rubii
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 14,106
- 18,715
Hao mademu wenu wa uswazi kutwa kwenda kuuza nyago ushuani.. Nenda leo pale Jangwani utavikuta vimejazana vinawinda watoto wa ushuani teh teh..
Huko Instagram ndio usiseme kazi yao kubwa kuwashabikia watoto wa ushuani kama akina wema et al.. watoto wa uswazi bwana
Kama umepanick flani hivii....!