i Hakuna ubishi kuhusu ushujaa wa Karume kwenye Mapinduzi ya Zanzibar ila kutokuwepo kwakwe kusisingiziwe ni Nyerere.
Karume aliwachukua wanae Amani na Ali usiku wa manane, wakasafiri kwa mtumbwi kuja bara. Wakashukia Bagamoyo.
Ukweli ni kwamba, Karume aliyakimbia Mapinduzi kuokoa nafsi yake na wanaye just incase mapinduzi yale yasinge faulu, japo sababu iliyotolewa sio kwamba Karume alikimbia bali eti alikuwa anawapeleka shule wanawe Amani na Ali walikuwa wakisoma shule nchi alikozaliwa baba yao, Malawi!.
Maadam mapinduzi yamefanikiwa, Karume alirejea Zanzibar na ni shujaa wa mapinduzi!.