Mapinduzi yawe ni ya kilimo....

Mapinduzi yawe ni ya kilimo....

Rebeca 83

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2016
Posts
15,475
Reaction score
33,038
hello JF,

Mie naona kwa vile taifa letu 80% wanategemea kilimo

Then serikali inge invest huko sio kununua ndege..

Ndege ni maendeleo lakini hio pesa ingewekwa kwenye kilimo,kusingekua na malalamishi ya mtaani kugumu…

Tuishaurini serikali iielekeze nguvu kwenye kilimo na kukomboa uchumi wa mtu mmoja mmoja….

1.Magufuli awe flexible,asikilize ushauri wa mawaziri wake,mie statement yake kuwa anakesha kuangalia ma file iliniambia mkuu anapenda kuchukua au kufanya kazi peke yake sio team player,hivyo kuwafanya mawaziri wake kuwa passive,sababu wanaona hawashirikiswi na kuna uoga wa kum confront rais.Hii atmosphere sio nzuri,ibadilike kama tunataka ku move forward...​
2.Ningependa kuona courses za kilimo kwenye vyuo vikuu ziko nyingi na tofauti,FEES kwa hizo course ziwe ALMOST FREE,itawaencourage watu kujiunga na kusoma mambo ya kilimo,kuajiri au kuajiriwa skills ziwe part ya hizi courses pia......​
3.Kuwe na workshops ndogo ndogo zinazo run throughout the year,zinazofundisha mambo ya kilimo,kwa mfano nimeona huko jukwaa la kilimo watu wanauliza nataka kujiajiri kwenye kilimo ila sijui nianzie wapi au mtaji nitenge shilingi ngapi?,au nilime nini? naamini kungekua na hizi workshop majibu yao yangepatiwa ufumbuzi na kuwapa confidence...kufanya wanayotaka….​
NYINGINE ONGEZEENI...lol​

 
hello JF,

Mie naona kwa vile taifa letu 80% wanategemea kilimo

Then serikali inge invest huko sio kununua ndege..

Ndege ni maendeleo lakini hio pesa ingewekwa kwenye kilimo,kusingekua na malalamishi ya mtaani kugumu…

Tuishaurini serikali iielekeze nguvu kwenye kilimo na kukomboa uchumi wa mtu mmoja mmoja….

1.Magufuli awe flexible,asikilize ushauri wa mawaziri wake,mie statement yake kuwa anakesha kuangalia ma file iliniambia mkuu anapenda kuchukua au kufanya kazi peke yake sio team player,hivyo kuwafanya mawaziri wake kuwa passive,sababu wanaona hawashirikiswi na kuna uoga wa kum confront rais.Hii atmosphere sio nzuri,ibadilike kama tunataka ku move forward...​
2.Ningependa kuona courses za kilimo kwenye vyuo vikuu ziko nyingi na tofauti,FEES kwa hizo course ziwe ALMOST FREE,itawaencourage watu kujiunga na kusoma mambo ya kilimo,kuajiri au kuajiriwa skills ziwe part ya hizi courses pia......​
3.Kuwe na workshops ndogo ndogo zinazo run throughout the year,zinazofundisha mambo ya kilimo,kwa mfano nimeona huko jukwaa la kilimo watu wanauliza nataka kujiajiri kwenye kilimo ila sijui nianzie wapi au mtaji nitenge shilingi ngapi?,au nilime nini? naamini kungekua na hizi workshop majibu yao yangepatiwa ufumbuzi na kuwapa confidence...kufanya wanayotaka….​
NYINGINE ONGEZEENI...lol​
Hakuna nchi iliyoendelea kwa kutegemea kilimo. Nchi zote hujitoa kwenye kutegemea kilimo ili ziwe na maendelea halisi ambayo ni ya viwanda.
 
Hakuna nchi iliyoendelea kwa kutegemea kilimo. Nchi zote hujitoa kwenye kutegemea kilimo ili ziwe na maendelea halisi ambayo ni ya viwanda.

mkuu sasa ulitaka tuinvest kwenye nini kama wananchi asilimia yote hio wanategemea kilimo??
 
