Imearifiwa wakati Mbunge wa Bumbuli Mheshimiwa January Makamba akitarajiwa kuwasili jimboni humo mwanzoni mwa mwezi ujao, wapiga kura wake wanajiandaa kumpa mapokezi ya kishindo.
Tuombe sana jeshi la polisi wasiwekee figisu zoezi hili kwani ni haki ya wana Bumbuli kupokea mwakilishi wao na kumtia nguvu.
Mapokezi hayo yatafuatiliwa na ziara ya kukagua miradi ya maendeleo jimboni Bumbuli.
Tuombe sana jeshi la polisi wasiwekee figisu zoezi hili kwani ni haki ya wana Bumbuli kupokea mwakilishi wao na kumtia nguvu.
Mapokezi hayo yatafuatiliwa na ziara ya kukagua miradi ya maendeleo jimboni Bumbuli.