Mapinduzi ya Zanzibar na Nyerere

Nawasalimu katika jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na kuwatumia salaam zangu za kuadhimisha kumbukumbu ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.

Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, tutayalinda kwa gharama yoyote.

Nawatakia maadhimisho mema ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.

Kazi Iendelee!.

Paskali
 
Mwana JF, Paskali, anakutakia wewe na familia yako HERI YA SIKUKUU YA MAPINDUZI MATUKUFU
YA ZANZIBAR!
Paskali
 
Wanabodi,

leo ndio siku yenyewe ya maadhimisho ya miaka 62 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar
Mimi salaam zangu rasmi,nilizituma humu jana Zitto Mshauri OMO kuwa Pragmatist,Acheni Ujinga Pelekeni Majina ya SUK, Kususa Hakusaidii KITU zikiandamana na makala ya gazetini

Leo, nadurusu tuu, niliwahi kusema nini kuyahusu,mapinduzi matukufu ya Zanzibar。

Nawatakia Watanzania wote,mapumziko mema ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar

Paskali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…