Hakuna nchi iliyoendelea kwa kutegemea kilimo. Nchi zote hujitoa kwenye kutegemea kilimo ili ziwe na maendelea halisi ambayo ni ya viwanda.
Soma historia ya nchi kama uingereza Mericani uholazi india china nchi hizo zote zilipitia katika mapinduzi ya kilimo, kama agrarian rev uingereza karna ya 16, green revolution china....kilomo ndokinacholeta chachu ya viwanda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hello JF,

Mie naona kwa vile taifa letu 80% wanategemea kilimo

Then serikali inge invest huko sio kununua ndege..

Ndege ni maendeleo lakini hio pesa ingewekwa kwenye kilimo,kusingekua na malalamishi ya mtaani kugumu…

Tuishaurini serikali iielekeze nguvu kwenye kilimo na kukomboa uchumi wa mtu mmoja mmoja….

1.Magufuli awe flexible,asikilize ushauri wa mawaziri wake,mie statement yake kuwa anakesha kuangalia ma file iliniambia mkuu anapenda kuchukua au kufanya kazi peke yake sio team player,hivyo kuwafanya mawaziri wake kuwa passive,sababu wanaona hawashirikiswi na kuna uoga wa kum confront rais.Hii atmosphere sio nzuri,ibadilike kama tunataka ku move forward...​
2.Ningependa kuona courses za kilimo kwenye vyuo vikuu ziko nyingi na tofauti,FEES kwa hizo course ziwe ALMOST FREE,itawaencourage watu kujiunga na kusoma mambo ya kilimo,kuajiri au kuajiriwa skills ziwe part ya hizi courses pia......​
3.Kuwe na workshops ndogo ndogo zinazo run throughout the year,zinazofundisha mambo ya kilimo,kwa mfano nimeona huko jukwaa la kilimo watu wanauliza nataka kujiajiri kwenye kilimo ila sijui nianzie wapi au mtaji nitenge shilingi ngapi?,au nilime nini? naamini kungekua na hizi workshop majibu yao yangepatiwa ufumbuzi na kuwapa confidence...kufanya wanayotaka….​
NYINGINE ONGEZEENI...lol​

Mkuu BINAFSI nikushukuru kwa WAZO ZURI SANA.
kama umepata fursa ya kutembea MIKOA kadhaa ya nchi yetu MUNGU ametubariki ARDHI yenye rutuba na MAJI ya kutosha.
Serikali ingeweka NGUVU kubwa katika kilimo na kukuza thamani ya MAZAO baada ya muda mfupi tungeweza kujenga flyovers kila mkoa na tungeweza kununua Ndege nzuri kwa fedha zetu wenyewe.
SIJAJUA vile viongozi wetu wanavyowaza,lakini naona katika KILIMO tungeweza kuwa na VIWANDA VINGI SANA.

MUNGU TUSAIDIE TUACHE SIASA TUFANYE UALISIA,AMENI.
 
mkuu sasa ulitaka tuinvest kwenye nini kama wananchi asilimia yote hio wanategemea kilimo??
Lengo ni kuwaondoa hao wananchi wanaotegemea kilimo, wategemee viwanda (manufacturing).
Tuna watu wengi wanaolima, na hilo ni tatizo kubwa.
 
Soma historia ya nchi kama uingereza Mericani uholazi india china nchi hizo zote zilipitia katika mapinduzi ya kilimo, kama agrarian rev uingereza karna ya 16, green revolution china....kilomo ndokinacholeta chachu ya viwanda.

Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah ...
Hapo ni sawa na kusema uwindaji umeleta maendeleo kwa kuwa binadamu zamani walitegemea uwindaji.
Pia hapo ni sawa na kuwa na dhana ya ufugaji na ulimaji as a hunter-gatherer revolution.
All in all, kilimo kitumike pale viwanda vinapojengwa. Kwa mfano sasa hivi watu walime miwa kwa ajili ya kiwanda kipya cha sukari na siyo kulima mihogo kwa ajili ya nguruwe wa China.
 
