Kichwa Ngumu
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,726
- 314
Wanangoja nini? si wampe kitu ya panya a rest in piece amenHao unayoyasema ni ya ukweli kabisa, nina ndugu yangu yuko pale Magogoni anasema Watu wamemchoka Kikwete , mjeuri, kiburi na hajali mambo yanayoendelea Nchi akiambiwa anakuwa mkali. wafanyakazi wote Magogoni hawampendi wanataka leo kesho nguvu ya Umma imuondoe. Wanasema Kikwete yuko Magogoni kwa Maslai Binafsi sio Taifa
I wish it to be soon. Wasiwasi wangu ni kwamba kama hii katiba haitabalika ni kwa tusitegemee CCM kuanguka, pili lazima tuwe na tume huru ya uchaguzi ambayo si mali ya Chama chochote. Failure to this nothing can be done!!! Nchi ya ajabu sana hii jamani, uchumi unaporomoka hata kwa watoto wanaliona wazi. Lakini utamkuta MPUMBAVU aliepewa dhamana na wananchi akidanganya jukwaani kuwa uchumi unakua, cjui anamdanganya nani. Watanzania, kwa uhakika ni wakati muafaka wa kuamua. Tuachane na hawa vilaza ambao wanafikiria mitumbo yao tu!! Hawana uchungu na Taifa kabisa. Lets change our mind coz your pain is my pain!Nguvu ya mabadiliko Tanzania inakuja kwa kasi ya ajabu. Hakuna kinachoweza kuzuia nguvu ya umma. Kila sehemu ya maisha wananchi wa kada zote wanaonyesha kutofurahia serikali iliyopo madarakani. Ugumu wa maisha na kushamiri kwa rushwa ni kero kubwa kwa Mtanzania wa kawaida. Unachokiona hapa JF pamoja na propaganda lakini ni wazi watetezi wa serikali ya Magamba huwa hawana hoja, nimepitia Twitter, Facebook na blog nyingi zinazoongozwa na watanzania kote huko serikali inachanwa mno. Pamoja na kuwa na watetezi wa mafisadi lakini ninaona kabisa wimbi hili litatufikisha mahali pazuri. Nimeongea na jamaa yangu yuko hazina pale wizara ya fedha kutaka kujua ukweli wa uchumi wetu, alichonijibu hakuna tofauti na anachofanya Jairos bungeni. Uchumi wetu umeathirika sana na mgawo wa umeme. Lakini kunapropaganda eti uchumi unakuwa hii ni kumdanganya nani....hata sisi tusiojua hata zile theories of economic development tunaona inflation inavyokuwa kwa kasi. Wataalamu wanaambiwa wachakachue takwimu ili waziri aweze ongea kile ambacho serikali inapenda kukisikia.You cant change the wind of changes .......aluta continua pamoja tunaweza epusha nchi yetu kutoka kwa mafisadi hawa.
Ndugu watanzania wenzangu!! Tumeshuhudia na tunaendelea kushuhudia jinsi nchi yetu yenye neema zote ambazo taifa lolote linaloweza kuclaim kama limejaaliwa tunazo, jinsi inavyoendeshwa; Huku ikiwaacha wananchi wengi tukiishi katika lindi kuu la umasikini linaloendelea kuwa compounded na
1. Unprecedented power shortage - Ni full kiza, shughuli zinazotegemea umeme hazifanyiki tena kwa uhakika, watu wamekosa kazi kwa kutokana na hilo
2. Bei Za nishati zipo juu, Petroli bei juu, mafuta ya taa bei juu, gesi bei juu, gunia la mkaa ni zaidi ya elfu 35
3. Bei za vyakula zimepanda kutokana na kupanda kwa gharama za uzalishaji na usafirishaji
4. Wabunge wetu walioteuliwa kutuwakilisha, wamejkalia kuwakilisha vyama vyao na si maslahi ya taifa, hoja inayolenga kumkomboa mtanzania ikitolewa na mtu ambaye si chama cha waliowengi bungeni kinachofuata ni kuzomewa na kejeli, huku watanzania tunaendelea kuumia na hali ngumu ya maisha.
Jamani ndugu watanzania wenzangu, tutaendelea kunung'unika mpaka lini, ni lazima tutangaze mwisho wa hii hali kwa faida yetu na watoto wetu na vizazi vijavyo.
Je ni nini kifanyike ndugu watanzania wenzangu???. Ninaomba tujadiliane mpaka tupate Muafaka. EWakati ni huu.
Kuna mwanafalsafa alisema, Mwenye kosa si anayefanya uovu, bali ni yule anayekaa kimya wakati uovu unafanyika!!
Tz uoga umewazidi,hawajui kuwa ni haki yao kuishi maisha bora kwa kodi wanazolipa!
One day itakuwa kama misri tuendelee kuwaelimisha
hili la kukosekana kwa mafuta naweza kulihusisha na Lowasa
hahhah.. Nduka wewe mafuta unanunulia wapi na sisi tuje?Imekuwaje leo unafufua uzi za mchungaji usiku wa manane(bongo)? nimeona ile ya ku win mapauni ya malikia.
Nduka wewe mafuta unanunulia wapi na sisi tuje?
hii ndio nini? japo nashukuru kwa ofa yako ila tutapeana watu hadi lini..? ccm mmekaa kifisadi fisadi tu mda wote.. nadhani unanielewa sana..wananchi wanapata shida mwambie mkulu hatumtaki na mapinduzi yanakuja soon na ataondokaYard ya serikali Kurasini, ila unakwenda usiku wa manane, lita ni 1100/-. leo kwa sababu ya crisis wanataka buku mbili. Kama unaroho ya paka nikupe mtu wangu wa hapo yadi
hii ndio nini? japo nashukuru kwa ofa yako ila tutapeana watu hadi lini..? ccm mmekaa kifisadi fisadi tu mda wote.. nadhani unanielewa sana..wananchi wanapata shida mwambie mkulu hatumtaki na mapinduzi yanakuja soon na ataondoka
Rais atakapo amua au Lowasa atakapo amua..hawa ccm ovyo kabisa..hata kama mnaiba ibeni lakini kuna huduma za muhimu sana msizibe hivi jamni..kuweni na aibu mbele ya mwenyezi MunguMapinduzi kwa mtindo huo yataendelea tu kuninufaisha, naomba hata kesho asubuhi nikiamka niyakute. wewe subiri hadi rais atakapo amua upate mafuta.
Rais atakapo amua au Lowasa atakapo amua..hawa ccm ovyo kabisa..hata kama mnaiba ibeni lakini kuna huduma za muhimu sana msizibe hivi jamni..kuweni na aibu mbele ya mwenyezi Mungu
offcoourse serikali yenu ni imara kuanzia ndani ya cc hadi nje...mshashindwa nchi hi haihitaji kuwa na tochi kumulika kuwa mkuu uwezo wake wa kufikiri umeshafika mwishoSasa hapa na mimi si ni CCM, mbona sio hovyo bana, hili ni suala la usalama wa taifa usiwe na wasiwasi serikali imara ya CCM inakuja na suluhisho kabla haujaamka kwenda kazini kesho. Endeleeni kutuunga mkono.
uwezo wake wa kufikiri umeshafika mwisho