Hivi ni pepo au mashetani? Peponi si ndio huko mbinguni au?
Mshana umenena,kuna watu huwa wananishangaza sana,wao huwa wanaona kuwa dhambi ni kunywa pombe tu labda na wizi na uzinzi,kumbe hapo kuna msongamano wa mambo,nashukuru umegusa penyewe,kwa heshima yako naomba uongezee pepo jingine la-Kutowajibika(hapa anzia kwa mtu mmoja mmoja,jamii na viongozi wetu kwenye mataasisi ni uozo).
BWANA utuhurumie!
Haya mapepo matano ndio yanatengeneza ukoo mzima wa hao wote ukichanganya na husuda,choyo, majivuno,uzandiki ma mambo yote yafananayo na hayo
1.Pepo la uongo
2.Pepo la uzinzi
3.Pepo la pombe na madawa
4.Pepo la wizi
5.Pepo la kisasi na malipizi
Haya ndio mapepo matano makuu tynayoyaabudu na kuyasujudia kuliko hata dini na imani zetu, ni mapepo yaliyotukamata hasa. Pepo la uongo likiwa ndio kubwa lao
Hakuna ambaye si muongo, mwizi?mlevi nk , hata ukikuta mmoja hana pepo hili basi utamkuta na pepo/mapepo mengine na wengi wetu tunayatumikia kwa utiifu mkubwa kabisa lakini bila ridhaa zetu tuko chini ya himaya zao
Chunguza maisha waishiyo watu mambo wafanyayo nyuma ya pazia na vile wanavyojiweka mbele ya kadamnasi utashangaa mno tuna watu ambao hawapitwi na Chupi wala suruali kuna watu ambao bila kupata japo tusker baridi hawawezi kupata usingizi, tuna watu ambao wana mali nyingi tu lakini ameshazoea kuiba yeye asipoiba anakosa amani kabisa, anaiba hata visivyoibika
Kuna wale ambao wasipodanganya wanaugua kabisa anadangaya familia kazini mtaani kwa jioni boss wake yeye anadangaya tu ni pepo sio yeye
Haya yote yameleta matatizo makubwa kabisa tuliyonayo duniani kwasasa visasi na malipizi vimeleta vita visivyoisha, ngono wizi na ulevi vimeleta matatizo si haba
Cha kushangaza ni kwamba ukiacha pombe labda na sigara wengi wetu hatuko tayari kuyasema waziwazi mapepo yetu
Wagalatia hili ndio lilikuwa somo la leo !?
Ally Kombo leave that foolish behaviour to little children to behave like that does not benefit youWagalatia hili ndio lilikuwa somo la leo !?
1.Pepo la uongo
2.Pepo la uzinzi
3.Pepo la pombe na madawa
4.Pepo la wizi
5.Pepo la kisasi na malipizi
Haya ndio mapepo matano makuu tunayoyaabudu na kuyasujudia kuliko hata dini na imani zetu; ni mapepo yaliyotukamata hasa. Pepo la uongo likiwa ndio kubwa lao. Hakuna ambaye si muongo, mwizi, mlevi nk, hata ukikuta mmoja hana pepo hili basi utamkuta na pepo/mapepo mengine na wengi wetu tunayatumikia kwa utiifu mkubwa kabisa lakini bila ridhaa zetu tuko chini ya himaya zao.
Chunguza maisha waishiyo watu, mambo wafanyayo nyuma ya pazia na vile wanavyojiweka mbele ya kadamnasi utashangaa mno. Tuna watu ambao hawapitwi na Chupi wala suruali, kuna watu ambao bila kupata japo tusker baridi hawawezi kupata usingizi, tuna watu ambao wana mali nyingi tu lakini ameshazoea kuiba, yeye asipoiba anakosa amani kabisa, anaiba hata visivyoibika.
Kuna wale ambao wasipodanganya wanaugua kabisa, anadangaya familia, kazini, mtaani kwa jioni boss wake yeye anadangaya tu. Ni pepo sio yeye.
Haya yote yameleta matatizo makubwa kabisa tuliyonayo duniani kwa sasa. Visasi na malipizi vimeleta vita visivyoisha, ngono, wizi na ulevi vimeleta matatizo si haba.
Cha kushangaza ni kwamba ukiacha pombe labda na sigara wengi wetu hatuko tayari kuyasema waziwazi mapepo yetu.