Mapokezi makubwa yamsubiri Dk. Slaa Katavi, Polisi waanza

Safari hii hatumwi Mtoto dukani!

Bora nyie wazima ndo CCM INAWATAKA ili siku ya kutangaza matokeo pale KARIMJEE kama ilivyokua 2010 babu yenu akimbie sherehe za kumtangaza Rais wa CCM, NYIE MTAKUFA wenzenu wamejipanga nyie mnakimbizana na vivuli vyenu tu time will tell!
 

Attachments

  • KAOZAB- CCM.jpg
    KAOZAB- CCM.jpg
    82.5 KB · Views: 117
Kwishaaa nguvu ya moto wa mabua imeishia hapa nenda kalale basi!Ila Rudisheni Ruzuku mnazopewa na Serikali ya CCM,

Mmezoea pesa za wizi safari tumewashika vibaya hapo kwa babu...mtatulia tu.Dawaiwangie...wezi wakubwa nyie.Mpo busy kuharibu vijana wa.kitanzania na madawa.ya kulevya mpaka kuuza bagamoyo.

Safafi hii mtaula wa chuya pu-mba-vu...Huwa siwaelelwi mods kuwaachia ukumbi watu kama nyie...
 
Bora nyie wazima ndo CCM INAWATAKA ili siku ya kutangaza matokeo pale KARIMJEE kama ilivyokua 2010 babu yenu akimbie sherehe za kumtangaza Rais wa CCM, NYIE MTAKUFA wenzenu wamejipanga nyie mnakimbizana na vivuli vyenu tu time will tell!
Mimi sina muda wa kubishana na mafisi yaliyooza na kutoa harufu mbaya. Wewe ni mtumwa wa akili na mawazo.ubongo wako umeganda kama barafu.
 
Kinachokusumbua mpaka kubadilisha ID toka laki si pesa mpaka hiyo ya sasa ni njaa kama hawa wenzio

Ha ha ha ha mzimu wa CCM this time unawatafuna kisawasawa wala hautabakisha hata mmoja, yaani mnakaa kwa akili zenu mnafikiri mtaingia Ikulu?teh teh teh kweli ulevi ni mbaya sana!
 
sasa nimeamini Dr slaa yuko fit sana ! mtu gani hapumziki jamani ? hakika ukombozi una gharama zake .
 
Mimi sina muda wa kubishana na mafisi y
aliyooza na kutoa harufu mbaya. Wewe ni mtumwa wa akili na mawazo ubongo wako umeganda kama barafu.

Vijana na akili zenu mnakalia kushikishwa ukuta eti UKAWA wanaenda Ikulu Oktoba nani kawaambia Ikulu inawahitaji?
 
Ha ha ha ha mzimu wa CCM this time unawatafuna kisawasawa wala hautabakisha hata mmoja, yaani mnakaa kwa akili zenu mnafikiri mtaingia Ikulu?teh teh teh kweli ulevi ni mbaya sana!

Ikulu sio ya Ccm niya Watanzania,tutaingia tu kwa vyovyote vile boya wewe,watanzania wameamua tuingie natuwaongoze na nakushauri uhame nchi mapema kwa sababu hautaishi kwa wizi tena tutakukata pua kwa msumeno nguruwe wee!
 
sasa nimeamini Dr slaa yuko fit sana ! mtu gani hapumziki jamani ? hakika ukombozi una gharama zake .

Muhurumieni huyo babu hata kama hachoki ataishia kunawa kama ilivyokuwa pale Karimjee kwenye kutangaza matokeo ya uchaguzi hata hakutokea kwa sababu ya aibu na alikua kamuahidi Mushumbusi kuwa atakua First lady siku hiyo akazidiwa!
 
Ikulu sio ya Ccm niya Watanzania,tutaingia tu kwa vyovyote vile boya wewe,watanzania wameamua tuingie natuwaongoze na nakushauri uhame nchi mapema kwa sababu hautaishi kwa wizi tena tutakukata pua kwa msumeno nguruwe wee!

Na wala Ikulu sio ya UKAWA maana ukawa sio chama cha Siasa, nyie mnatamani kuingia Ikulu wenzenu wako huko toka uhuru na baadaye wakapata nguvu mpya mwaka 1977 Sasa nyie mnapitia wapi kuingia!
 
Ha ha ha ha mzimu wa CCM this time unawatafuna kisawasawa wala hautabakisha hata mmoja, yaani mnakaa kwa akili zenu mnafikiri mtaingia Ikulu?teh teh teh kweli ulevi ni mbaya sana!
Kweli wewe ni mbuzi! Hivi unafikiri watanzania ni wajinga kama wewe mchumia tumbo kiasi kwamba wawarejeshe CCM madarakani pamoja na ufisadi wote huu walioufanya ambao umepelekea maumivu yasio na kifani katika maisha ya watanzania!? Nyang'au mkubwa we!
 
Vijana na akili zenu mnakalia kushikishwa ukuta eti UKAWA wanaenda Ikulu Oktoba nani kawaambia Ikulu inawahitaji?

Wewe inaonekana umezoea huo mchezo ambao munaufanya kwenye mbio za mwenge,na Sasa hivi funza anakutekenya na kukuwasha. Kama vipi si useme tu ili vijana wakushughulikie. Yanini kuzungukazunguka.
 
Mmezoea pesa za wizi safari tumewashika vibaya hapo kwa babu...mtatulia tu.Dawaiwangie...wezi wakubwa nyie.Mpo busy kuharibu vijana wa.kitanzania na madawa.ya kulevya mpaka kuuza bagamoyo.

Safafi hii mtaula wa chuya pu-mba-vu...Huwa siwaelelwi mods kuwaachia ukumbi watu kama nyie...

Babu keshachoka na bado anatumika tu ha ha ha Padre aliyeasi dini na sasa ana ndoto za kuelekea Ikulu si ndo ataasi siku ya kwanza tu hatufai huyo akapumzike Karatu na Mushumbusi wake!
 
Wewe inaonekana umezoea huo mchezo ambao munaufanya kwenye mbio za mwenge,na Sasa hivi funza anakutekenya na kukuwasha. Kama vipi si useme tu ili vijana wakushughulikie. Yanini kuzungukazunguka.

wewe inaelekea dawa imekulevya tulia bado kidogo itaisha maana sasa ni saa 12:03 jioni ikifika muda kama huu mwaka 2090 itakuachia!
 
Back
Top Bottom