Hakuna nchi iliyoendelea kwa kutegemea kilimo. Nchi zote hujitoa kwenye kutegemea kilimo ili ziwe na maendelea halisi ambayo ni ya viwanda.
Sasa kuna maendeleo ya nchi bila kilimo imara ? Mbali kabisa na viwanda na biashara kilimo huleta Food Security ambayo ni ncha kubwa sana ya maendeleo,wewe utasemaje nchi zisitegemee kilimo ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu BINAFSI nikushukuru kwa WAZO ZURI SANA.
kama umepata fursa ya kutembea MIKOA kadhaa ya nchi yetu MUNGU ametubariki ARDHI yenye rutuba na MAJI ya kutosha.
Serikali ingeweka NGUVU kubwa katika kilimo na kukuza thamani ya MAZAO baada ya muda mfupi tungeweza kujenga flyovers kila mkoa na tungeweza kununua Ndege nzuri kwa fedha zetu wenyewe.
SIJAJUA vile viongozi wetu wanavyowaza,lakini naona katika KILIMO tungeweza kuwa na VIWANDA VINGI SANA.

MUNGU TUSAIDIE TUACHE SIASA TUFANYE UALISIA,AMENI.
Amen....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa kuna maendeleo ya nchi bila kilimo imara ? Mbali kabisa na viwanda na biashara kilimo huleta Food Security ambayo ni ncha kubwa sana ya maendeleo,wewe utasemaje nchi zisitegemee kilimo ?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kutegemea kilimo maana yake siyo kuacha kulima. Maana yake ni sector gani ina part kubwa kwenye GDP?
Nchi ambazo kilimo ni part kubwa kwenye GDP au kinaajiri watu wengi kuliko sector yeyote, nchi hiyo ni masikini.
Kwa hiyo industrialization maana yake ni kuondoa kilimo kama mtoa ajira mkuu au kama sehemu kubwa ya uchumi.
Hapo ndiyo utakapo pata maendeleo ya haraka.
 
hello JF,

Mie naona kwa vile taifa letu 80% wanategemea kilimo

Then serikali inge invest huko sio kununua ndege..

Ndege ni maendeleo lakini hio pesa ingewekwa kwenye kilimo,kusingekua na malalamishi ya mtaani kugumu…

Tuishaurini serikali iielekeze nguvu kwenye kilimo na kukomboa uchumi wa mtu mmoja mmoja….

1.Magufuli awe flexible,asikilize ushauri wa mawaziri wake,mie statement yake kuwa anakesha kuangalia ma file iliniambia mkuu anapenda kuchukua au kufanya kazi peke yake sio team player,hivyo kuwafanya mawaziri wake kuwa passive,sababu wanaona hawashirikiswi na kuna uoga wa kum confront rais.Hii atmosphere sio nzuri,ibadilike kama tunataka ku move forward...​
2.Ningependa kuona courses za kilimo kwenye vyuo vikuu ziko nyingi na tofauti,FEES kwa hizo course ziwe ALMOST FREE,itawaencourage watu kujiunga na kusoma mambo ya kilimo,kuajiri au kuajiriwa skills ziwe part ya hizi courses pia......​
3.Kuwe na workshops ndogo ndogo zinazo run throughout the year,zinazofundisha mambo ya kilimo,kwa mfano nimeona huko jukwaa la kilimo watu wanauliza nataka kujiajiri kwenye kilimo ila sijui nianzie wapi au mtaji nitenge shilingi ngapi?,au nilime nini? naamini kungekua na hizi workshop majibu yao yangepatiwa ufumbuzi na kuwapa confidence...kufanya wanayotaka….​
NYINGINE ONGEZEENI...lol​

