franksarry
JF-Expert Member
- Nov 9, 2009
- 1,284
- 481
Madereva wa daladala ni wapiga kura wake! ni sehemu ya wakazi wa A town!
Hakuna ubaya wowote kupokelewa nao, na la msingi atawahutubia wakazi wa Arusha ktk mkutano wa wazi pale NMC mchana huu kama mtoa mada alivyoeleza......!
aaaaaagah sasa walipukaji nao waende kuwapokea Mh Nohodha na Mh balozi Kagasheki kwa ule utetezi wao wa jana mjengoni!
wananchi si tulisikia waliyoyasema.....? yangekuwa yana mvuto na nadhani walipukaji wangejipongeza na wao leo..!!
Hakuna ubaya wowote kupokelewa nao, na la msingi atawahutubia wakazi wa Arusha ktk mkutano wa wazi pale NMC mchana huu kama mtoa mada alivyoeleza......!
aaaaaagah sasa walipukaji nao waende kuwapokea Mh Nohodha na Mh balozi Kagasheki kwa ule utetezi wao wa jana mjengoni!
wananchi si tulisikia waliyoyasema.....? yangekuwa yana mvuto na nadhani walipukaji wangejipongeza na wao leo..!!