#COVID19 Mapokezi ya chanjo ya Covid-19 yapo hasi sana kwa Watanzania

Ww ynayejiita msomi na mjuaji njoo hapa unieleze chemicals content za hiyo chanjo unayoishobokea et ni sarama, uje na visibitisho kuwa ni bora na sarama, uje na visibitisho ilifanyiwa lin utafiti na ina %ngap ya kufanya kaz ndan ya mwil wa binadam, na uje utoe solution kwa wale inao wazuru, mfano damu kuganda, kugeuka magnetic ndan ya mwil wa binadamu sehem aliyochanjwa, wanawake kukosa hedhi, vifo vya gafra, and then uje useme kwann hizo chanjo znatofautiana kulingana na sehem zinayokwenda kutoa huduma? Mfano kuna chanjo wanayoitoa ulaya ni tofaut na wanayoitoa afrika, na unaweza kukuta n kampuni moja lkn znatoa chanjo 2 tofaut yaan ile ya afrika haitakiw kuuzwa ama kusambazwa uko ulaya, je ni nn kilichojificha?? Wew unayejiita unaakili sana kuwazid wanaopinga njoo hapa upingane na mm kwa hoja na visibitisho, mm ninavisibistisho kuwa chanjo si sarama, wew unaesema ni sarama na unajiita msomi njoo hapa...mshazid kuwapnea wale wasio na elimu, sasa mwenye elimu mimi hapa namtaka mwenye elimu mwenzangu tupingane kwa hoja na sio vitisho na matusi ya wanasiasa......
 
1. Ukipata chanjo unaweza kupata corona? = Ndiyo


2. Ukipata chanjo unaweza pia kufa kwa corona? = Ndiyo


SWALI:
Kwanini upate chanjo?
 
Hii chanjo ni hiari, sio lazima. Sioni sababu ya zogo. Kama hutaki kaa kimya usitake ku influence na wenzako.
Mbona yellow fever hatuchanji mpaka uwe na safari kwenda ambako lazima uchanje na hakuna anayepiga kelele.
Wale wa kununua vyeti kama vya yellow fever wala hawapigi kelele, wanasubiri wajue bei tu 🤣
 
Gwajima ni kama sauti ya mtu aliye nyikani. Alarm ya saa na nyakati hizi za giza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…