokelewa na madereva wa daladala, kichekesho
Mhhh..................with time a liability could convert to an asset. Hata EPA ilikuwa ni liability kwa serikali baadaye ikawa asset kwa.............
<br />Arusha wanampenda mbunge wao tena wanamjali kwa ujasiri wa kusimamia ukweli pasipo kujali yupo maeneo gani.