Fact

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kutegemea kilimo maana yake siyo kuacha kulima. Maana yake ni sector gani ina part kubwa kwenye GDP?
Nchi ambazo kilimo ni part kubwa kwenye GDP au kinaajiri watu wengi kuliko sector yeyote, nchi hiyo ni masikini.
Kwa hiyo industrialization maana yake ni kuondoa kilimo kama mtoa ajira mkuu au kama sehemu kubwa ya uchumi.
Hapo ndiyo utakapo pata maendeleo ya haraka.
Nakubaliana na wewe kiasi, lakini ukweli ni kwamba Tanzania bado ni nchi masikini hivyo tunahitaji sana kilimo hasa vijijini ili kuondoa utegemezi kwa Serikali. Viwanda huwa vinakuja lakini shughuli zake hufanywa sana na Middle Class ambao hupendelea kuajiri sana Skilled and Cheap labour. Uchumi wa watu wa mjini na vijijini hutofautiana sana hivyo kutumia kilimo nadhani ni njia rahisi ya kuinua per capita ya watu masikini kuliko viwanda ambavyo vinaleta maendeleo ya haraka lakini shughuli zake hufanywa na watu wachache.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Then serikali inge invest huko sio kununua ndege
Zile sera za kilimo kwanza zilipingwa sana na Chadema wakasema kipaumbele chao ni vita dhidi Ufisadi,matokeo yake na kwa mshangao wa wengi chama wakamuuzia Lowassa.
 
Mapinduzi yote ya kilimo na viwanda yanahitajika kwa nchi yetu pendwa, yaende sambamba ili tupate natija nzuri, mambo ya kuangalia ni tozo za kodi zilizokuwa kandamizi kwa mtanzania wa kawaida.
 
Kutegemea kilimo maana yake siyo kuacha kulima. Maana yake ni sector gani ina part kubwa kwenye GDP?
Nchi ambazo kilimo ni part kubwa kwenye GDP au kinaajiri watu wengi kuliko sector yeyote, nchi hiyo ni masikini.
Kwa hiyo industrialization maana yake ni kuondoa kilimo kama mtoa ajira mkuu au kama sehemu kubwa ya uchumi.
Hapo ndiyo utakapo pata maendeleo ya haraka.
maendeleo ya haraka!!?..unakimbilia wapi!!?..kutoka kilimo mpaka viwanda inachukua muda gani!!?..ukizingatia elimu ya wakulima wa tanzania!?..unalala angani nini ndo kisa unaota ndoto za ajabu...
 
hello JF,

Mie naona kwa vile taifa letu 80% wanategemea kilimo

Then serikali inge invest huko sio kununua ndege..

Ndege ni maendeleo lakini hio pesa ingewekwa kwenye kilimo,kusingekua na malalamishi ya mtaani kugumu…

Tuishaurini serikali iielekeze nguvu kwenye kilimo na kukomboa uchumi wa mtu mmoja mmoja….

1.Magufuli awe flexible,asikilize ushauri wa mawaziri wake,mie statement yake kuwa anakesha kuangalia ma file iliniambia mkuu anapenda kuchukua au kufanya kazi peke yake sio team player,hivyo kuwafanya mawaziri wake kuwa passive,sababu wanaona hawashirikiswi na kuna uoga wa kum confront rais.Hii atmosphere sio nzuri,ibadilike kama tunataka ku move forward...​
2.Ningependa kuona courses za kilimo kwenye vyuo vikuu ziko nyingi na tofauti,FEES kwa hizo course ziwe ALMOST FREE,itawaencourage watu kujiunga na kusoma mambo ya kilimo,kuajiri au kuajiriwa skills ziwe part ya hizi courses pia......​
3.Kuwe na workshops ndogo ndogo zinazo run throughout the year,zinazofundisha mambo ya kilimo,kwa mfano nimeona huko jukwaa la kilimo watu wanauliza nataka kujiajiri kwenye kilimo ila sijui nianzie wapi au mtaji nitenge shilingi ngapi?,au nilime nini? naamini kungekua na hizi workshop majibu yao yangepatiwa ufumbuzi na kuwapa confidence...kufanya wanayotaka….​
NYINGINE ONGEZEENI...lol​

Walishaivest umesahau kilimo kwanza?
 
Kuboresha sekta ya kilimo ni jambo jema sana, ila nchi haiwezi pata maendeleo kwa kutegemea Kilimo Pekee.
 
Back
Top Bottom